Sakata la Umeme Nchini: Dr. Rashid Alikuwa Sahihi na kamati ya Bunge Ilikosea

Ngekewa,
Unatumia nguvu sana kusaidia UNUNUZI wa mitambo ya Dowans. Kama uko gizani basi pole sana. Ila naona utakuwa USA maana mchana mzima kwa masaa ya huku Tz, mwenzetu ulikuwa umelalana sasa ndiyo umeamka na kuanza kufokafoka kama 50 Cents.

Hiyo mitambo ya Dowans mnaweza wewe na maboss wako RA na EL mkaingiza sehemu husika maana sisi TUMESHABANA na hatuachii. Habari ndiyo hiyo. Uchaguzi mwakani, sidhani kama Kikwete atathubutu KUJIPANDISHA msalabani. Tumeshaamka na TUMEVAA chupi za chuma, Gongagonga hawapati kitu.

Nakubaliana na wee kitu kimoja, MITAMBO ya DOWANS ni ya KUFILISI na si kununua.

Ngoja nizime Generaotor maana majirani watalalamika kuwa nimewasha usiku mzima. Na upepo sasa hivi si mkubwa, mapangaboy hayazunguki sana na hapo umeme unasuasua. Ngekewa, msalimie sana EL na RA pia mjomba Rashid.
 
Ngekewa,
Mkuu wangu vipi? mbona maswali yako yanakuja baada ya kuona kiza leo hivi hukuona kiza wakati Richmond wakijaribu kuingiza mitambo yao?.. Ulikuwa wapi wakati mgao unaendeleo toka wakati wa Mkapa hadi mwaka mzima ndani ya Utawala wa Kikwete kwa nini usipinge kuondolewa kwa Richmond kwa sababu mitambo iliusha fika nchini iweje huyo Kikwete aunde kamati ya kina Mwakyembe kuchunguza Richmond wakati wananchi wanataabika na umeme. Hivi umesahau generator ziolivyopanda bei ghafla na mji mzima ukiloloma magenerator ila leo unawaona kina Sitta ndio wachawi..
I mean mkuu kuna tofauti gani ilokufanya wewe ukae kimya wakati ule lakini leo uwe mtetezi mkubwa wa Dowans ktk tatizo ni lile lile.
Nimekwisha sema hizo generator za Dowans ni USHAHIDI ktk kesi ambayo inaendelea hivyo kuinunua mitambo hiyo ni sawa na kuondoa ushahidi. Ni hadi pale swala la Richmond/Dowans litakapo pata ufumbuzi mahakamani ndipo tunaweza kununua tena mitambo hiyo kwa kufuata utaratibu unaotakiwa..
Pili, nakumbuka kulingana na maneno ya hao hao viongozi wako tunawadai fedha nyingi Richmond ambazo zilikuwa zipigwe kisu ktk malipo ya kila mwezi hadi deni letu litakapo kwsiha.. hadi hapo hatujapata suluhu ya fedha zetu zilizobakia, leo mnataka twende kununua mitambo ya watu wale wale tunaowadai fedha na walituingiza ktk mkataba feki..
Je, unakumbuka kwamba ni Lowassa huyu huyu aliwafukuza City Water baada ya kushindwa kukidhi mahitaji yetu kulingana na mkataba?.Na mji mzima ulikosa maji visima vikachimbwa hadi katikati ya mji..Deal za mjini ilikuwa uchimbaji visima na kuuza pump hilo halikuwa shida!
Mkuu wangu, mimi sina elimu zaidi ya viongozi wa nchi yetu wala sina utaalam ktk fani hiyo lakini somo lililopo hapa halihitaji ELIMU wala Utaalam kwa sababu Umeme ni kati ya MAHITAJI au TATIZO ambalo halina somo zaidi ya kutafuta Solution. Hivyo mbora kati yetu sote ni yule anayeweza ku Indentify solution na kwa bahati mbaya mitambo ya Dowans is not a solution.
Bila sjhaka leo tupo kizani lakini hata kama tungenunua mitambo ya Dowans tatizo hili lingekuwepo bado..Umeme uliopungua na ambao tunauhitaji kwa sasa hivi ni zaidi ya hiyo Mw 100..Mkuu kama unakumbuka mabwawa yote yakifanya kazi tunazalisha umeme zaidi ya hizo Mw 100 lakini bado sehemu kubwa ya mji ni kiza hasa barabara zote za mjini na vitongoji vyake ni kiza kitupu. Kifupi Umeme ni wa Mgao kwa kila siku ya maisha yetu.
Kama umeme ungekuwa ktk hesabu ya MAHITAJI yetu, tusingefikia kuwa TATIZO hata kidogo na kutoelewa kwenu mahitaji ndio maana mnashindwa kufahamu kwa nini Tanzania ni nchi maskini!
 
Ngekewa,
Unatumia nguvu sana kusaidia UNUNUZI wa mitambo ya Dowans. Kama uko gizani basi pole sana. Ila naona utakuwa USA maana mchana mzima kwa masaa ya huku Tz, mwenzetu ulikuwa umelalana sasa ndiyo umeamka na kuanza kufokafoka kama 50 Cents.

Hiyo mitambo ya Dowans mnaweza wewe na maboss wako RA na EL mkaingiza sehemu husika maana sisi TUMESHABANA na hatuachii. Habari ndiyo hiyo. Uchaguzi mwakani, sidhani kama Kikwete atathubutu KUJIPANDISHA msalabani. Tumeshaamka na TUMEVAA chupi za chuma, Gongagonga hawapati kitu.

Nakubaliana na wee kitu kimoja, MITAMBO ya DOWANS ni ya KUFILISI na si kununua.

Ngoja nizime Generaotor maana majirani watalalamika kuwa nimewasha usiku mzima. Na upepo sasa hivi si mkubwa, mapangaboy hayazunguki sana na hapo umeme unasuasua. Ngekewa, msalimie sana EL na RA pia mjomba Rashid.

Ndio maana. Kumbe mwenzetu una genereta na uwezo wa kununua mafuta kuliwasha usiku mzima kama akina EL, RA na Dr. R. Kwa hiyo lengo lako ni kumkomoa tu JK bila kujali shida wanazozipata wananchi.
 
Ndio maana. Kumbe mwenzetu una genereta na uwezo wa kununua mafuta kuliwasha usiku mzima kama akina EL, RA na Dr. R. Kwa hiyo lengo lako ni kumkomoa tu JK bila kujali shida wanazozipata wananchi.

That is off point, mkuu! Kama mtu ana uwezo wa kununua generator sio fisadi kama unavyodai!Usitake kupotosha mada. Kuna generator ya kila saizi na kila bei na hivi sasa watz tumeshajifunza huwezi kutegemea serikali itupatie umeme, maji barabara nk, tunajitafutie wenyewe ingawa tunalipa kodi nyingi. So kuwa na generator siyo big deal kama unavyotaka kudai.
Lakini tukirudi katika mada, unasema tunamkomoa JK, tunamkomoa kivipi? Kuhusu dili lake la Dowans? Kwa hiyo unataka tumtetee aendelee kuiba na akina RA? U don't make sense!
 
Masatu,
Mkuu nilishasema kama mnataka generator semeni na sisi tuifanye kazi... Nimetoka kuzungumza na mtu wa kampuni hii sasa hivi na kanambia mzigo upo tayari kinachotakiwa ni ndululu tu...Haya maswala ya gari sijui baiskeli yametoka wapi?.. si maneno yenu ya kutunga kuwazuga wadanganyika! generator ya Mw 100 wanayo pia..
Sasa ikiwa mtambo wa Richmond ulikwisha fungwa na kutayarishiwa sehemu iweje kazi hii iwe kubwa..Mkitaka isafirishwe kwa ndege inawezekana, kazi kwenu..
Haya jaribu wewe site yao ni hii hapa. Bofya

Yale yale! kila mtu ni engineer wa umeme sasa. Haya mambo mkuu yana taratibu zake, hayaendeshwi kwa "kama mnataka semeni" kuokota okota ma supplier ndio kulikozaa Richmond chonde chonde jama msiturudishe huko wakuu loo!
 
No Mkuu,
Richmonduli sheria zilipindwa na kila sehemu. Kama ingelikuwa imefanywa kwa uwazi ili kuleta hiyo mitambo na hilo lifanywe moja kwa moja sidhani kama lingelikuwa na ubaya. Usalama wa taifa, Wazuia Rushwa, Upinzani, Bunge, Tanesco, Rais, Waandishi wa habari kama wangelijulishwa na kuonyeshwa mpango mzima wa kununua mitambo kutoka kwa watengenezaji moja kwa moja na mwenye UBISHI basi aende KIWANDANI kuhakikisha, sidhani kama hili swala lingelileta ubishi.

Sasa unataka kusema Richmonduli lilifanywa kwa faida ya Mtanzania, basi naona tunaongelea kwenye ANGA mbili tofauti na NINANAWA mikono.

Mkuu,

Huo mlolongo wa kuomba ridhaa ya bunge, sijui kibali cha nini na ku by pass sheria ya manunuzi mpaka leo tungekuwa kwenye huo mchakato na ma generator hayajanunuliwa! Ikiwa kwenye kamati ya Bunge tu longolongo kibao itakuwa bunge lote!

Jamani mchakato wa kununua mitambo hii si rahisi kama ambavyo mnataka kutuaminisha hapa, waachieni wenye taaluma zao wafanye kazi zao
 
Nchi hii matatizo matupu,...Gasi kibao Kilwa, walishauliwa umeme uzalishwe pale....wakaweka bomba la kusafilisha gasi kwenye viwanda vyao na nyingine kuuza nje, wakati soko Tanesco lipo..... hii akili au matope. Wizi mtupu! Tungelikuwa na uwezo Dawa ni kuikimbia hiyo nchi tuwaache mafisadi wagombane wenyewe....lol
 
Yale yale! kila mtu ni engineer wa umeme sasa. Haya mambo mkuu yana taratibu zake, hayaendeshwi kwa "kama mnataka semeni" kuokota okota ma supplier ndio kulikozaa Richmond chonde chonde jama msiturudishe huko wakuu loo!

....wacha kupotosha wewe...angalia rekodi zako vizuri.......ilitumika nguvu ya Ikulu na EL kuipatia RDC zabuni.........notwithstanding evaluation ambayo RDC ilikuwa haina nafasi pamoja ushauri wa wataalamu kuwa kampuni hiyo haiwezi na haina historia ya kazi kama hiyo..................matokeo yake tuliishia kutumia pesa zetu kuwasaidia kupata hiyo mitambo.......na ndio maana......wana deni letu mpaka sasa..........

.....sasa anayeingilia maamuzi ya kitaalamu ni nani kama si wewe na akina RA..........jamani mnatia kinyaa........oneni aibu kidogo..........

....hivi ni kweli wewe yule Masatu mjenga hoja.....au kuna mtu kakuibia password yako mazee........duuhh
 
Ngekewa,
Unatumia nguvu sana kusaidia UNUNUZI wa mitambo ya Dowans. Kama uko gizani basi pole sana. Ila naona utakuwa USA maana mchana mzima kwa masaa ya huku Tz, mwenzetu ulikuwa umelalana sasa ndiyo umeamka na kuanza kufokafoka kama 50 Cents.

Hiyo mitambo ya Dowans mnaweza wewe na maboss wako RA na EL mkaingiza sehemu husika maana sisi TUMESHABANA na hatuachii. Habari ndiyo hiyo. Uchaguzi mwakani, sidhani kama Kikwete atathubutu KUJIPANDISHA msalabani. Tumeshaamka na TUMEVAA chupi za chuma, Gongagonga hawapati kitu.

Nakubaliana na wee kitu kimoja, MITAMBO ya DOWANS ni ya KUFILISI na si kununua.

Ngoja nizime Generaotor maana majirani watalalamika kuwa nimewasha usiku mzima. Na upepo sasa hivi si mkubwa, mapangaboy hayazunguki sana na hapo umeme unasuasua. Ngekewa, msalimie sana EL na RA pia mjomba Rashid.

Uko wrong!Niko Tanzania kama wewe lakini usiku ni wakati mzuri wa kutumia kelele za Generator! Nashukuru Mzee Ruksa kwa kuleta biashara huru nami siko gizani ingawa nikiamka nanuka moshi wa dizeli.
Nafikiri sote tuko huru kuwa na maoni tofauti katika suala moja, na maoni yangu ni kuwa tungenunua hiyo mitambo ili tusiwe gizani na wewe uko huru kuwa na maoni yako kumkomoa mtu na huku wewe ukikomoka. Kwa sie tuliopitia kambi za kijeshi tunajuwa kuwa ili umkomoe askari kwa kumuhenyesha usiku kucha basi nawe itabidi uache usingizi wako na hivyo ndivyo inavyoreflect katika reality ya uamuzi wa suala la Dowans.

Kinachosikitisha sana ni kuwa bado hatuna uwezo wala akili za kujinasua katika tatizo hili la kiza. Well tunao critics wazuri ambao hawana uwezo wa kuleta ushauri wa kutatua matatizo tunayoyakabili na wataalamu wetu hawana maana yoyote kwa vile nchi inaendeshwa kisiasa lakini cha kusikitisha ni kuwa uchumi utakapoanguka mtaanguka nyie kwani wananchi wa kawaida tayari wako hoi kiasi cha kutojali iwapo umeme upo au la kwani mafanikio ya uchumi hayawasaidii chochote.
 
hIyo mitambo ya Dowans kama ilishindwa ku produce umeme wakati ule ilipokuwa richmond kuna uhakika gani inaweza kufanya kazi sasa?

mahitaji ya umeme yanapita hizo megawatts 100, hata kama mitambo ukifanya kazi umeme utakao patikana hautoshi kuitoa nchi kizani, bado kuna watakao kaa gizani
 
Ngekewa,
Mkuu wangu vipi? mbona maswali yako yanakuja baada ya kuona kiza leo hivi hukuona kiza wakati Richmond wakijaribu kuingiza mitambo yao?.. Ulikuwa wapi wakati mgao unaendeleo toka wakati wa Mkapa hadi mwaka mzima ndani ya Utawala wa Kikwete kwa nini usipinge kuondolewa kwa Richmond kwa sababu mitambo iliusha fika nchini iweje huyo Kikwete aunde kamati ya kina Mwakyembe kuchunguza Richmond wakati wananchi wanataabika na umeme. Hivi umesahau generator ziolivyopanda bei ghafla na mji mzima ukiloloma magenerator ila leo unawaona kina Sitta ndio wachawi..
I mean mkuu kuna tofauti gani ilokufanya wewe ukae kimya wakati ule lakini leo uwe mtetezi mkubwa wa Dowans ktk tatizo ni lile lile.
Nimekwisha sema hizo generator za Dowans ni USHAHIDI ktk kesi ambayo inaendelea hivyo kuinunua mitambo hiyo ni sawa na kuondoa ushahidi. Ni hadi pale swala la Richmond/Dowans litakapo pata ufumbuzi mahakamani ndipo tunaweza kununua tena mitambo hiyo kwa kufuata utaratibu unaotakiwa..
Pili, nakumbuka kulingana na maneno ya hao hao viongozi wako tunawadai fedha nyingi Richmond ambazo zilikuwa zipigwe kisu ktk malipo ya kila mwezi hadi deni letu litakapo kwsiha.. hadi hapo hatujapata suluhu ya fedha zetu zilizobakia, leo mnataka twende kununua mitambo ya watu wale wale tunaowadai fedha na walituingiza ktk mkataba feki..
Je, unakumbuka kwamba ni Lowassa huyu huyu aliwafukuza City Water baada ya kushindwa kukidhi mahitaji yetu kulingana na mkataba?.Na mji mzima ulikosa maji visima vikachimbwa hadi katikati ya mji..Deal za mjini ilikuwa uchimbaji visima na kuuza pump hilo halikuwa shida!
Mkuu wangu, mimi sina elimu zaidi ya viongozi wa nchi yetu wala sina utaalam ktk fani hiyo lakini somo lililopo hapa halihitaji ELIMU wala Utaalam kwa sababu Umeme ni kati ya MAHITAJI au TATIZO ambalo halina somo zaidi ya kutafuta Solution. Hivyo mbora kati yetu sote ni yule anayeweza ku Indentify solution na kwa bahati mbaya mitambo ya Dowans is not a solution.
Bila sjhaka leo tupo kizani lakini hata kama tungenunua mitambo ya Dowans tatizo hili lingekuwepo bado..Umeme uliopungua na ambao tunauhitaji kwa sasa hivi ni zaidi ya hiyo Mw 100..Mkuu kama unakumbuka mabwawa yote yakifanya kazi tunazalisha umeme zaidi ya hizo Mw 100 lakini bado sehemu kubwa ya mji ni kiza hasa barabara zote za mjini na vitongoji vyake ni kiza kitupu. Kifupi Umeme ni wa Mgao kwa kila siku ya maisha yetu.
Kama umeme ungekuwa ktk hesabu ya MAHITAJI yetu, tusingefikia kuwa TATIZO hata kidogo na kutoelewa kwenu mahitaji ndio maana mnashindwa kufahamu kwa nini Tanzania ni nchi maskini!

Mkuu wangu, Nakupongeza kuwa una msimamo kwa unachokiona ni bora. Kwa mantiki hiyo hiyo sioni nina kosa kuwa na msimamo kwa ninachokiona ni bora kwa mujibu wa maoni yangu.Mpaka sasa tukiangalia maoni yetu tofauti tutagundua kuwa maoni yako ndiyo yanayoleta mada hii sasa hivi. Iwapo tungenunuwa mitambo ya Dowans na tukaingia kwenye Giza basi msimamo wangu ungekuwa ndio wenye mushkeli.
Richmond ambayo ndiyo chimbuko la matatizo yote haya ilkuwa na matatizo yake na tulishuhudia kuanguka kwa mtu mkubwa kabisda serikalini. Maoni ya kununuliwa mitambo iliyorithiwa na Dowans yalikuja katikati ya mtafaruku ulioletwa na Richmond na tayari baadhi ya Wabunge walikwishajipatia umaarufu kutokana na hilo na wengine walishapoteza nyadhifa zao kutokana na hilo. Sasa anapotokea mtu akatowa maoni tofauti na hali halisi panahitaji busara katika kuliangalia suala analolileta kinyume na mtizamo wa wengi. Busara ilihitajika kuangalia ushauri wa Wataalamu wa Tanesco na kuangalia wapi wamepata ujasiri wa kupingana na hisia za wengi?
Nasikitika hilo halikufanyika na sababu kubwa ni za kibinafsi za kutaka umaarufu. Mola anasema kuwa wanafiki siku zote hushinda kwa kipindi kifupi na baadae huzidiwa na ukweli na hilo ndilo lililotokea hapa kwetu kwani hata baada ya kufanya uchunguzi kamati ya Bunge imekiri kuwa kuna tatizo na baya zaidi wanakubali kuwa kulikuwa na kila jitihada iliyostahiki kufanywa lakini tatizo limebaki pale pale. Nini maana yake ? Kwa mie nisie na elimu naamini kuwa maana yake hapa ni kuwa wataalamu walipotoweaq pendekezo walishapima njia zote mbadala na kuona kuwa hakuna nyengine yoyote ya dharura bali kununua Dowans. Ama kwa huo msururu wa madai uliotowa nafikiri ulikuwa unajulikana na ulishatolewa ufafanuzi wa namna ya kutatua malalamiko hayo.
Hayo ni maoni yangu na nayatowa sio kwa kupendelea ufisadi bali kwa kunusuru Taifa.
 
