makwerekwere=wakuja/mhamiaji. mostly interpreted in a negative way. hutumika katika kuelezea hisia za kibaguzi dhidi ya mgeni/wahamiajiMkuu Kwerekwere ina maanisha nn
makwerekwere=wakuja/mhamiaji. mostly interpreted in a negative way. hutumika katika kuelezea hisia za kibaguzi dhidi ya mgeni/wahamiajiMkuu Kwerekwere ina maanisha nn
Huu ujinga ulizia kwa babu na babu zako waliokuwa wanaletewa gololi za plastic wanabadishiwa kwa almas bro,husijifanye hujui. Angalia migodi yote ya madini hapa kwetu inamilikiwa karibu yote na wazungu je wanachotulipa kilikuwa kinastahili?Si ndugu zako ndo wanampa? yeye hana kosa yuko smart sana.,wewe na viongozi wako ndo siyo wa kuamini, na hiyo vita inayopiganwa kwa baadhi ya nchi za Africa ni ujinga wako wewe ji Africa umeamua kufurahia kumuua ndugu yako. kuna mzungu anapigana huko Maiduguri, Alshaabab wamo wazungu? kwa nini usikatae kushika silaha dhidi ya ndugu yako? ambayo pia hujui hata kiwanda chake kilipo?fyuuuuuu¬
naww unataka ulipe kisasi?
Halafu hii dunia tukianza kufukuzana unafikiri tutafika wapi?manake dunia nzima imejawa na watu wa mataifa mbalimbali. Wa taifa hili kaja huku wa taifa lile kaenda kule. Mpaka kuna intermarriage ndani yake humohumo.Sasa tukianza kufukuzana kila mtu aende kwao kutatokea vurugu ya ajabu sana!Kwani hao wazawa wamekatazwa kuomba kazi kwenye hivyo viwanda? Au wamekatazwa na wao kuanzisha biashara ndogo ndogo?
Sijaona hoja hapo!
Watu wanapokimbilia Afrika ya Kusini si wote ni wahamiaji haramu, watu wanakimbilia fursa, na ndivyo hulka ya binadamu ilivyo. Ni kama jamii tofauti Duniani wanavyokimbilia Amerika.
Mzulu hataki kusoma, hataki kufanya kazi halafu anataka hela ya chap chap: Na jamii ya black wa Afrika Kusini wengi ni wavivu. Wamebweteka kutokana na hatua nchi yao ilivyopiga ambayo ni matunda ya wazungu.
Wageni wanakuja wanachapa kazi wanafanikiwa kimaisha. Mwisho wa siku wanajengewa chuki na wazawa na ndiyo hali halisi. Halafu mbona hawawagusi wahamiaji weupe?
Ukitaka kuijua vizuri akili ya Wazulu mwangilie Jacob Zuma na kipindi cha urais wake. Halafu mfananishe na Thabo Mbeki.