Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,722
- 21,778
Jamani sisiem mbona mnawagombanisha wananchi hivi sababu ya madaraka
jamani huku arusha kumekucha watu wameanza kula hela za wah mzee f mrema na mwenzake alie kwenye system mama batilda,...ni pesa kwa kwenda mbele nauzunika wengine wanajulikana kabisa hata leo wanampigia nani lakini mama yetu batilda awe nao makini sana ...najua ""no money no vote" ila yasije mtokea puani ajitahidi kuagawa kwa watu sahihi....kweli waarusha wamemchoka huyu mzee anaejii ta mrema ayuko na wananzchi ati alipoingia madarakani akaandika yuko kwenye ofissi fulani kuanzia saa fulani mpaka fulani atakuwa akiwasikiliza shida za wananchi jamani ilimchukua wiki mbili kutoa lile bango mpaka leo ;;;anajiongezea magorofa tu
jamani huku arusha kumekucha watu wameanza kula hela za wah mzee f mrema na mwenzake alie kwenye system mama batilda,...ni pesa kwa kwenda mbele nauzunika wengine wanajulikana kabisa hata leo wanampigia nani lakini mama yetu batilda awe nao makini sana ...najua ""no money no vote" ila yasije mtokea puani ajitahidi kuagawa kwa watu sahihi....kweli waarusha wamemchoka huyu mzee anaejii ta mrema ayuko na wananzchi ati alipoingia madarakani akaandika yuko kwenye ofissi fulani kuanzia saa fulani mpaka fulani atakuwa akiwasikiliza shida za wananchi jamani ilimchukua wiki mbili kutoa lile bango mpaka leo ;;;anajiongezea magorofa tu