That is off point, mkuu! Kama mtu ana uwezo wa kununua generator sio fisadi kama unavyodai!Usitake kupotosha mada. Kuna generator ya kila saizi na kila bei na hivi sasa watz tumeshajifunza huwezi kutegemea serikali itupatie umeme, maji barabara nk, tunajitafutie wenyewe ingawa tunalipa kodi nyingi. So kuwa na generator siyo big deal kama unavyotaka kudai.
Lakini tukirudi katika mada, unasema tunamkomoa JK, tunamkomoa kivipi? Kuhusu dili lake la Dowans? Kwa hiyo unataka tumtetee aendelee kuiba na akina RA? U don't make sense!

Kuwa na uwezo wakununua generator kusiwe sababu ya kulalamikia serikali kwa kutottimiza wajibu wake. Jee unataka kuniambia kuwa hao wenzetu walioendelea wameendelea kwa kila mtu kuwa na kajanerato? Nashindwa kufikiri nyumba ya vyumba kumi ikiwa na familia kumi tofauti kila mmoja ana generatorlake eti tunaisaidia serikali.
Ama hilo la JK na Dowans nakushangaeni mnaobeba bango la shutuma huku vyombo vya sheria vipo na wabunge wapiganaji hawako tayari kukusaidieni katika shutuma hizo dhidi ya kikwete.
 
mwakyembe1.jpg


"ACHA NCHI IINGI GIZANI NA LIWALO NA LIWE"-HARISSON MWAKYEMBE
 
Wakuu nadhani twende mbali zaidi ya JK na timu yake, ebu tujadili jinsi ya kuondokana na tatizo hili. Short term plans wont solve the problem.

JK alishashika hii wizara, leo rais!

Kesho usijeshtuka Ngeleja akawa rais,

Haya matatizo ni sisi wenyewe jamani, those guys are incompetent, na tumewachagua wenyewe.
 
..sasa nchi iko kwenye giza what are doing about it?

..je Dr.Rashid alikuwa anataka kununua mitambo ya Dowans kwa kutumia utaratibu gani? alikuwa hana mpango wa kuitisha tender?

..advantage ya mitambo ya Dowans ni kwamba tayari ilikuwa nchini na kwasababu ni michakavu bei yake ingeweza kuwa ya chini.

..watetezi wa Dowans walikuwa wanadai tuvunje taratibu za manunuzi ya serikali na kununua mitambo chakavu. kwanini wasipendekeze tu-bypass taratibu za manunuzi na kununua mitambo mipya kwa haraka moja kwa moja toka kwa watengenezaji.

..kwa upande mwingine hivi tangu february mpaka leo serikali na wataalamu wake wote hawawezi kuitisha tender ya kununua emergency generators mpya na kuzifunga?

..naamini tuko katika giza kutokana na HUJUMA na KIBURI cha kikundi fulani, siyo kwasababu nchi haina uwezo wa kununua generators.

NB:

..halafu JK kila kukicha yuko nchi za nje kutafuta wawekezaji wakati mazingira yenyewe ya uzalishaji/uwekezaji ndiyo haya.
 
