Sakata la Umeme Nchini: Dr. Rashid Alikuwa Sahihi na kamati ya Bunge Ilikosea

Akina Zitto waliyaona haya tukawaita majina sijui fisadi kijana nk. Leo watu tunakosa uthubutu walau wa kusema samahani tulisokea na wenzetu walikuwa sahihi. Na kwa mjadala unavyokwenda hapa nakumbuka maneno ya FMES " Viongozi wetu ni reflection ya sisi wenyewe" ndio maana bado tunadai "mkosaji" ni Idris na Tanesco yake! hivi hili nalo ni

Mkuu Masatu,
Mpaka wanaleta ombi la kununua mitambo ya Dowans, hakuna aliyekosa. Hayo yalikuwa maoni yao. Ila ilipokataliwa wakabweteka. Hapa WAKOSAJI ni wote. Idis kwa kutokutafuta PLAN B. Wabunge kwa kutokutafuta jinsi ya kurahisisha ununuzi wa mitambo mipya, Rais kwa kutoinglia kati swala linaloweza kuharibu uchumi wa taifa, Waziri kwa kutokumshauri Rais ........ Tanesco kama Tanesco hawana ubavu. Wamebanwa kama mjusi kwenye mlango na macho yamewatoka. Wanaangalia tu jinsi Mafahali wawili wanavyogombania KULA na mmoja akitaka kuzuia na mwisho inakuja kukomoana. Kama ingelikuwa wakati wa uchaguzi, ingelikuwa safi sana. Mwendo huu huu hadi mwakani..... watu waje wabebe misalaba yao wenyewe.
 
If Tanzania cannot get out of power problems then we shouldnt even exist as a state because to be honest its ridiculous! We are surrounded by more water than any other country on the continent and in addition to this we have massive gas deposits. This problem is easily resolvable (in the long term of course) that it is should not be a problem in the true sense of the word. The only thing of course is to behave in a more resposible way like NOT putting people like ngeleja in these positions. The man is a stooge and the country's energy sector is not VODACOM. This is the main problem with us. We are led by imbeciles.
 
No mkuu wangu,Viongozi ni reflection yetu kwa sababu viongozi wanataka kununua mitambo ya Dowans by all means necessary na wewe na wengine wengi wenu mnataka pia kununua mitambo chakavu kwa sababu zisizokuwa na maana kabisa!..MNAFANANA kiwamawazo!
Hivi kweli tukinunua mitambo ya Dowans tatizo litakwisha?.. HAPANA! mbona nawe unafikiri kama viongozi wetu mkuu wangu!..

Hapana mkuu, kununua mitambo ya Dowans sio muarobaini wa tatizo la umeme. Kwa mujibu wa wataalamu wa Tanesco mitambo ya Dowans ni suluhisho la muda mfupi tu wakati mikakati ya muda mrefu kinafanywa.

Tusidhani kununua mitambo ya kuzalisha umeme ni sawa na kununua standby gen set unanunua na kufunga siku hiyo hiyo. Suala lina mapana marefu na ukijumlisha na hiyo sheria ya PPRA ndio linakuwa gumu zaidi.

Ufupi ni tumewapiga kumbo wataalamu wetu tunaona haya kukubali ukweli huu
 
Mkuu Masatu,
Mpaka wanaleta ombi la kununua mitambo ya Dowans, hakuna aliyekosa. Hayo yalikuwa maoni yao. Ila ilipokataliwa wakabweteka. Hapa WAKOSAJI ni wote. Idis kwa kutokutafuta PLAN B. Wabunge kwa kutokutafuta jinsi ya kurahisisha ununuzi wa mitambo mipya, Rais kwa kutoinglia kati swala linaloweza kuharibu uchumi wa taifa, Waziri kwa kutokumshauri Rais ........ Tanesco kama Tanesco hawana ubavu. Wamebanwa kama mjusi kwenye mlango na macho yamewatoka. Wanaangalia tu jinsi Mafahali wawili wanavyogombania KULA na mmoja akitaka kuzuia na mwisho inakuja kukomoana. Kama ingelikuwa wakati wa uchaguzi, ingelikuwa safi sana. Mwendo huu huu hadi mwakani..... watu waje wabebe misalaba yao wenyewe.


