mbweta
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 600
- 81
Kuna mtoto mmoja alikuwa mvivu sana kusali wakati wa kulala kwa sababu ya usingiz na sala kuwa ndefu, hivo akaamua kuandika sala kwenye karatasi na kubandika ukutani chumbani hivo anavolala anasema 'Mungu soma pale mie nalala' huku akioneshea ile karatasi.