Kuwa na uwezo wakununua generator kusiwe sababu ya kulalamikia serikali kwa kutottimiza wajibu wake. Jee unataka kuniambia kuwa hao wenzetu walioendelea wameendelea kwa kila mtu kuwa na kajanerato? Nashindwa kufikiri nyumba ya vyumba kumi ikiwa na familia kumi tofauti kila mmoja ana generatorlake eti tunaisaidia serikali.
Ama hilo la JK na Dowans nakushangaeni mnaobeba bango la shutuma huku vyombo vya sheria vipo na wabunge wapiganaji hawako tayari kukusaidieni katika shutuma hizo dhidi ya kikwete.

Duh mkuu, sijui hata nianze wapi! Maana naona we ni mtaalam wa kupotosha mada. sijaandika eti kwa kununua magenerator tunasaidia serikali? Labda uombe ufafanunuzi nikupe.
I am not in the business of helping mafisadis who are sitting in positions to call themselves government.
Kuhusu wabunge wapiganaji the same goes to Zitto ambaye kaandika waraka akijitetea and saying I told u so na hana point ya maana zaidi ya kutaka kujitakasa.
In this respect noone wins, instead of gloating tungetafuta suluhisho, lkn hamjaniconvince eti kununua mtambo kutoka kesi kubwa kama ya Richmond ambayo imeendelezwa chini ya Dowans ni suluhisho. if you cave in to such arguments, you lack backbone and principle. and you are serving the interests of the fisadis, no ifs no buts.
Arguing eti uchumi unashuka because of this mgao, naomba niulize kama si hujuma na attempt by dr Rashid to prove he is right, kwa nini hawafanyi cycle ya rationing ya masaa 3 maeneo yote kwa kupokezana? Mtalaam moja ameargue majuzi kuwa kwa shortage ya MW 72 this type of rationing is uncalled for, and it is common to have short cycle rationing instead of 14 hours.... je unalizungumziaje hili mkuu, badala la kushikia bango mtambo wa Dowans inunuliwe?
 
..sasa nchi iko kwenye giza what are doing about it?

..je Dr.Rashid alikuwa anataka kununua mitambo ya Dowans kwa kutumia utaratibu gani? alikuwa hana mpango wa kuitisha tender?

..advantage ya mitambo ya Dowans ni kwamba tayari ilikuwa nchini na kwasababu ni michakavu bei yake ingeweza kuwa ya chini.

..watetezi wa Dowans walikuwa wanadai tuvunje taratibu za manunuzi ya serikali na kununua mitambo chakavu. kwanini wasipendekeze tu-bypass taratibu za manunuzi na kununua mitambo mipya kwa haraka moja kwa moja toka kwa watengenezaji.

..kwa upande mwingine hivi tangu february mpaka leo serikali na wataalamu wake wote hawawezi kuitisha tender ya kununua emergency generators mpya na kuzifunga?

..naamini tuko katika giza kutokana na HUJUMA na KIBURI cha kikundi fulani, siyo kwasababu nchi haina uwezo wa kununua generators.

Mkuu hiyo chini ndiyo sababu hasa kwa nini tupo gizani na tutaendelea kuwa gizani. Mkapa aligundua kuwa VIA Tanesco kuna hela sana na ndipo akaanza madudu yake. Lowassa akaona na yeye alipoingia akaanzisha Richmonduli yake. Kila mtu anataka hali ya umeme iwe mbaya ili na yeye aanzishe umeme wake. Hata Mwakyembe na yeye anataka kuzalisha umeme..........

Nilishasema zamani kuwa Maswala ya ENERGY ni maswala ya TAIFA. Haya yanatakiwa kuwa chini ya TAIFA maana ndiyo nguzo ya uchumi. UMEME, MAFUTA na MAJI milele yarudishwe na yawe ni maswala ya TAIFA tu.

Dawa ni moja. Kumchagua RAIS ambaye atakuwa tayari kusolve haya maswala within 5 years. Akikwama, hamumpi term ya pili. Na kabla hajaja kazini, aonyeshe plan yake ya kuliokoa taifa kwenye UMEME.

