Kuna kofia akivaa anafanana kabisa na profesa ndumilakuwili
Sojajua in katka kitabu gani ila kinasema HV " watakatifu waliopo duniani hao ndio bola"Mtakatifu ni Mungu tu. Siasa za ujinga za mbogamboga kumpa binadamu "umungu,uyesu na utakatifu" ni siasa za kujitafutia laana.
Harusi ni sherehe ya kupongeza au upongezwaji wa watu wawili ambao tayari wamefunga pingu za maisha au wamekubali kuwa watu wamoja katika kunia mamoja na kushirikiana kwa pamoja katika raha na shida. Harusi ni shughuli ya umati wa watu wengi na hufanyika mahali pa wazi na hadhira,Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?
Hicho sio kigezo cha utakatifu kasome maandikoInategemea vigezo unavyotumia. Mtu aliyemiminiwa risasi zaidi ya 38, zikamchanachana 16, akawa mzima, ametembea Tz yote bila kushindwa, lakini ujumbe anaoleta ni ule wa haki na uhuru, huku akisema kweli tena kweli tupu, bila shaka Mungu yupo naye. Mungu alimrudisha kutoka shimo la mauti kwa kusudi maalum. Hata kama si mtakatifu kwa vigezo vya kilokole, anaweza kuwa mtakatifu kwa vigezo vya katoloki.
Mwaka 2010 wakati wa kampeni za CCM mlisema JK tano tena, Sasa JPM tano tena, mkapa tano tena,mwinyi tano tena.mmetufikisha wapi? CCM itakuwa KANU October 28. Trust meKuliko kumpigia kura Lissu, bora kutopiga kabisa. Watanzania, msipoteze nafasi hii muhimu kwa kumchagua mtu ambaye hata shinda. Magufuli, tano tena.
Hata Mzee Shomari hakubaliani na hili!Mtakatifub Tundu Lissu! Huna akili na umelaaniwa.
Hii ndio demokrasia mkuuKura ni siri ya Mtu hazipigwi na Familia, Zinapigwa na Mtu mmoja mmoja. Kura yangu nitampa JPM, Wengine katika familia yangu nawaomba waangalie nani wanayemtaka wampe kura, japo nitafurahi wakimpa JPM Huyu ndio mbeba maono ya nchi.
Tangu enzi ya Mzee mwinyi kauli ni hiyo hiyo.Hakuna mbadala wa magufuli nchi za africa zinataman kuwa na rais kama yeye kura yangu ni kwa magufuli