JembeNaNyundo
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 532
- 646
Katika vikao vya kupitisha bei ya viwanja vya Songwe Satellite City, msimamo wa viongozi wa vyama na Serikali Wilayani Mbeya ulikuwa kila square meta moja kuuzwa kwa bei isiyozidi sh. 7,000/= (Dodoma wanauza square meta moja 6,000/=).
Lakini taarifa zinadai viongozi wa kisiasa na Serikali walipewa pesa na ahadi ya kupewa viwanja kulegeza msimamo wao ili bei isishuke. Mwisho wa siku ilishushwa kwa sh. Mia tano tu (500/=) katika kila square meta moja (toka 12,000/=) na hivyo bei ya sasa kuwa 11,500/= kwa square meta moja kwa viwanja vya makazi.
Mheshimiwa Rais tusaidie sisi wanyonge, huyu Nehemia Mchechu wa NHC anataka kutuumiza na hii kampuni yake binafsi.
Lakini taarifa zinadai viongozi wa kisiasa na Serikali walipewa pesa na ahadi ya kupewa viwanja kulegeza msimamo wao ili bei isishuke. Mwisho wa siku ilishushwa kwa sh. Mia tano tu (500/=) katika kila square meta moja (toka 12,000/=) na hivyo bei ya sasa kuwa 11,500/= kwa square meta moja kwa viwanja vya makazi.
Mheshimiwa Rais tusaidie sisi wanyonge, huyu Nehemia Mchechu wa NHC anataka kutuumiza na hii kampuni yake binafsi.