Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 99
kweli ni macho yako, hujaona hiyo chata?Huyo jogoo naona kama ana rangi nyekundu vile au ni macho yangu?
kweli ni macho yako, hujaona hiyo chata?Huyo jogoo naona kama ana rangi nyekundu vile au ni macho yangu?
Hii kauli yako kesho au baada ya fainali uirudie!:A S 103:
Nimeoneshwa dhahiri, mtetea badala ya kujifungua yai moja leo atajifungua mayai mawili kwa mpigo. Pale Jangwani kaeni mkao wa kula!