Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,108
- 35,089
Tatizo la uwepo wa wamachinga sio kukosa maeneo rasmi ya kuuzia bidhaa zao, tatizo ni asili ya biashara ya umachinga.
Biashara ya umachinga inataka kuzurula, kusongamana, holela na kufanyika maeneo ya njia kuu zenye kupitiwa na watu wengi.
Kuna sehemu nyingi kuna masoko mazuri lakini utashangaa wafanyabiashara wengi (wamachinga!) wamejazana nje ya soko na ndani hakuna wauzaji.
Mmachinga ni sawa sawa na kuku wa kienyeji, anaishi vizuri kwa kuachiwa azurure.
Biashara ya umachinga inataka kuzurula, kusongamana, holela na kufanyika maeneo ya njia kuu zenye kupitiwa na watu wengi.
Kuna sehemu nyingi kuna masoko mazuri lakini utashangaa wafanyabiashara wengi (wamachinga!) wamejazana nje ya soko na ndani hakuna wauzaji.
Mmachinga ni sawa sawa na kuku wa kienyeji, anaishi vizuri kwa kuachiwa azurure.