Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,431
- 1,045
Dogo,
Tambua kuwa hukuwa na hati miliki ya Ubunge ambao ulikupa Uwaziri. Mara tu baada ya Kubwagwa kwa sauti ya UMMA unapaswa kutambua kuwa maana yake HAUSTAHILI hata kwa sekunde kuendelea kuhodhi NAFASI, RASILIMALI, FURSA, au UPENDELEO uliopata kutokana na kuwa MBUNGE na KISHA WAZIRI.
Kwa salamu hizi nakutaka mara moja (Hapa naamrisha kama Dr. Slaa anavyoamuru serikali akiwa nje ya dola) ufanye lifuatalo:
Tambua kuwa hukuwa na hati miliki ya Ubunge ambao ulikupa Uwaziri. Mara tu baada ya Kubwagwa kwa sauti ya UMMA unapaswa kutambua kuwa maana yake HAUSTAHILI hata kwa sekunde kuendelea kuhodhi NAFASI, RASILIMALI, FURSA, au UPENDELEO uliopata kutokana na kuwa MBUNGE na KISHA WAZIRI.
Kwa salamu hizi nakutaka mara moja (Hapa naamrisha kama Dr. Slaa anavyoamuru serikali akiwa nje ya dola) ufanye lifuatalo:
- BADILI WASIFU WAKO NA ANWANI KATIKA MAANDIKO YAKO KUANZIA SASA. Hii ni pamoja na kuondoa Cheo na anwani zinazokutambulisha kama Waziri kwenye mitandao kama Facebook Lau Masha | Facebook