Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,497
Sala yangu kwa Nchi yangu Tanzania :
Mungu wa mbingu usiyeshindwa na kitu tunaomba mkono wako wa baraka utushukie utupe busara viongozi wetu watuongoze kwa hekima yako,wewe uliyesimamia Taifa la Israeli na kuwavusha katika bahari naomba utuvushe nasi katika kipindi hiki ambacho yamekuwa yakitokea mambo mengi ambayo yanaweza kufanya tusiwe na amani pia tukiwa tunaelekea katika uchaguzi Yesu sikia usituache tukakosa amani utuokoe,
Mungu simama wewe maana twajua kuwa kwa akili zetu hatutaweza,tunaomba akili na maarifa na kutambua viongozi wenye busara tunaomba kwa kupitia jina la mwanao Yesu mpendwa tukiamini kuwa utakuwa kiongozi maana umesema katika Yeremia 33:3 NIite nami nitaitika nitakuonyesha mambo makubwa magumu usioyajua,Zab:23
Amen.
Nawakaribisha wakuu nanyi muiombee Nchi yetu.
Mungu wa mbingu usiyeshindwa na kitu tunaomba mkono wako wa baraka utushukie utupe busara viongozi wetu watuongoze kwa hekima yako,wewe uliyesimamia Taifa la Israeli na kuwavusha katika bahari naomba utuvushe nasi katika kipindi hiki ambacho yamekuwa yakitokea mambo mengi ambayo yanaweza kufanya tusiwe na amani pia tukiwa tunaelekea katika uchaguzi Yesu sikia usituache tukakosa amani utuokoe,
Mungu simama wewe maana twajua kuwa kwa akili zetu hatutaweza,tunaomba akili na maarifa na kutambua viongozi wenye busara tunaomba kwa kupitia jina la mwanao Yesu mpendwa tukiamini kuwa utakuwa kiongozi maana umesema katika Yeremia 33:3 NIite nami nitaitika nitakuonyesha mambo makubwa magumu usioyajua,Zab:23
Amen.
Nawakaribisha wakuu nanyi muiombee Nchi yetu.