salaam za obama kwa JK hizi hapa. mwezi mmoja baada ya uchaguzi. akili ni nywele

kweleakwelea

JF-Expert Member
Nov 29, 2010
3,065
1,535
salam za OB kwa JK kama alivyozipost michuzi. salamu hizi zilizotoka baada ya kimya kikuu kirefu zimetumia fasihi ya ajabu kufikisha ujumbe. zisome, tafakari chukua hatua.akili ni nywele kila Ntu ana zake. we unazielewaje?

MICHUZI





Rais wa Marekani,Barrack Obama


Kwa niaba ya Marekani, Ninawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukamilisha uchaguzi mkuu hivi karibuni na kuendeleza utamaduni wenu wa kuendesha chaguzi za vyama vingi toka mwaka 1992.

Ninatarajia kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Kumi tunapoendelea kujenga na kuimarisha ubia wa muda mrefu na wenye mafanikio kati ya mataifa yetu katika kuendeleza malengo ya pamoja ya maendeleo na kukabiliana na changamoto nyingi za kimataifa zinazotukabili.

Aidha, ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad, serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa na zaidi sana kwa watu wa Zanzibar ambao wameweka historia kwa kufanya uchaguzi wa amani baada ya miaka kadhaa ya chaguzi zilizogubikwa na machafuko.

Kama nilivyomueleza Rais Kikwete nilipokutana naye katika Ikulu ya White House hapo mwaka 2009, Watu wa Marekani wanawaunga mkono Watanzania wote katika jitihada zenu za kuimarisha utawala wa kidemokrasia na uwazi, kutumia kikamilifu fursa za Muungano wenu na kuhakikisha kuwa hatua mlizopiga na mafanikio mliofikia katika kujenga amani na ustawi wa kudumu hayarudi nyuma.



 
salam za OB kwa JK kama alivyozipost michuzi. salamu hizi zilizotoka baada ya kimya kikuu kirefu zimetumia fasihi ya ajabu kufikisha ujumbe. zisome, tafakari chukua hatua.akili ni nywele kila Ntu ana zake. we unazielewaje?

MICHUZI





Rais wa Marekani,Barrack Obama​


Kwa niaba ya Marekani, Ninawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukamilisha uchaguzi mkuu hivi karibuni na kuendeleza utamaduni wenu wa kuendesha chaguzi za vyama vingi toka mwaka 1992.

Ninatarajia kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Kumi tunapoendelea kujenga na kuimarisha ubia wa muda mrefu na wenye mafanikio kati ya mataifa yetu katika kuendeleza malengo ya pamoja ya maendeleo na kukabiliana na changamoto nyingi za kimataifa zinazotukabili.

Aidha, ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad, serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa na zaidi sana kwa watu wa Zanzibar ambao wameweka historia kwa kufanya uchaguzi wa amani baada ya miaka kadhaa ya chaguzi zilizogubikwa na machafuko.

Kama nilivyomueleza Rais Kikwete nilipokutana naye katika Ikulu ya White House hapo mwaka 2009, Watu wa Marekani wanawaunga mkono Watanzania wote katika jitihada zenu za kuimarisha utawala wa kidemokrasia na uwazi, kutumia kikamilifu fursa za Muungano wenu na kuhakikisha kuwa hatua mlizopiga na mafanikio mliofikia katika kujenga amani na ustawi wa kudumu hayarudi nyuma.

The source. PUTS ME OFF. I doudt the unyele wa akili
 
usichoke tuanzie kwenye red!


Kwa niaba ya Marekani, Ninawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukamilisha uchaguzi mkuu hivi karibuni na kuendeleza utamaduni wenu wa kuendesha chaguzi za vyama vingi toka mwaka 1992.

Ninatarajia kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Kumi tunapoendelea kujenga na kuimarisha ubia wa muda mrefu na wenye mafanikio kati ya mataifa yetu katika kuendeleza malengo ya pamoja ya maendeleo na kukabiliana na changamoto nyingi za kimataifa zinazotukabili.

Aidha,
ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad, serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa na zaidi sana kwa watu wa Zanzibar ambao wameweka historia kwa kufanya uchaguzi wa amani baada ya miaka kadhaa ya chaguzi zilizogubikwa na machafuko.

Kama nilivyomueleza Rais Kikwete nilipokutana naye katika Ikulu ya White House hapo mwaka 2009, Watu wa Marekani wanawaunga mkono Watanzania wote katika jitihada zenu za
kuimarisha utawala wa kidemokrasia na uwazi, kutumia kikamilifu fursa za Muungano wenu na kuhakikisha kuwa hatua mlizopiga na mafanikio mliofikia katika kujenga amani na ustawi wa kudumu hayarudi nyuma.
 
salam za OB kwa JK kama alivyozipost michuzi. salamu hizi zilizotoka baada ya kimya kikuu kirefu zimetumia fasihi ya ajabu kufikisha ujumbe. zisome, tafakari chukua hatua.akili ni nywele kila Ntu ana zake. we unazielewaje?

MICHUZI





Rais wa Marekani,Barrack Obama​


Kwa niaba ya Marekani, Ninawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukamilisha uchaguzi mkuu hivi karibuni na kuendeleza utamaduni wenu wa kuendesha chaguzi za vyama vingi toka mwaka 1992.

Ninatarajia kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Kumi tunapoendelea kujenga na kuimarisha ubia wa muda mrefu na wenye mafanikio kati ya mataifa yetu katika kuendeleza malengo ya pamoja ya maendeleo na kukabiliana na changamoto nyingi za kimataifa zinazotukabili.

Aidha, ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad, serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa na zaidi sana kwa watu wa Zanzibar ambao wameweka historia kwa kufanya uchaguzi wa amani baada ya miaka kadhaa ya chaguzi zilizogubikwa na machafuko.

Kama nilivyomueleza Rais Kikwete nilipokutana naye katika Ikulu ya White House hapo mwaka 2009, Watu wa Marekani wanawaunga mkono Watanzania wote katika jitihada zenu za kuimarisha utawala wa kidemokrasia na uwazi, kutumia kikamilifu fursa za Muungano wenu na kuhakikisha kuwa hatua mlizopiga na mafanikio mliofikia katika kujenga amani na ustawi wa kudumu hayarudi nyuma.


Mbona hii ilitoka siku nyingi tu kwa kingereza. Unless siku zote hizi ilikuwa inakuwa translated kwa kiswahili. Au Michuzi hajui tofauti ya hii na ile ya Kingereza??
 
salam za OB kwa JK kama alivyozipost michuzi. salamu hizi zilizotoka baada ya kimya kikuu kirefu zimetumia fasihi ya ajabu kufikisha ujumbe. zisome, tafakari chukua hatua.akili ni nywele kila Ntu ana zake. we unazielewaje?

MICHUZI




Rais wa Marekani,Barrack Obama


Kwa niaba ya Marekani, Ninawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukamilisha uchaguzi mkuu hivi karibuni na kuendeleza utamaduni wenu wa kuendesha chaguzi za vyama vingi toka mwaka 1992.

Ninatarajia kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Kumi tunapoendelea kujenga na kuimarisha ubia wa muda mrefu na wenye mafanikio kati ya mataifa yetu katika kuendeleza malengo ya pamoja ya maendeleo na kukabiliana na changamoto nyingi za kimataifa zinazotukabili.

Aidha, ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad, serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa na zaidi sana kwa watu wa Zanzibar ambao wameweka historia kwa kufanya uchaguzi wa amani baada ya miaka kadhaa ya chaguzi zilizogubikwa na machafuko.

Kama nilivyomueleza Rais Kikwete nilipokutana naye katika Ikulu ya White House hapo mwaka 2009, Watu wa Marekani wanawaunga mkono Watanzania wote katika jitihada zenu za kuimarisha utawala wa kidemokrasia na uwazi, kutumia kikamilifu fursa za Muungano wenu na kuhakikisha kuwa hatua mlizopiga na mafanikio mliofikia katika kujenga amani na ustawi wa kudumu hayarudi nyuma.





