Sakata ya Mhe. Lissu, kwanini ripoti ya kamati ya Bunge, Ulinzi na Usalama ilifichwa?

SHILLINGS

Senior Member
Oct 24, 2013
160
648
Kwa mujibu wa Mhe. Tundu Lissu kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama haikeweza kutoa taarifa ya jaribio la mauaji dhidi yake toka mwaka 2017. Kwa vyovote vile watanzania wangependa kupata ufafanuzi juu ya jambo hili ili kutoa ukakasi uliopo juu ya kadhia hii.

Ni wakati sasa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai kufafanua na kutoa sababu zenye mashiko kwanini taarifa ya Bunge ya Ulinzi na Usalama dhidi ya jaribio la mauaji ya Mhe. Tundu Lissu ilifichwa? Ni maagizo kutoka juu au ni utashi binafsi wa spika?
 
Ilikuwa ni maagizo toka juu.........

Baada ya Kamati hiyo kubaini kuwa kiongozi wa kikosi kile cha mauaji alikuwa ni "mtoto" kipenzi wa Mkulu, kwa jina anatambulika kama Bashite!

Wakastopishwa ghafla kutoa taarifa hiyo Bungeni
 
Kwa mujibu wa Mhe. Tundu Lissu kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama haikeweza kutoa taarifa ya jaribio la mauaji dhidi yake toka mwaka 2017. Kwa vyovote vile watanzania wangependa kupata ufafanuzi juu ya jambo hili ili kutoa ukakasi uliopo juu ya kadhia hii.

Ni wakati sasa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai kufafanua na kutoa sababu zenye mashiko kwanini taarifa ya Bunge ya Ulinzi na Usalama dhidi ya jaribio la mauaji ya Mhe. Tundu Lissu ilifichwa? Ni maagizo kutoka juu au ni utashi binafsi wa spika?
Kuiweka taarifa hiyo wazi wakati polisi na vyombo vingine vya dola vinaendelea na uchunguzi kungeathiri zoezi zima la upelelezi. Hivyo yawezekana ilionekana ni busara kamati ikawasilisha ripoti hiyo kwa vyombo vyenyewe. Ifahamike kamati hii iliteuliwa hadi wajumbe toka upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwijage na Masilingi wananifanya nisitaje jina langu kamili mbele za watu kudisclose my tribe aseeh..!!

Nimeangalia video ya Lissu na huyu balozi wetu, kiukweli kama binadamu nilie kamili, nime muonea huruma balozi wetu, ana tia huruma mnoo. so sad maana hata kujieleza kwakwe shida kidogo
 
Kuiweka taarifa hiyo wazi wakati polisi na vyombo vingine vya dola vinaendelea na uchunguzi kungeathiri zoezi zima la upelelezi. Hivyo yawezekana ilionekana ni busara kamati ikawasilisha ripoti hiyo kwa vyombo vyenyewe. Ifahamike kamati hii iliteuliwa hadi wajumbe toka upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Mujibu wa Kangi Lugola bungeni hakuna upelelezi unaofanywa kuhusiana na shambulizi la Lissu , huo upelelezi unaousema umeuokota wapi ?
 
Kwa Mujibu wa Kangi Lugola bungeni hakuna upelelezi unaofanywa kuhusiana na shambulizi la Lissu , huo upelelezi unaousema umeuokota wapi ?
Ni utaratibu wa kisheria kutosema chochote juu ya tukio la kihalifu ambalo uchunguzi au upelelezi wake bado haujakamilika. Hivyo Mhe Kangi Lugola amesema hivyo ili kutokiuka kanuni za kiupelelezi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Propaganda zao mpaka sasa zimegonga mwamba...,hakuna hoja yenye mashiko
Wao wamebaki tu kuwa tunamtaka dereva wa Lissu......

Hivi mnamtaka huyu dereva ili mumuhoji au mnataka kumfanyia kitu mbaya??
 
Ilikuwa ni maagizo toka juu.........

Baada ya Kamati hiyo kubaini kuwa kiongozi wa kikosi kile cha mauaji alikuwa ni "mtoto" kipenzi wa Mkulu, kwa jina anatambulika kama Bashite!

Wakastopishwa ghafla kutoa taarifa hiyo Bungeni
Sasa kwanini spika anasema hajui TL alipo? Ripoti ya time haikueleza kama alipelekwa wapi?
 
Back
Top Bottom