Mkuu Plan B ipo underway itachukua more than a year kupata mitambo ya kudumu kutokana na sheria ya PPRA. Hilo la Dowans was not even plan A lilikuwa ni emergency Plan
 
Nyie wote mnaofikiri kununua mitambo ya DOWANS ni kumaliza tatizo la umeme Tanzania, nasema hivi:

"Nyie ni sawa na Mwanamke/Gigolo au SHOGA anayefuatwa na mteja ili atoe huduma ya mapenzi bila Condom huku akijua kabisa jamaa ana UKIMWI".
Ukiulizwa unasema "heri nife kesho kutwa na ukimwi, kuliko kufa kesho na njaa".

Kibaya zaidi ni kuwa, ulifahamu kuwa pesa na unga ndani vinaisha na wewe ukakaa bwerere kwa kisingizio kuwa "ilikuwa uende kwa jirani kumtoa mwali" na hivyo ukawa umechoka kwenda kazini.......
 
Nyie wote mnaofikiri kununua mitambo ya DOWANS ni kumaliza tatizo la umeme Tanzania, nasema hivi:

"Nyie ni sawa na Mwanamke/Gigolo au SHOGA anayefuatwa na mteja ili atoe huduma ya mapenzi bila Condom huku akijua kabisa jamaa ana UKIMWI".
Ukiulizwa unasema "heri nife kesho kutwa na ukimwi, kuliko kufa kesho na njaa".

Kibaya zaidi ni kuwa, ulifahamu kuwa pesa na unga ndani vinaisha na wewe ukakaa bwerere kwa kisingizio kuwa "ilikuwa uende kwa jirani kumtoa mwali" na hivyo ukawa umechoka kwenda kazini.......


JF Home Of Great Thinkers!
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, ambayo huko nyuma ilikuwa mbogo katika masuala ya utendaji wa Tanesco, jana ilikuwa kama kondoo wakati ikipokea taarifa za Serikali kuhusu hali halisi ya uzalishaji wa umeme nchini.

Extracts kutoka gazeti la Tanzania Daima la jumanne Tarehe 13 Oktoba 2009 "Siri Yafichuka Umeme Tatizo Sugu :

Extract 1

"Kikao cha pamoja kati ya Serikali, Shirika la Ugavi (Tanesco), na Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, kimebaini kwamba ufumbuzi wa kudumu wa tatizo la mgawo wa umeme nchini utapatikana baada ya muda mrefu.

Ukweli huo mchungu kuhusu mgawo wa nishati hiyo unaoweza kuendelea kulikabili taifa mara kwa mara ulibainishwa jana wakati pande hizo tatu zilipozungumza na wanahabari muda mfupi baada ya kikao chao."

Extract 2

"Akizungumza katika mkutano huo wa pamoja, Mwenyekiti wa Kamati ya nishati na Madini ya Bunge, William Shellukindo (CCM) alikiri kwamba, uchunguzi uliofanywa na wajumbe watatu wa kamati hiyo waliotembelea mabwawa ya kuzalisha umeme ya Kihansi, Hale na Pangani umebainisha kwamba, mgao huo haujasababishwa kwa namna yeyote na vitendo vya hujuma."

Extract 3

"Pamoja na kukiri kwamba, kikao chao kilibaini kuwa, tatizo la umeme litaendelea kulisumbua taifa kwa kipindi kirefu zaidi, Shellukindo alisema suala la kuitaka serikali kununua mitambo ya Dowans halikuwa sehemu za ajenda walizozijadili.

Hata hivyo, baada ya shellukindo kusema kwamba sakata la Dowans limekwisha zikwa, Naibu waziri wa Nishati na Madini, Adama Malima aliyekuwepo katika mkutano huo aliongeza kuwa, serikali haina mpango tena wa kununua mitambo hiyo ya kufufua umeme ya Dowans, lakini endapo mtu binafsi atainunua na kuiuzia Tanesco umeme kwa sheria ya sasa itakubali.

Katika hilo, Malima alisema kwa sheria ya sasa, Tanesco ina uwezo wa kununua umeme kutoka katika makampuni na taasisi binafsi ili iweze kukidhi mahitaji yake ya kuhakikisha kuwa nishati hiyo inakuwepo wakati wote nchini."

Extract 4

"Kwa upande wake, akizungumzia sababu sababu zilizolifikisha taifa hapa lilipo sasa, Shellukindo alibainisha kuwa, mgawo wa sasa unatokana na upungufu wa megawati 72 ambao kamati yake iliridhika na sababu za kitaalamu kutoka serikalini na Tanesco."

