Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,299
- 3,411
SALA HII INAFAA SANA LEO, Dominika ya kwanza ya majilio.....
Hii Sala ukute kuna mhuni mmoja ameiandika, maana haijazingatia maadili; Huwezi kumuita binadamu mwenzako aliyeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu "Mshenzi", Kanisa Katoliki huwa halitumii maneno ya kihuni hivyo kusali.SALA HII INAFAA SANA LEO, Dominika ya kwanza ya majilio.....
Ilitumika zamaniHii Sala ukute kuna mhuni mmoja ameiandika, maana haijazingatia maadili; Huwezi kumuita binadamu mwenzako aliyeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu "Mshenzi", Kanisa Katoliki huwa halitumii maneno ya kihuni hivyo kusali.
Zamani ya lini??Ilitumika zamani
Neno ushenzi mbona lilitoka kwao wakoloni, waliita mila zetu ni za kishenzi....yawezekana hata hiyo sala ilikuwepo enzi zao.Hii Sala ukute kuna mhuni mmoja ameiandika, maana haijazingatia maadili; Huwezi kumuita binadamu mwenzako aliyeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu "Mshenzi", Kanisa Katoliki huwa halitumii maneno ya kihuni hivyo kusali.
Mmhhh!!!, Sawa bhanaNeno ushenzi mbona lilitoka kwao wakoloni, waliita mila zetu ni za kishenzi....yawezekana hata hiyo sala ilikuwepo enzi zao.