Mie ni MPINZANI wa Dowans kwa sababu nafahamu haitasolve tatizo kwa vyovyote. Lazima tuwe giza na ikibidi tupate hasara kubwa tu, labda ndiyo tutajifunza kutafuta Wanasiasa wenye kusikiliza maoni ya Wahandisi na Wachumi ili hili swala kulimaliza MILELE. Ninaamini kuwa kama wangelitaka lingekuwa limeisha. Hii imekaa kama ile makala ya Kishoka kuhusu KUIUWA TRCL ili Vigogo wa serikali na rafiki zao wabebe mizigo kwa kutumia maroli ingawa nayo yanaharibu sana barabara. Acha wauwe future ya nchi, ila kesho sisi na watoto wao sote tutasota tu kwa kuwa watumwa wa Wachina watakaoinunua Tanzania kama siyo Waarabu ambao wameshaanza kununua Liliondo.
 
Mkuu hiyo chini ndiyo sababu hasa kwa nini tupo gizani na tutaendelea kuwa gizani. Mkapa aligundua kuwa VIA Tanesco kuna hela sana na ndipo akaanza madudu yake. Lowassa akaona na yeye alipoingia akaanzisha Richmonduli yake. Kila mtu anataka hali ya umeme iwe mbaya ili na yeye aanzishe umeme wake. Hata Mwakyembe na yeye anataka kuzalisha umeme..........

Nilishasema zamani kuwa Maswala ya ENERGY ni maswala ya TAIFA. Haya yanatakiwa kuwa chini ya TAIFA maana ndiyo nguzo ya uchumi. UMEME, MAFUTA na MAJI milele yarudishwe na yawe ni maswala ya TAIFA tu.

Dawa ni moja. Kumchagua RAIS ambaye atakuwa tayari kusolve haya maswala within 5 years. Akikwama, hamumpi term ya pili. Na kabla hajaja kazini, aonyeshe plan yake ya kuliokoa taifa kwenye UMEME.

Mie ni MPINZANI wa Dowans kwa sababu nafahamu haitasolve tatizo kwa vyovyote. Lazima tuwe giza na ikibidi tupate hasara kubwa tu, labda ndiyo tutajifunza kutafuta Wanasiasa wenye kusikiliza maoni ya Wahandisi na Wachumi ili hili swala kulimaliza MILELE. Ninaamini kuwa kama wangelitaka lingekuwa limeisha. Hii imekaa kama ile makala ya Kishoka kuhusu KUIUWA TRCL ili Vigogo wa serikali na rafiki zao wabebe mizigo kwa kutumia maroli ingawa nayo yanaharibu sana barabara. Acha wauwe future ya nchi, ila kesho sisi na watoto wao sote tutasota tu kwa kuwa watumwa wa Wachina watakaoinunua Tanzania kama siyo Waarabu ambao wameshaanza kununua Liliondo.

Tuko kwenye bus moja mkuu Sikonge.
 
Mwandishi elaborate. Una maana ghani Dr.Rashidi alikuwa sahihi na kamati walikuwa wrong. Hoja ni kwamba kamati ilishauri itafutwe machine nyingine hawakusema hakutakuwa na tatizo la umeme.Pili serikali iliambiwa itafute machine nyingine ilifanya hivyo?.Tenda miezi 12 je hadi leo hiyo tenda mbona haijatangazwa? kwanini? Je machine hiyo ya dowans wakati inanunuliwa tenda ilichukuwa miezi 12? No.Hiyo mitambo ya richmond hatupewi bure sasa hizo pesa kwanini zisitumike kununua mitambo mipya Serikali na tanesco ndo wanampango wa kuhujumu nchi.KWA NINI wanangangania MITAMBO YA RICHMONDS?.Na hiyo mitambo mbona haipati wateja nchi nyingine.toka izimishwe hadi leo kuna nini.
Huu mtambo wa lowasa pengine na Rashindi na kikwete wamo ni wa dili sasa umekwama wanataka watukamatishe. Lo hatulinunui.
 
Back
Top Bottom