Extract 5

"(Shellukindo) aliishauri serikali kupitia Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2004, kuona namna ya kuondoa urasimu uliopo ili usiathiri manunuzi ya mitambo miwili itakayozalisha umeme wa jumla ya megawati 160, katika miji ya Dar es Salaam na Mwanza.

Wakati Shellukindo akitoa rai hiyo, kumbukumbu zinaonyesha kuwa, miongoni mwa sababu ambazo zilisababisha Bunge kuitia msukosuko serikali, wakati wa sakata la Richmond mwaka jana ni uamuzi wake wa kuamua kutumia utaratibu uliokuwa ukijaribu kukwepa ukiritimba wa sheria ya manunuzi."

Extract 6

"Katika hali ambayo haikutarajiwa katika mkutano huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Dk idris Rashid, alishindwa kujibu maswali ya waandishi wa habari waliomtaka kutoa ufafanuzi wa kauli zake alozitowa machi mwaka huu kuwa serikali isiponunua mitambo ya Dowans, nchi nitaingia gizanimwishoni mwa mwaka na wananchi wasimlaumu kwa hilo.

Baada ya kuulizwa swali hilo, Dk. rashid alisita kujibu na kunyamaza kimya, hatua aliyowafanyawaandishi kumshinikiza kuelezea suala hilo.

Hata hivyo, Naibu Waziri Malima aliingilia kati kwa kujibu kuwa alifanya utabiri wa nyota ulioegemea katika utaalamu wa kisayansi na ambao matokeo yake yamethibitisha kwamba alikuwa sahihi.

"Mkurugenzi alituandikia mwezi Februari mwaka huu akitoa mapendekezo ya kitaalamu kuwa serikalini tusipochukua hatua za haraka, nchi inaweza kuingia gizani mwishoni mwa mwaka kutokana na uwezekano wa kutokea ukame na tumeona" alisema Malima."

Alisema wazi kuwa wataalamu wa masual ya umemewaliliona tatizo hili mapemana kutoa ushauri wao wa kitaalamu, hivyo serikali ilipaswa kuzingatia.

Extract 7

"Mapema mwaka huu, dhamira ya serikali kupitia Tanesco kutaka kununua mitambo ya Dowans, iliibua mjadala mkali miongoni mwa watanzania, huku wakionyesha shaka kuhusu ununuzi huo."


Ha ha ha ha! wewe naona sasa umeshakuwa ni kichekesho. Unajitahidi kadri ya uwezo wako kutaka kumtetea huyu fisadi Idrissa Rashid ambaye alistahili kufukuzwa kazi siku nyingi zlizopita kwa kushindwa kazi pale TANESCO na pia kustahili kuchunguzwa kwa kuhusika kwake na ufisadi wa rada, lakini badi umekazana tu na juhudi zako sijui umeahidiwa nini na papa fisadi Rostam ikiwa mitambo yake ya kifisadi ya Richmond itanunuliwa na TANESCO. Juhudi zako haziwezi kufika mahali popote huyu fisadi Idissa Rashid na yeyote yule anayetetea ununuzi wa mitambo ya kifisadi ya RA wamechemsha sana na Watanzania tumeshaamka kutoruhusu manununuzi yoyote yale ambayo yana harufu kali ya kifisadi. Endelea na juhudi zako za kumtetea fisadi Idrissa Rashid, lakini ujue kamwe hazitafanikiwa.
 
Tusidhani kununua mitambo ya kuzalisha umeme ni sawa na kununua standby gen set unanunua na kufunga siku hiyo hiyo. Suala lina mapana marefu na ukijumlisha na hiyo sheria ya PPRA ndio linakuwa gumu zaidi.

Ufupi ni tumewapiga kumbo wataalamu wetu tunaona haya kukubali ukweli huu

.....wewe bado unaishi kwenye ujima,nenda kawadanganye wale mnaowahonga pilau na madebe ya pombe na usisahau kwa sababu zisizozuilika na kwa usalama wa Taifa!
 
