MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Swala si lowasa kuapishwa kama rais..............No no no...........ila team yake imejaa mafisadi watupu je? waTZ watapona........?Kijana hebu kuwa makini kwenye hili..........!!!!!!Huna hoja baby boy, subiri october uone lowasa akiapishwa uwanja wa Taifa