Naiombea chupi ya mume wangu, naitasaka kwa damu yako, anapotoka katika nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu. Kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani kwangu baba iwe kwa ajili ya haja ndogo au kubwa tu. Naikabidhi ikiwa safi nilivyoifua mwenyewe naomba irudi safi niifue mwenyewe...Ameen.
Tobaaaunasema?hujawahi pigwa kitombo wewe!!!
Ni ubunifu tu. Any way mbona Yesu hajatajwa popote pale?Sijaipenda! Kwanini jina Yesu kwenye utani? Kuweni makini bwana.
unasema?hujawahi pigwa kitombo wewe!!!
hawavai chupiiii!!!!!!!!11Hapo kwenye nyekundu ongezea pia na kama akienda kuchoma sindano hospitali.
Ila hii sala haitakuwa valid kwa wamasai! Unajua ni kwa sababu gani?
Sure. Wasimtanie Yesu. He is another man.Sijaipenda! Kwanini jina Yesu kwenye utani? Kuweni makini bwana.
Hii sala sasa aking'ata na waduu itakuwaje ??Naiombea chupi ya mume wangu, naitasaka kwa damu yako, anapotoka katika nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu. Kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani kwangu baba iwe kwa ajili ya haja ndogo au kubwa tu. Naikabidhi ikiwa safi nilivyoifua mwenyewe naomba irudi safi niifue mwenyewe...Ameen.
Sijaipenda! Kwanini jina Yesu kwenye utani? Kuweni makini bwana.
Naiombea chupi ya mume wangu, naitasaka kwa damu yako, anapotoka katika nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu. Kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani kwangu baba iwe kwa ajili ya haja ndogo au kubwa tu. Naikabidhi ikiwa safi nilivyoifua mwenyewe naomba irudi safi niifue mwenyewe...Ameen.
Naiombea chupi ya mume wangu, naitasaka kwa damu yako, anapotoka katika nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu. Kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani kwangu baba iwe kwa ajili ya haja ndogo au kubwa tu. Naikabidhi ikiwa safi nilivyoifua mwenyewe naomba irudi safi niifue mwenyewe...Ameen.
Sure. Wasimtanie Yesu. He is another man.