Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,118
- 2,901
Waandishi Mtafuteni Huyo Tapeli Picha Tuzione
Hii dhana nzima ya kwenda kuzuia ndoa huwa siielewagi aisee. Inakuwa ni kwamba mwenza wako hakutaki, halafu unamganda? Manake nikiambiwa a week before namuitia loya magumashi namsainisha documents za divorce chap chap namtolea nguo zake kwa dirishani.
hii habari ya kupigania mume ama mke ndo mapenzi ama ni uchizi? Au mie sipendi? Believe me you, nikikuta msg ya mapenzi kwenye simu ya paw siwezi kumpigia simu huyo dada. Nitauliza tu vipi mshkaji, ndo kusema? Halafu namuachia yeye kazi ya kunifuatilia na kunishawishi!
manake ukishazuia ndoa kanisani, mnarudi kuendelea na mapenzi as if he was sleep walking, ama ndo unaanza kugombana na kutukanana hadi aombe msamaha muendelee? How does it feel kuishi na mtu ambae unajua sheria tu inamfunga, otherwise he has better choices?
cc Kongosho, snowhite, AshaDii Kwa maelezo zaidi manake nyie ndo ntawaamini.
Muosha huoshwaaaaa!
hahaahahh WANAWAKE NA MAENDELEO..,,,,
kama kuna kitu waelewa funguka,, we dare talk hapa..
muoshwa aliwahi kumuosha Mama Salma mke wa rais.unadhani ubunge kaupata from no where?
Masai nditoo nimependa sana hii coment nikasema nisipite bila bonge la like.hahaahahh WANAWAKE NA MAENDELEO..,,,,
teh,teh acha kumdhalilisha mbunge wa CCM
Kwa hiyo mke wa jamaa aliyejitokeza ndio Ramos au vipi Mshuza 2?Duh..hii kubwa kuliko! Kweli..what goes around,comes around! kama A.Madrid vile mwishooni wanaharibu shughuli!
Masai nditoo nimependa sana hii coment nikasema nisipite bila bonge la like.
umechelewa sana tu, sijui unaishi North korea?
Sasa Masai, Mbona mpaka wanasema ashapewa kikacherini na huyo tapeli? tatizo langu ni kwamba inakuwaje anatangaza ndoa mpaka mjengoni ikiwa hajui ndugu na familia ya bwana? hivi inakuja kweli? au alidhani ndoa za kikristo ni sawa na ile ya ndiooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!! Nadhani waliosema ndio wameshinda hivyo aolewe. Ila ni fundisho kwa wasichana wote. Waache kupapatikia wanaume kwa uchu wa ndoa. Ona sasa yuko kwenye drip.unajua mkuu hii issue ni sawa na ya auntie Ezekiel katangaza weweeee naolewa naolewa KAOLEWA KADUMU KWENYE NDOA HAJADUMU
SASA HUYU HAKUPATA HATA FURSA YA KUINGIA NDANI
POINT YANGU NI KWAMBA NDOA SI ZA VYOMBO VYA HABARI NDOA NI NYINYI WAWILI
YAANI MPAKA AINA YA CHUUUUUUP YA BI NA BWANA HARUSI INAJULIKANA NI IPI WATAVAA SIKU YA HARUSIII???
ukitaka makuu lazima uumbuke
Sasa Masai, Mbona mpaka wanasema ashapewa kikacherini na huyo tapeli? tatizo langu ni kwamba inakuwaje anatangaza ndoa mpaka mjengoni ikiwa hajui ndugu na familia ya bwana? hivi inakuja kweli? au alidhani ndoa za kikristo ni sawa na ile ya ndiooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!! Nadhani waliosema ndio wameshinda hivyo aolewe. Ila ni fundisho kwa wasichana wote. Waache kupapatikia wanaume kwa uchu wa ndoa. Ona sasa yuko kwenye drip.
Naweka kumbukumbu sawa.... Kuwa ukiwa kama kada wa ccm unaungana na wale wanaokiri kuwa Mh. Baba Riz Moko ni mzinzi..
Hii dhana nzima ya kwenda kuzuia ndoa huwa siielewagi aisee. Inakuwa ni kwamba mwenza wako hakutaki, halafu unamganda? Manake nikiambiwa a week before namuitia loya magumashi namsainisha documents za divorce chap chap namtolea nguo zake kwa dirishani.
hii habari ya kupigania mume ama mke ndo mapenzi ama ni uchizi? Au mie sipendi? Believe me you, nikikuta msg ya mapenzi kwenye simu ya paw siwezi kumpigia simu huyo dada. Nitauliza tu vipi mshkaji, ndo kusema? Halafu namuachia yeye kazi ya kunifuatilia na kunishawishi!
manake ukishazuia ndoa kanisani, mnarudi kuendelea na mapenzi as if he was sleep walking, ama ndo unaanza kugombana na kutukanana hadi aombe msamaha muendelee? How does it feel kuishi na mtu ambae unajua sheria tu inamfunga, otherwise he has better choices?
cc Kongosho, snowhite, AshaDii Kwa maelezo zaidi manake nyie ndo ntawaamini.
2008 hadi mwanzoni mwa
2010. Nikiwa nafanya post doc Glasgow, nilijikuta ninamahusiano mabaya
na Vicky K. Yes alikuwa Southampton Solent University akifanya Masters
ambayo alifail. Kila Wiki alikuwa akija Glasgow. Nilimweleza nimeowa
hapa tunapashana moto. Bint alichanganyikiwa mno ... mara kadhaa
Kikwete alimpigia simu tumemchezea sana raisi ndiye aliyelipa fees. Mara
nyingi tulimweka kwa spika. Alirudi bongo akawa mbunge. Nilijichomoa
kwake nilirudi bongo 2011 mwishoni yeye akawa na mahusiano bado na
Kikwete na Eliakim Maswi. Alikuwa na pesa nyingi mno amewahi
kunikutanisha na Chenge, Ngereja, Cheyo sehemu fulani Dar wakanisihi
nikiwa na kadi ya CCM nitapewa ukatibu mkuu. Niliwajibu kisukuma nafsi
yangu itanihukumu. VK amejitahidi nivunje ndoa niligoma nampenda mama
mch yeye mchepuko. Tukakubaliana tuwe 2012 marafiki alinichukia mno
mno. Ndoa kwake ni kitu anachokithamini sana. Anawatoto 2 Levo 16 yrs
na Glory 5 yrs huyu ni wa Kikwete. Hii harusi amenitahidi mno Pinda
hata Makinda wamelazimisha paroko nusu aingie kingi uongozi wa juu
ulipozinasa ndoa isifunginge. Vicky nilimpima ngoma ndiyo maana
nawaambiaga JK liko lizima.