Salaam kutoka Gerezani Dodoma: BAVICHA yatangaza ushindi

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
HATIMAE "BAVICHA" WAMEFANIKIWA KWA HATUA YA KWANZA.

Nikiwa huku mafichoni kusiko julikana na viongozi wenzangu wakiwa gerezani kwa kosa lakuipigania haki na demokrasia huru ya nchi hii nimepata faraja kubwa kuona kwa hatua za awali Polisi na Serikali wamenyanyua mikono na kuruhusu mikutano ya ndani.

Ni jambo jema kwetu kwakuwa tulijitoa kwa hali na mali kuhakikisha tunafanikiwa kwa kile tunacho kiamini kwa maslahi ya chama chetu na Baraza letu.

Viongozi wenu tupo salama huku tulipo,na hatuna hofu kwakuwa tumejitoa kulipigania taifa letu dhidi ya mfumo kandamizi wa Demokrasia na utawala bora.

M/kiti na Katibu mkuu wanawasalimia sana,na wameomba msirudi nyuma kupaza sauti zenu kuililia demokrasia inayonyongwa na watawala kila kukicha.

M/kiti BAVICHA Taifa, George Tito wao wamehamishiwa gereza la Chamwino na Katibu mkuu amebaki Dodoma mjini,tunafikiri kesho lazima itakuwa ni Mahakamani hivyo nawaomba Viongozi na wanachama wote mfike Mahakamani kwaajili ya kuwapa moyo viongozi wetu.

Imetolewa July 10

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
 
HATIMAE "BAVICHA" WAMEFANIKIWA KWA HATUA YA KWANZA.

Nikiwa huku mafichoni kusiko julikana na viongozi wenzangu wakiwa gerezani kwa kosa lakuipigania haki na demokrasia huru ya nchi hii nimepata faraja kubwa kuona kwa hatua za awali Polisi na Serikali wamenyanyua mikono na kuruhusu mikutano ya ndani.

Ni jambo jema kwetu kwakuwa tulijitoa kwa hali na mali kuhakikisha tunafanikiwa kwa kile tunacho kiamini kwa maslahi ya chama chetu na Baraza letu.

Viongozi wenu tupo salama huku tulipo,na hatuna hofu kwakuwa tumejitoa kulipigania taifa letu dhidi ya mfumo kandamizi wa Demokrasia na utawala bora.

M/kiti na Katibu mkuu wanawasalimia sana,na wameomba msirudi nyuma kupaza sauti zenu kuililia demokrasia inayonyongwa na watawala kila kukicha.

M/kiti BAVICHA Taifa, George Tito wao wamehamishiwa gereza la Chamwino na Katibu mkuu amebaki Dodoma mjini,tunafikiri kesho lazima itakuwa ni Mahakamani hivyo nawaomba Viongozi na wanachama wote mfike Mahakamani kwaajili ya kuwapa moyo viongozi wetu.

Imetolewa July 10

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
Safi sana

#BAVICHA wamefanya kazi nzuri sana; huu ni ushindi mkubwa sana wa kupambana kwa ajili ya demokrasia
 
Ni lini polisi ilikataza mikutano hiyo ya ndani ya kisiasa?

Yaani mlijitengenezea sanamu ya polisi halafu mkaanza kupambana nayo halafu mnataka mjisifu??

Aliyepotosha tangazo la polisi na Magufuli ni ninyi wenyewe...jana limefafanuliwa mnakuja kujidai washindi haha ha kweli hii ndio bavicha uchwara ....Tarehe 23 mngevunjika miguu haswa....sasa wapeni nauli wale waliojiandikisha kuja kusaidiana na polisi warudi makwao ...halafu sijui makamanda mtamsikiliza nani kati ya lowassa au Mbowe katika aina ya siasa mnazotaka kuzifanya.
 
Ni lini polisi ilikataza mikutano hiyo ya ndani ya kisiasa?

Yaani mlijitengenezea sanamu ya polisi halafu mkaanza kupambana nayo halafu mnataka mjisifu??

Aliyepotosha tangazo la polisi na Magufuli ni ninyi wenyewe...jana limefafanuliwa mnakuja kujidai washindi haha ha kweli hii ndio bavicha uchwara ....Tarehe 23 mngevunjika miguu haswa....sasa wapeni nauli wale waliojiandikisha kuja kusaidiana na polisi warudi makwao ...halafu sijui makamanda mtamsikiliza nani kati ya lowassa au Mbowe katika aina ya siasa mnazotaka kuzifanya.


Una safari ndefu Sana kujitambua!
Mahafali ya Chaso Dodoma
Mahafali ya Chaso Moshi
Mkutano WA ACT ubungo

Jaribu kujiuliza upya labda itaelewa
 
Back
Top Bottom