Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,426
- Thread starter
- #21
Wewe mshenzi autakwenda mbinguninyie washenzi hamjambo?
Wewe mshenzi autakwenda mbinguninyie washenzi hamjambo?
Wameweka kwa kiswahili ili wewe mshenzi uelewe
Poleni washenzi wote.MhhhhhhhhhView attachment 807076
Nakuambia paka turudi kwenye mizimu yetu ya kale ndio ushenzi utaishahahahaa watatuombea mpk tuwe weupe ndo maombi yanaisha
Wewe mshenzi wa Africa sali sanaPoleni washenzi wote.
very correct. Vinginevyo wote waendao kwenye nyumba zao ni washenzi. Washenzi, Mungu awaopoe.Nakuambia paka turudi kwenye mizimu yetu ya kale ndio ushenzi utaisha
dadeki saivi ukisema urudie dini yetu ya kale watu wanaanza ooh jamaa mshirikina yaan washenzi kweli,Nakuambia paka turudi kwenye mizimu yetu ya kale ndio ushenzi utaisha
Yani mtu kakuletea dini kwa mtutu wa bunduki alafu unamuamini washenzi sanadadeki saivi ukisema urudie dini yetu ya kale watu wanaanza ooh jamaa mshirikina yaan washenzi kweli,
Mizimu yetu ulikuwa ukiomba mvua ukimaliza kuomba kitu hicho ila sasa hivi tumekuwa washenzi sanavery correct. Vinginevyo wote waendao kwenye nyumba zao ni washenzi. Washenzi, Mungu awaopoe.
aisee wazungu wametushika pabaya, wajanja wahindi, korea japan china vietnam n.k kwan wengi wao bado wako na dini zao originalYani mtu kakuletea dini kwa mtutu wa bunduki alafu unamuamini washenzi sana
Kama lile fort jesus kule momba kilikuwa ni kituo cha kuuza washenzi wa Africaaisee wazungu wametushika pabaya, wajanja wahindi, korea japan china vietnam n.k kwan wengi wao bado wako na dini zao original
Kama vipi hivyo wewe mshenzi ?yaani kuna vitu vya kipumbavu lakini vinaheshimika huku duniani.ninina.
jamaa wametuchoka yaani malaika wanachorwa weupe kama wao, lakin shetani anachorwa mweusi kama sisi ingawa naye alikuaga malaika enzi zake, yaan sasa eti shetani ni mshenzi mwenzetu, yaani wao weupe ndugu zao malaika. sisi weusi ndugu yetu shetaniKama lile fort jesus kule momba kilikuwa ni kituo cha kuuza washenzi wa Africa
Mizimu ya mababu na mabibi zetu tusaidie tuepuke huu ushenzijamaa wametuchoka yaani malaika wanachorwa weupe kama wao, lakin shetani anachorwa mweusi kama sisi ingawa naye alikuaga malaika enzi zake, yaan sasa eti shetani ni mshenzi mwenzetu, yaani wao weupe ndugu zao malaika. sisi weusi ndugu yetu shetani