ngulyabhule
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 202
- 326
Duh...wajameni, nimekubali, nilichemsha, nilikosea, na mimi ni binadamu tu na sio malaika, hivyo naweza kufanya makosa, na kwenye hili la Gambo kwenye uzi huu, nakubali makosa, nakiri kosa, na ninaomba mnisamehe na yaishe.
Nawatakia weekend njema.
Paskali
Huu sasa ndiyo ukomavu na uungwana big up mkubwa!