Hii ni mbaya Sana. Wamalawi bifu lilianza walipomkamata nabii Bushir kwa makosa ya kusadikika.Sasa na hili la xenophobia,wameona na wao wajibu mapigo!Hii kitu itakuja kuwa mbaya sana yaani na wao wakifanyiwa nadhani itakuwa moto kwa moto kila mtu ainue majembe arudi kwao,duu hapa kwetu itakuwa balaa sana make wamejaa sana ila hawajijui kabisa
Afadhali Wamalawi wamejitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu mbaya sana wanachofanya Wazulu.Wanaita Waafrika wenzao kwerekwere ,wamesahau fadhila walizofanyiwa kipindi cha struggle ,apartheid
Nimeona hata malema amewachana sanaCha ajabu hao wasouth hawajaribu hata kidogo kuwasumbua wazungu.. wao wanadhani.weusi.wenzao ndio shida.. umasikini.wa.mawazo ni janga baya sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu ndoo wasenge wanaowajaza blacks usenge na kwa sababu blacks hatujitambui tunanyongana wenyeweCha ajabu hao wasouth hawajaribu hata kidogo kuwasumbua wazungu.. wao wanadhani.weusi.wenzao ndio shida.. umasikini.wa.mawazo ni janga baya sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu hawawezi Fanya huo ujinga manake wanazo investments all over Africa. Zikianza kushambuliwa wao ndio watapata hasara!Wazungu ndoo wasenge wanaowajaza blacks usenge na kwa sababu blacks hatujitambui tunanyongana wenyewe
Hii ya devide and rule through collaborators inatugharimu sana, imagine nchi zote za Africa tuanze kuwafukuza Wasauzi na kuwaua popote walipo ili warudi kwao itakuwa balaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wa malawi wapuuzi kweli hao. Yaani wenzao wanauawa wao wanachoma mabasi matupu. Kenge kabisa.