Naona swala la kwanza la Tanesco wamechukua hatua gani limeshajibiwa. Sasa swali langu la pili la serikali imechukua hatua gani linahitaji kujibiwa maana niliuliza maswali matatu huko siku za nyuma.
Jibu la swali lako ni kuwa kamati ya Bunge iliridhika na namna serikali ilivyotumia fedha katika kufuatilia suala hilo.