Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,648
- 218,101
Akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Makao Makuu ya Chadema, Nje ya Jiji la Dar es Salaam, Huko Kinondoni Mtaa wa Ufipa, Mwenyekiti wa Bavicha John Pambalu, Amesema kwamba Upendeleo wa Ajira za Makalani wa Sensa uliovujishwa na Wazalendo wa Mbeya upo Nchi nzima, kiasi cha kulitia Aibu Taifa.
Ameitaka serikali kujitokeza hadharani na kuomba radhi na kurekebisha Aibu hiyo haraka, Vinginevyo kampeni kabambe ya kuhakikisha haki inatendeka itaanza Rasmi
Mytake: Hili suala linaweza kuvuruga mpango wote mzuri wa Sensa.
Ameitaka serikali kujitokeza hadharani na kuomba radhi na kurekebisha Aibu hiyo haraka, Vinginevyo kampeni kabambe ya kuhakikisha haki inatendeka itaanza Rasmi
Mytake: Hili suala linaweza kuvuruga mpango wote mzuri wa Sensa.