Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Chama cha fujo hichi.
Katiba ni muhimu sana ona ccm wanapiga police utafikiri sio chama cha siasa wako juu ya sheriaBabati. Sakata la kukamatwa na polisi na kulazwa mahabusu kwa viongozi wawili wa CCM wilayani Babati Mkoa wa Manyara, kwa madai ya kumpiga askari Polisi limechukua sura mpya baada ya mashuhuda wa tukio hilo kudai kuwa polisi huyo hakupigwa.
Viongozi waliokamatwa na kulazwa mahabusu katika kituo cha Kiru wilayani humo, ni Katibu wa CCM wa Wilaya ya Babati, Filbert Mdaki (52) na Katibu wa UVCCM Wilaya hiyo George Sanka (46), ambapo inadaiwa kuwa walimpiga mateke na fimbo Koplo Baraka aliyekuwa akihoji sababu ya mkusanyiko wa wanachama wa chama hicho Desemba 16.
Mmoja kati ya mashuhuda wa tukio hilo Amos Bura akizungumza leo Desemba 22, amesema viongozi hao hawakupaswa kukamatwa na kulazwa mahabusu kwani hawakumpiga askari.
Bura amesema viongozi hao walikuwa kwenye mkutano wa mgogoro wa ardhi wa Kijiji cha Kirudiki na mwekezaji ndipo askari huyo akataka kuwepo mkutano hapo.
"Viongozi hao wawili walikuwa wanatumia lugha ya kidiplomasia katika kumsihi huyo askari aondoke kwenye mkutano wao na siyo kumpiga," amesema Bura.
Akizungumzia juu ya tukio hilo, katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM), George Sanka amesema wao hawakumpiga askari polisi kama inavyozungumzwa, ila walikuwa wanazungumza naye ili aondoke kwenye eneo hilo baada ya watu kujawa hofu baada ya kumwona.
Hata hivyo, katibu wa CCM Wilaya ya Babati Vijijini, Filbert Mdaki amesema hayupo tayari kuzungumza kwenye vyombo vya habari juu ya tukio hilo.
Akizungumzia maoni ya wana CCM hao, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga amesisitiza kuwa askari huyo alipigwa na bado wako kwenye uchunguzi wa suala hilo.
Chanzo: Gazeti la mwananchi
Wewe kumbe huwajui CCM. Huku wanawaambia watawaliwa wao kijana ni yule mwenye umri chini ya 35 Ila wao Katibu wa UVCCM ana 46. Ajabu ni pale JK alipoingia madarakani 2005 akiwa 55yrs na wakatuambia wametuletea rais kijana. Juzi Chile wamemchagua kijana wa miaka 35 kuwa Rais wao hapa CCM wangeteambia wamempata Rais mtoto. Ipo siku watatwambia Wasira ni Katibu UVCCM Bunda.Katiba /kanuni za UVCCM zinamtaja kijana ni yule mwenye umri kuanzia mingapi mpaka ngapi?
Hili jambo japo ni nje ya mada naomba niliongelee na mimiKatiba /kanuni za UVCCM zinamtaja kijana ni yule mwenye umri kuanzia mingapi mpaka ngapi?
Yoyote kwa yote polisi kwa sasa imani kwetu ime pungua sana.Babati. Sakata la kukamatwa na polisi na kulazwa mahabusu kwa viongozi wawili wa CCM wilayani Babati Mkoa wa Manyara, kwa madai ya kumpiga askari Polisi limechukua sura mpya baada ya mashuhuda wa tukio hilo kudai kuwa polisi huyo hakupigwa.
Viongozi waliokamatwa na kulazwa mahabusu katika kituo cha Kiru wilayani humo, ni Katibu wa CCM wa Wilaya ya Babati, Filbert Mdaki (52) na Katibu wa UVCCM Wilaya hiyo George Sanka (46), ambapo inadaiwa kuwa walimpiga mateke na fimbo Koplo Baraka aliyekuwa akihoji sababu ya mkusanyiko wa wanachama wa chama hicho Desemba 16.
Mmoja kati ya mashuhuda wa tukio hilo Amos Bura akizungumza leo Desemba 22, amesema viongozi hao hawakupaswa kukamatwa na kulazwa mahabusu kwani hawakumpiga askari.
Bura amesema viongozi hao walikuwa kwenye mkutano wa mgogoro wa ardhi wa Kijiji cha Kirudiki na mwekezaji ndipo askari huyo akataka kuwepo mkutano hapo.
"Viongozi hao wawili walikuwa wanatumia lugha ya kidiplomasia katika kumsihi huyo askari aondoke kwenye mkutano wao na siyo kumpiga," amesema Bura.
Akizungumzia juu ya tukio hilo, katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM), George Sanka amesema wao hawakumpiga askari polisi kama inavyozungumzwa, ila walikuwa wanazungumza naye ili aondoke kwenye eneo hilo baada ya watu kujawa hofu baada ya kumwona.
