Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Ndugu Watanzania, wana JF.. na wapenzi wazalendo woote wa nchi yangu.. sitakuwepo jamvini kwa kitambo kidogo, ila napenda threads yangu Isomeke.. CCM haiko tayari kuona nchi inachukuliwa na Upinzani kwa vyovyote Vile, hilo mlielewe. Katika Vikao Vyote vya ndani, CCM imejizatiti kuhakikisha Liwalo na Liwe lakini haitawezekana wala haipo akilini kwao kwamba kitakuwa chama cha upinzani.
Sisi tuliomo humu tumetumiwa sana kuwaneemesha "wazee", na wanasema waziwazi CCM haijaanza kuua watu Jana. Hivyo hakuna cha kushangaa.. watu watauawa kwa maslahi ya Nchi.
Katikati ya wiki lililopita Kulikuwa na Kikao kikubwa cha Viongozi waandamizi na wale wakongwe waliokuwa hazina ya CCM. Kikao Hicho mahsusi kilihusika na kujadili hasa matamshi ya viongozi wastaafu kushiriki kutoa matamko makali kwa serikali hivyo kukidhoofisha chama. Baadhi ya wazee wa "siku" kwenye kikao Hicho wakadai kwamba kama CCM ikiondolewa basi na wao maisha yao yatakuwa magumu kwa sababu watoto wao na wajukuu zao wameshamiliki maeneo muhimu ya Majiji na Miji na ndio warithi wa Tanzania kisiasa na kiuchumi.
Kikao Hicho kikapendekeza kwamba kwa kuwa kuna wazee bado wana heshimika kwenye jamii ya watanzania basi wajitokeze kwenye vyombo vya habari na kutoa matamshi makali juu ya vyama vya Upinzani vyenye upinzani makini hasa Chadema kwa upande wa bara na Cuf kwa upande wa visiwani, na moja kwa moja chama kitasponsor kadhia hiyo..
Kikao Hicho ambacho wajumbe hawakuruhusiwa kabisa kuingia na kitu chochote kama notebook, laptop au mobile.. wengine tulipenyapenya na Iphone na kubahatika kurekodi sehemu ya mazungumzo.. na ilikuwa nia yangu kumwaga mchuzi mezani kwa kuweka Audio strings JF ya sehemu ya mazungumzo hayo, ili kila kitu kiwe open.
Bahati mbaya wakati wa kutoka kukawa na sachsach na wajumbe wanne wakakutwa waliingia na cm. baada ya kuhojiwa na vijana wa Usalama.. walirejeshewa cm zao. Hvyo nikiweka strings ya Audio ntawachongea wale jamaa. Huku ndani, wana CCM wengi hawakipendi Chama, wengi wamo tu kwa sababu wanaogopa wakitoka watauawa.. wanasena No way you can Go out of CCM safely .. kama Kuna gereza la Kutisha.. CCM ni zaidi ya gereza..
Hata Huyo Nape.. CCM haipendi kabisa ila amewekwa kama spika ya wazee. na hela wanampa kweli kweli ndo maana ni kama kachanganyikiwa vile.. muda mwingi anautumia kwa kulewa chakari.. nadhani anapoteza mawazo.. kama kuna mtu wa kumwokoa ni Nape.. hana raha kabisaa.. hata ukikutana naye mwangalie usoni..
Ana huzuni sana huyo mkaka.. ni kama anajuta that time lipopata nafasi ya kujiondoa CCM kwa nini hakujiondoa.. sasa hawezi tena, anatumwa kama mtoto, anafanya kila anachoambia afanye.. inamuuma sana..
Mungu Ibariki Tanzania
Sisi tuliomo humu tumetumiwa sana kuwaneemesha "wazee", na wanasema waziwazi CCM haijaanza kuua watu Jana. Hivyo hakuna cha kushangaa.. watu watauawa kwa maslahi ya Nchi.
Katikati ya wiki lililopita Kulikuwa na Kikao kikubwa cha Viongozi waandamizi na wale wakongwe waliokuwa hazina ya CCM. Kikao Hicho mahsusi kilihusika na kujadili hasa matamshi ya viongozi wastaafu kushiriki kutoa matamko makali kwa serikali hivyo kukidhoofisha chama. Baadhi ya wazee wa "siku" kwenye kikao Hicho wakadai kwamba kama CCM ikiondolewa basi na wao maisha yao yatakuwa magumu kwa sababu watoto wao na wajukuu zao wameshamiliki maeneo muhimu ya Majiji na Miji na ndio warithi wa Tanzania kisiasa na kiuchumi.
Kikao Hicho kikapendekeza kwamba kwa kuwa kuna wazee bado wana heshimika kwenye jamii ya watanzania basi wajitokeze kwenye vyombo vya habari na kutoa matamshi makali juu ya vyama vya Upinzani vyenye upinzani makini hasa Chadema kwa upande wa bara na Cuf kwa upande wa visiwani, na moja kwa moja chama kitasponsor kadhia hiyo..
Kikao Hicho ambacho wajumbe hawakuruhusiwa kabisa kuingia na kitu chochote kama notebook, laptop au mobile.. wengine tulipenyapenya na Iphone na kubahatika kurekodi sehemu ya mazungumzo.. na ilikuwa nia yangu kumwaga mchuzi mezani kwa kuweka Audio strings JF ya sehemu ya mazungumzo hayo, ili kila kitu kiwe open.
Bahati mbaya wakati wa kutoka kukawa na sachsach na wajumbe wanne wakakutwa waliingia na cm. baada ya kuhojiwa na vijana wa Usalama.. walirejeshewa cm zao. Hvyo nikiweka strings ya Audio ntawachongea wale jamaa. Huku ndani, wana CCM wengi hawakipendi Chama, wengi wamo tu kwa sababu wanaogopa wakitoka watauawa.. wanasena No way you can Go out of CCM safely .. kama Kuna gereza la Kutisha.. CCM ni zaidi ya gereza..
Hata Huyo Nape.. CCM haipendi kabisa ila amewekwa kama spika ya wazee. na hela wanampa kweli kweli ndo maana ni kama kachanganyikiwa vile.. muda mwingi anautumia kwa kulewa chakari.. nadhani anapoteza mawazo.. kama kuna mtu wa kumwokoa ni Nape.. hana raha kabisaa.. hata ukikutana naye mwangalie usoni..
Ana huzuni sana huyo mkaka.. ni kama anajuta that time lipopata nafasi ya kujiondoa CCM kwa nini hakujiondoa.. sasa hawezi tena, anatumwa kama mtoto, anafanya kila anachoambia afanye.. inamuuma sana..
Mungu Ibariki Tanzania