Ahsante Rais Obama, na sie twakuahidi kushirikiana nawe. Uchaguzi wetu umeisha kwa amani, huru na haki. Na tumepata Rais wetu ambae ni chaguo la watanzania na aliyeshinda kwa kishindo Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, na ameifanyia mengi Tanzania yetu yenye kuleta ustawi na maisha bora kwa wananchi wake.
 

kaazi kweli kweli haya tuanze...
, Ninawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - ni lazima kwani tumepiga kura
kuendeleza utamaduni wenu wa kuendesha chaguzi za vyama vingi toka mwaka 1992. - kwani tunachagua chama kile kile hata kama hakina jipya, tunachakachua etc......hatuandamani na tunapenda amani na utulivu kuliko njaa.
Ninatarajia kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Kumi tunapoendelea kujenga na kuimarisha ubia wa muda mrefu na wenye mafanikio kati ya mataifa yetu katika kuendeleza malengo ya pamoja ya maendeleo na kukabiliana na changamoto nyingi za kimataifa zinazotukabili. - hana namna nyingine kwani mumemchagua wenyewe na maisha lazima yaendelee marekani hata tanzania. lakini huyu HAJAPONGEZWA KWA USHINDI


Aidha,
ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad, - HAWA WANASTAHILI PONGEZI KWA KUWEKA MBELE MASLAHI YA TAIFA

Kama nilivyomueleza Rais Kikwete nilipokutana naye katika Ikulu ya White House hapo mwaka 2009, Watu wa Marekani wanawaunga mkono Watanzania wote katika jitihada zenu za kuimarisha utawala wa kidemokrasia na uwazi, kutumia kikamilifu fursa za Muungano wenu na kuhakikisha kuwa hatua mlizopiga na mafanikio mliofikia katika kujenga amani na ustawi wa kudumu hayarudi nyuma. - KUNA HAJA YA KUKUZA DEMOKRASIA NA IKIWEZEKANA WATATOA FUNGU LA KUANDIKA UPYA KATIBA?

nani mungine ana pongezi toka ulaya? alete tuzijadili humu!
 
Kwetu hii post huitwa NDAZA.
Nikimaanisha izo salamu zilikuwepo umu kitambo tuu labda heading ndio tofauti
 
salam za OB kwa JK kama alivyozipost michuzi. salamu hizi zilizotoka baada ya kimya kikuu kirefu zimetumia fasihi ya ajabu kufikisha ujumbe. zisome, tafakari chukua hatua.akili ni nywele kila Ntu ana zake. we unazielewaje?

MICHUZI





Rais wa Marekani,Barrack Obama


Kwa niaba ya Marekani, Ninawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukamilisha uchaguzi mkuu hivi karibuni na kuendeleza utamaduni wenu wa kuendesha chaguzi za vyama vingi toka mwaka 1992.

Ninatarajia kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Kumi tunapoendelea kujenga na kuimarisha ubia wa muda mrefu na wenye mafanikio kati ya mataifa yetu katika kuendeleza malengo ya pamoja ya maendeleo na kukabiliana na changamoto nyingi za kimataifa zinazotukabili.

Aidha, ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad, serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa na zaidi sana kwa watu wa Zanzibar ambao wameweka historia kwa kufanya uchaguzi wa amani baada ya miaka kadhaa ya chaguzi zilizogubikwa na machafuko.

Kama nilivyomueleza Rais Kikwete nilipokutana naye katika Ikulu ya White House hapo mwaka 2009, Watu wa Marekani wanawaunga mkono Watanzania wote katika jitihada zenu za kuimarisha utawala wa kidemokrasia na uwazi, kutumia kikamilifu fursa za Muungano wenu na kuhakikisha kuwa hatua mlizopiga na mafanikio mliofikia katika kujenga amani na ustawi wa kudumu hayarudi nyuma.






NImependa hapo kwenye red. Hivi nani ananufaika zaidi?????

Ningependsa ijitokeze taasisi yenye utashi siku moja ifanye utafiti kubaini mnufaikaji zaidi wa ubia huu. Isje kuwa mambo ya kunipa jiti hadharani wakati unaniibia mamilioni na utashi wangu wa kufikiri na kujiamulia mambo yangu kisiri.
 
Mbona hajampongeza Mkwere kwa kuchaguliwa tena?? nafikiri CIA washamwambia Obama kuwa Mkwere kaiba kura ha ha ahaha safisana Obama kwa kumpongeza Dk.Shein na Maalim Seif na Kutompongeza Mkwere
 
Mkwere alipopata hii salamu nasikia alianguka bafuni ila hatukuambiwa. Tusubiri akialikwa chai na dogo tuone kama ataenda kunywa
 
Back
Top Bottom