Mkuu Plan B ipo underway itachukua more than a year kupata mitambo ya kudumu kutokana na sheria ya PPRA. Hilo la Dowans was not even plan A lilikuwa ni emergency Plan

Kwa nini emergency plan isiwe kwenye kununua mitambo HARAKA kwa kuruka hizo sheria za PRRA? Si wangeliambiwa Wabunge, Rais na PM kuwa inabidi TUVUNJE sheria kwa serikali YENYEWE kwenda kununua mitambo na wenye mitambo kutoa guarantee na si kusubiri TENDA? Tenda ingelikuwa ni kwa wenye mitambo moja kwa moja na kazi ifanywe na watengeneza mitambo na wahandisi wa Tanesco. Kuna mtu angelalamika kuvunja sheria? Kama wangelitaka, amini sasa hivi mitambo mipya ingelikuwepo.
 
JF Home Of Great Thinkers!

Habari ndiyo hiyo. Dowans ni kama bwana/bibi mwenye ukimwi. Halafu mtu anakuja anasema nenda kampakate/kapakatwe na huyo jamaa mwenye ukimwi na tena pekupeku. Hii Raha ya siku moja, itatupa matatizo mengine mengi zaidi mbele. Mwanakijiji alishatuandikia hapa kuwa hiyo mitambo ilinunua na pesa za Bank. Sasa wenye bank wakija kudai mitambo yao na wakati huo sisi tumenunua, MTASEMA nini?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, ambayo huko nyuma ilikuwa mbogo katika masuala ya utendaji wa Tanesco, jana ilikuwa kama kondoo wakati ikipokea taarifa za Serikali kuhusu hali halisi ya uzalishaji wa umeme nchini.

Extracts kutoka gazeti la Tanzania Daima la jumanne Tarehe 13 Oktoba 2009 "Siri Yafichuka Umeme Tatizo Sugu :

Extract 1

"Kikao cha pamoja kati ya Serikali, Shirika la Ugavi (Tanesco), na Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, kimebaini kwamba ufumbuzi wa kudumu wa tatizo la mgawo wa umeme nchini utapatikana baada ya muda mrefu.

Ukweli huo mchungu kuhusu mgawo wa nishati hiyo unaoweza kuendelea kulikabili taifa mara kwa mara ulibainishwa jana wakati pande hizo tatu zilipozungumza na wanahabari muda mfupi baada ya kikao chao."

Extract 2

"Akizungumza katika mkutano huo wa pamoja, Mwenyekiti wa Kamati ya nishati na Madini ya Bunge, William Shellukindo (CCM) alikiri kwamba, uchunguzi uliofanywa na wajumbe watatu wa kamati hiyo waliotembelea mabwawa ya kuzalisha umeme ya Kihansi, Hale na Pangani umebainisha kwamba, mgao huo haujasababishwa kwa namna yeyote na vitendo vya hujuma."

Extract 3

"Pamoja na kukiri kwamba, kikao chao kilibaini kuwa, tatizo la umeme litaendelea kulisumbua taifa kwa kipindi kirefu zaidi, Shellukindo alisema suala la kuitaka serikali kununua mitambo ya Dowans halikuwa sehemu za ajenda walizozijadili.

Hata hivyo, baada ya shellukindo kusema kwamba sakata la Dowans limekwisha zikwa, Naibu waziri wa Nishati na Madini, Adama Malima aliyekuwepo katika mkutano huo aliongeza kuwa, serikali haina mpango tena wa kununua mitambo hiyo ya kufufua umeme ya Dowans, lakini endapo mtu binafsi atainunua na kuiuzia Tanesco umeme kwa sheria ya sasa itakubali.

Katika hilo, Malima alisema kwa sheria ya sasa, Tanesco ina uwezo wa kununua umeme kutoka katika makampuni na taasisi binafsi ili iweze kukidhi mahitaji yake ya kuhakikisha kuwa nishati hiyo inakuwepo wakati wote nchini."

Extract 4

"Kwa upande wake, akizungumzia sababu sababu zilizolifikisha taifa hapa lilipo sasa, Shellukindo alibainisha kuwa, mgawo wa sasa unatokana na upungufu wa megawati 72 ambao kamati yake iliridhika na sababu za kitaalamu kutoka serikalini na Tanesco."

Extract 5

"(Shellukindo) aliishauri serikali kupitia Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2004, kuona namna ya kuondoa urasimu uliopo ili usiathiri manunuzi ya mitambo miwili itakayozalisha umeme wa jumla ya megawati 160, katika miji ya Dar es Salaam na Mwanza.