Hata hivyo, katibu wa CCM Wilaya ya Babati Vijijini, Filbert Mdaki amesema hayupo tayari kuzungumza kwenye vyombo vya habari juu ya tukio hilo.
Akizungumzia maoni ya wana CCM hao, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga amesisitiza kuwa askari huyo alipigwa na bado wako kwenye uchunguzi wa suala hilo.
Chanzo: Gazeti la mwananchi
Akizungumzia maoni ya wana CCM hao, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga amesisitiza kuwa askari huyo alipigwa na bado wako kwenye uchunguzi wa suala hilo.Babati. Sakata la kukamatwa na polisi na kulazwa mahabusu kwa viongozi wawili wa CCM wilayani Babati Mkoa wa Manyara, kwa madai ya kumpiga askari Polisi limechukua sura mpya baada ya mashuhuda wa tukio hilo kudai kuwa polisi huyo hakupigwa.
Viongozi waliokamatwa na kulazwa mahabusu katika kituo cha Kiru wilayani humo, ni Katibu wa CCM wa Wilaya ya Babati, Filbert Mdaki (52) na Katibu wa UVCCM Wilaya hiyo George Sanka (46), ambapo inadaiwa kuwa walimpiga mateke na fimbo Koplo Baraka aliyekuwa akihoji sababu ya mkusanyiko wa wanachama wa chama hicho Desemba 16.
Mmoja kati ya mashuhuda wa tukio hilo Amos Bura akizungumza leo Desemba 22, amesema viongozi hao hawakupaswa kukamatwa na kulazwa mahabusu kwani hawakumpiga askari.
Bura amesema viongozi hao walikuwa kwenye mkutano wa mgogoro wa ardhi wa Kijiji cha Kirudiki na mwekezaji ndipo askari huyo akataka kuwepo mkutano hapo.
"Viongozi hao wawili walikuwa wanatumia lugha ya kidiplomasia katika kumsihi huyo askari aondoke kwenye mkutano wao na siyo kumpiga," amesema Bura.
Akizungumzia juu ya tukio hilo, katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM), George Sanka amesema wao hawakumpiga askari polisi kama inavyozungumzwa, ila walikuwa wanazungumza naye ili aondoke kwenye eneo hilo baada ya watu kujawa hofu baada ya kumwona.
Hata hivyo, katibu wa CCM Wilaya ya Babati Vijijini, Filbert Mdaki amesema hayupo tayari kuzungumza kwenye vyombo vya habari juu ya tukio hilo.
Akizungumzia maoni ya wana CCM hao, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga amesisitiza kuwa askari huyo alipigwa na bado wako kwenye uchunguzi wa suala hilo.
Chanzo: Gazeti la mwananchi
Katiba /kanuni za UVCCM zinamtaja kijana ni yule mwenye umri kuanzia mingapi mpaka ngapi?
Huyo shahidi alikuwa anautolea wapi huo ushahidi?kwani tayali kesi ishaenda mahakamani?Babati. Sakata la kukamatwa na polisi na kulazwa mahabusu kwa viongozi wawili wa CCM wilayani Babati Mkoa wa Manyara, kwa madai ya kumpiga askari Polisi limechukua sura mpya baada ya mashuhuda wa tukio hilo kudai kuwa polisi huyo hakupigwa.
Viongozi waliokamatwa na kulazwa mahabusu katika kituo cha Kiru wilayani humo, ni Katibu wa CCM wa Wilaya ya Babati, Filbert Mdaki (52) na Katibu wa UVCCM Wilaya hiyo George Sanka (46), ambapo inadaiwa kuwa walimpiga mateke na fimbo Koplo Baraka aliyekuwa akihoji sababu ya mkusanyiko wa wanachama wa chama hicho Desemba 16.
Mmoja kati ya mashuhuda wa tukio hilo Amos Bura akizungumza leo Desemba 22, amesema viongozi hao hawakupaswa kukamatwa na kulazwa mahabusu kwani hawakumpiga askari.
Bura amesema viongozi hao walikuwa kwenye mkutano wa mgogoro wa ardhi wa Kijiji cha Kirudiki na mwekezaji ndipo askari huyo akataka kuwepo mkutano hapo.
"Viongozi hao wawili walikuwa wanatumia lugha ya kidiplomasia katika kumsihi huyo askari aondoke kwenye mkutano wao na siyo kumpiga," amesema Bura.
Akizungumzia juu ya tukio hilo, katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM), George Sanka amesema wao hawakumpiga askari polisi kama inavyozungumzwa, ila walikuwa wanazungumza naye ili aondoke kwenye eneo hilo baada ya watu kujawa hofu baada ya kumwona.
Hata hivyo, katibu wa CCM Wilaya ya Babati Vijijini, Filbert Mdaki amesema hayupo tayari kuzungumza kwenye vyombo vya habari juu ya tukio hilo.
Akizungumzia maoni ya wana CCM hao, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga amesisitiza kuwa askari huyo alipigwa na bado wako kwenye uchunguzi wa suala hilo.
Chanzo: Gazeti la mwananchi