Biashara ya injini za simu, circuit motherboard

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
Katika dunia ya leo hakuna kitu unachokiona na kikawa hakina thamani,kwa wale waishio miji mikubwa wameona jinsi watu wanavyo okota makopo ya ma maji, vyuma, mawe, na hata zile nywele sinazotupwa toka salon na kuufanya ule msemo wa "chazamani ni dhahabu" mie nae nimejaribu kufanya utafiti na kugundua kwamba ninaweza kuanza kukusanya saketi za simu toka kwa mafundi simu na kupata mzigo mkubwa.

Mfano kama kila siku nitanunua kilo 20-30 inamaana kwa mwezi naweza kupata tani moja ya saketi mbovu za simu.

Na hata kama nitapata faida ya sh 1000 kila kilo inamaana kila mwezi nitakuwa napata 1.ml mpaka hapo zitakapo anza kuadimika.

Tabu iliyopo ni soko sina uhakika kama hii biashara hapa kwetu tz ipo ila nasikia China kuna makampuni yanafanya hii biashara. www.recyclechina.com lengo la post yangu ni kupata uelewa wenu mzuri juu ya hili wazo langu na soko kwa ujumla pia nitafurahi kama nitapata mchanganuo utakaonipa njia ya kuanzia.
 
Inawezekena hii biashara hakuna anae ifahamu au katika uandishi wangu niko wrong.
 
Jamani habari ya jumapili, Natumai ni wazima wa afya.

Kumezuka watu wanaoita na kununua sakiti za simu ambazo ni mbovu sasa haijajulikana wazi wanaenda kuzifanyia nini,na hata ukiwahoji hawatoi jibu la moja kwa moja.

Wananunua kwa kupima kwa kilo. Je kama kuna mtu anataarifa na jambo hili ili atujuze na atuambie bei yake halisi mana wanaunua kwa bei ya elfu nne kwa kilo. Ni vema tukapata uwanja mpana wa kujua jambo hili.

Nawasilisha.
 
jamani habari ya jumapili, Natumai ni wazima wa afya. Kumezuka watu wanaoita na kununua sakiti za simu ambazo ni mbovu sasa haijajulikana wazi wanaenda kuzifanyia nini,na hata ukiwahoji hawatoi jibu la moja kwa moja. Wananunua kwa kupima kwa kilo. Je kama kuna mtu anataarifa na jambo hili ili atujuze na atuambie bei yake halisi mana wanaunua kwa bei ya elfu nne kwa kilo. Ni vema tukapata uwanja mpana wa kujua jambo hili. Nawasilisha.
Mkuu hata mimi nilikuwa nahitaji sana kujua kuhusu hili na nimewahi kuandika post ambayo mpaka sasa haija changiwa. ceki linkhttps://www.jamiiforums.com/busines...ara-ya-injini-za-simu-circuit-motherbord.html
 
Well said nikweli nakubaliana na wewe,wiki chache zilizopita niliktwa gairo na kuna jamaa alikuwa anazinunua hizi,tena bila kulalamisha.
 
jamani habari ya jumapili,
Natumai ni wazima wa afya.

Hiyo ni biashara haramu wananunua batteries za simu na simu vimeo wanaenda kuziwekea cover mpya kwa mabetri wanaweka karatasi mpya makaratasi hayo (stika)yanauzwa mtaa wa aggrey kwa sh 500.00 halafu huingiza dukani hapo mtaa wa aggrey ushahidi ni wiki iliyopita polisi walivamia mtaa huo na kukamata baadhi ya vifaa vya simu na kuyafungia maduka kibao mojawapo ni maduka mawili kona ya aggrey na likoma Kama unatoka msimbazi nyumba ya mwisho kulia kwenye kona mlamgo wa tatu na nne kutokea likoma walikutwa na betri kibao feki hivyo wanunuzi wa simu na vifaa hivyo wanatakiwa kuwa makini sana na ununuzi wa bidhaa hizo mtaa wa aggrey simu nyingi na vifaa vyake ni vimeo!
 
Hiyo ni biashara haramu wananunua batteries za simu na simu vimeo wanaenda kuziwekea cover mpya kwa mabetri wanaweka karatasi mpya makaratasi hayo (stika)yanauzwa mtaa wa aggrey kwa sh 500.00 halafu huingiza dukani hapo mtaa wa aggrey ushahidi ni wiki iliyopita polisi walivamia mtaa huo na kukamata baadhi ya vifaa vya simu na kuyafungia maduka kibao mojawapo ni maduka mawili kona ya aggrey na likoma Kama unatoka msimbazi nyumba ya mwisho kulia kwenye kona mlamgo wa tatu na nne kutokea likoma walikutwa na betri kibao feki hivyo wanunuzi wa simu na vifaa hivyo wanatakiwa kuwa makini sana na ununuzi wa bidhaa hizo mtaa wa aggrey simu nyingi na vifaa vyake ni vimeo!

Sidhani kama hizi saketi zinaweza kuvishwa housing na kuingizwa dukani.navyo sikia nikwamba wananua sakiti yoyote hata kama ndani haina ic hata moja.ninachozani hawa watakuwa wanapeleka china ku re-new kama ambavyo biashara ya vyuma chakavu inavyofanyika.
 
sidhani kama hizi saketi zinaweza kuvishwa housing na kuingizwa dukani.navyo sikia nikwamba wananua sakiti yoyote hata kama ndani haina ic hata moja.ninachozani hawa watakuwa wanapeleka china ku re-new kama ambavyo biashara ya vyuma chakavu inavyofanyika.

Hajaelewa mada.
 
Itakuwa ni kwa ajili ya recycling tu hamna cha ziada kama plastic bottles na scrapers
 
Wanachukua ule mchoro wa ramani ya simu na kile sacketbody ndo wanaweka vifaa vipya hapahapa kkoo kuna wachina
 
Huwa zinavunjwavunjwa tu nakupelekwa China.... kama unazo kuna mtu ananunua kg sh 6000 nitoe mawasiliano yake
 
Hizo saketi huwa zinasagwa kweny maahine na kutumika kuundua saleti za vifaaa mbalimbali tena , kama simu , computer , mabomu huko uarabuni ndani ya saketi ya simu kun madini yanayotumika kuundia ambayo ni uranium .... Kwa hiyo wanasaidia kufanya recycle ....

sent from HUAWEI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom