Sakata la Wakurugenzi na Makatibu Tawala kusimamia uchaguzi

BIN BOR

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
1,013
407
Tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa nimeona kwenye picha katibu tawala (DSM) akisimamia zoezi za kuapisha wasimamizi wa kila wilaya. Je, wataripoti kwake? Kama ndiyo, hukumu ya ile kesi iliishia wapi?
 
Ile kesi ya Bob wangwe naona iko kimya huenda majaji wanaogopa kugonganisha mhimili wa mahakama na serikali...
 
Katika kesi ya Wangwe, hoja ya msingi ilikuwa “wakurugenzi”. Hii inayofanyika imekwepa “wakurugenzi” na kuweka “maDAS”. Serikali hapo imetumia technivally ya hukumu kuwaweka maDAS huku ikipuuza kuwa maDAS wanateuliwa katika mtindo ule ule wa wakurugenzi, wakuu wa wilaya na mikoa.

Ninaona kesi ijayo ikihoji kama serikali kusimamia chaguzi za vyama vya siasa na huku yenyewe pia inatokana na chama cha siasa.
 
Back
Top Bottom