Wakati Shellukindo akitoa rai hiyo, kumbukumbu zinaonyesha kuwa, miongoni mwa sababu ambazo zilisababisha Bunge kuitia msukosuko serikali, wakati wa sakata la Richmond mwaka jana ni uamuzi wake wa kuamua kutumia utaratibu uliokuwa ukijaribu kukwepa ukiritimba wa sheria ya manunuzi."

Extract 6

"Katika hali ambayo haikutarajiwa katika mkutano huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Dk idris Rashid, alishindwa kujibu maswali ya waandishi wa habari waliomtaka kutoa ufafanuzi wa kauli zake alozitowa machi mwaka huu kuwa serikali isiponunua mitambo ya Dowans, nchi nitaingia gizanimwishoni mwa mwaka na wananchi wasimlaumu kwa hilo.

Baada ya kuulizwa swali hilo, Dk. rashid alisita kujibu na kunyamaza kimya, hatua aliyowafanyawaandishi kumshinikiza kuelezea suala hilo.

Hata hivyo, Naibu Waziri Malima aliingilia kati kwa kujibu kuwa alifanya utabiri wa nyota ulioegemea katika utaalamu wa kisayansi na ambao matokeo yake yamethibitisha kwamba alikuwa sahihi.

"Mkurugenzi alituandikia mwezi Februari mwaka huu akitoa mapendekezo ya kitaalamu kuwa serikalini tusipochukua hatua za haraka, nchi inaweza kuingia gizani mwishoni mwa mwaka kutokana na uwezekano wa kutokea ukame na tumeona" alisema Malima."

Alisema wazi kuwa wataalamu wa masual ya umemewaliliona tatizo hili mapemana kutoa ushauri wao wa kitaalamu, hivyo serikali ilipaswa kuzingatia.


Extract 7

"Mapema mwaka huu, dhamira ya serikali kupitia Tanesco kutaka kununua mitambo ya Dowans, iliibua mjadala mkali miongoni mwa watanzania, huku wakionyesha shaka kuhusu ununuzi huo."

Totally nonsense, rubbish... wewe unawatetea mafisadi tu,,, huna lolote
 
Hata watu wale majani, ndege ya rais itanunuliwa!

Hata watu wale mchanga, rada mpya itanunuliwa!

Leo inakuaje watu wanakubali kuwasha vibatari ili mitambo mipya inunuliwe lakini serikali haiko tayari kununua mitambo mipya ila ya DOWANS ndio ya kununua?

Nani ni mtendaji mkuu wa Tanesco? Naona kila mtu anashauri tu!

Dr. Iddrissa anashauri, Kamati ya bunge wanashauri, sasa nani ni mtendaji hapa Tanesco? Kuna haja gani ya kuwa na DG kama hawezi kuwajibika?

Kama wizara ndio wanawajibika, Ondoa cheo cha DG acha wataalamu wamshauri waziri na katibu mkuu.

Kuwa gizani sio sababu ya kununua Dowans. NO WAY!
 
Kwa nini emergency plan isiwe kwenye kununua mitambo HARAKA kwa kuruka hizo sheria za PRRA? Si wangeliambiwa Wabunge, Rais na PM kuwa inabidi TUVUNJE sheria kwa serikali YENYEWE kwenda kununua mitambo na wenye mitambo kutoa guarantee na si kusubiri TENDA? Tenda ingelikuwa ni kwa wenye mitambo moja kwa moja na kazi ifanywe na watengeneza mitambo na wahandisi wa Tanesco. Kuna mtu angelalamika kuvunja sheria? Kama wangelitaka, amini sasa hivi mitambo mipya ingelikuwepo.

Hicho unachoshauri hapo juu ndicho kilichofanyika kwenye Richmond matokeo yake ni history....

Bado nasisitiza kununua mitambo hii si sawa na kununua standy gen set la nyumbani kwako. Kutokana na ukubwa wa gharama zake huwezi ukakurupuka tu
 
.....wewe bado unaishi kwenye ujima,nenda kawadanganye wale mnaowahonga pilau na madebe ya pombe na usisahau kwa sababu zisizozuilika na kwa usalama wa Taifa!

Umesikika mkuu, hukuwa na haja ya kutoa mipovu yote hiyo hata hivyo
 
Habari ndiyo hiyo. Dowans ni kama bwana/bibi mwenye ukimwi. Halafu mtu anakuja anasema nenda kampakate/kapakatwe na huyo jamaa mwenye ukimwi na tena pekupeku. Hii Raha ya siku moja, itatupa matatizo mengine mengi zaidi mbele. Mwanakijiji alishatuandikia hapa kuwa hiyo mitambo ilinunua na pesa za Bank. Sasa wenye bank wakija kudai mitambo yao na wakati huo sisi tumenunua, MTASEMA nini?

Is that all?
 
Hapana mkuu, kununua mitambo ya Dowans sio muarobaini wa tatizo la umeme. Kwa mujibu wa wataalamu wa Tanesco mitambo ya Dowans ni suluhisho la muda mfupi tu wakati mikakati ya muda mrefu kinafanywa.

Tusidhani kununua mitambo ya kuzalisha umeme ni sawa na kununua standby gen set unanunua na kufunga siku hiyo hiyo. Suala lina mapana marefu na ukijumlisha na hiyo sheria ya PPRA ndio linakuwa gumu zaidi.

Ufupi ni tumewapiga kumbo wataalamu wetu tunaona haya kukubali ukweli huu
Masatu,
Mkuu nilishasema kama mnataka generator semeni na sisi tuifanye kazi... Nimetoka kuzungumza na mtu wa kampuni hii sasa hivi na kanambia mzigo upo tayari kinachotakiwa ni ndululu tu...Haya maswala ya gari sijui baiskeli yametoka wapi?.. si maneno yenu ya kutunga kuwazuga wadanganyika! generator ya Mw 100 wanayo pia..
Sasa ikiwa mtambo wa Richmond ulikwisha fungwa na kutayarishiwa sehemu iweje kazi hii iwe kubwa..Mkitaka isafirishwe kwa ndege inawezekana, kazi kwenu..
Haya jaribu wewe site yao ni hii hapa. Bofya
 
Hicho unachoshauri hapo juu ndicho kilichofanyika kwenye Richmond matokeo yake ni history....

Bado nasisitiza kununua mitambo hii si sawa na kununua standy gen set la nyumbani kwako. Kutokana na ukubwa wa gharama zake huwezi ukakurupuka tu

No Mkuu,
Richmonduli sheria zilipindwa na kila sehemu. Kama ingelikuwa imefanywa kwa uwazi ili kuleta hiyo mitambo na hilo lifanywe moja kwa moja sidhani kama lingelikuwa na ubaya. Usalama wa taifa, Wazuia Rushwa, Upinzani, Bunge, Tanesco, Rais, Waandishi wa habari kama wangelijulishwa na kuonyeshwa mpango mzima wa kununua mitambo kutoka kwa watengenezaji moja kwa moja na mwenye UBISHI basi aende KIWANDANI kuhakikisha, sidhani kama hili swala lingelileta ubishi.

Sasa unataka kusema Richmonduli lilifanywa kwa faida ya Mtanzania, basi naona tunaongelea kwenye ANGA mbili tofauti na NINANAWA mikono.
 
No Mkuu,
Richmonduli sheria zilipindwa na kila sehemu. Kama ingelikuwa imefanywa kwa uwazi ili kuleta hiyo mitambo na hilo lifanywe moja kwa moja sidhani kama lingelikuwa na ubaya. Usalama wa taifa, Wazuia Rushwa, Upinzani, Bunge, Tanesco, Rais, Waandishi wa habari kama wangelijulishwa na kuonyeshwa mpango mzima wa kununua mitambo kutoka kwa watengenezaji moja kwa moja na mwenye UBISHI basi aende KIWANDANI kuhakikisha, sidhani kama hili swala lingelileta ubishi.

Sasa unataka kusema Richmonduli lilifanywa kwa faida ya Mtanzania, basi naona tunaongelea kwenye ANGA mbili tofauti na NINANAWA mikono.

Bora Mkuu Sikonge umeamua kunawa mikono, Nakuunga mkono katika uamuzi huo.
 
Mnapoteza muda na huyu kada na shati zake za njano na kijani,yeye mwenyewe usikute anaishi gizani lakini haoni!
 
Kisha jamani sii hawa Dowans waliuweka huo mtambo kuuza huko Kijiji.com kama miezi sita iliyopita?.. kama haukununuliwa huko kwa walalahoi bado tunapigishana kelele hapa!
 
Back
Top Bottom