Sakata la tuhuma wabunge CCM kulamba bilion 2.7, kweli mahakama ya mafisadi imekosa wateja?

Waziri kivuli

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
2,987
3,450
Wakati Rais alipowakaribisha waandishi wa habari,moja ya maswali kutoka kwa waandishi lilikuwa sakata la wabunge wa ccm kuhongwa bil 2.7 na serikali ili kupitisha muswada wa sheria ya habari!Mh Rais alijibu kwa ufupi sana kuwa muswada ukifika atausaini siku hiyo hiyo!Pia akasema kuna vyombo husika vya kushughulika na mambo hayo ya Rushwa!
Rais Magufuli amejitanabaisha kama mtu asiyependa Rushwa,sikutegemea kama na yeye alipata tetesi zile reaction yake ingekuwa ile aliyoionesha mbele ya waandishi wa habari!Nilitegemea aseme kama ilivyo kawaida yake,kwa ukali huku akisisitiza kuwa suala hilo litachunguzwa na hatua za kinidhamu zitachukuliwa kama itathibitika ni kweli!Badala yake hakuonesha reaction yoyote zaidi ya kumjibu kwa jazba muuliza swali!

Mpaka sasa hakuna taarifa iliyotolewa juu ya suala hilo!Ni kama limezimika kimya kimya!
Hapo ndio napata mashaka juu ya dhamira ya kuanzishwa mahakama mafisadi ilikuwa ya dhati au la!
Napata ukakasi,je ni kweli mahakama hii imekosa wateja kutokana na kutokuwepo mafisadi au ni iko kisiasa zaidi?
 
Iko kisiasa na kiulaji zaidi. Ccm wkt wote kila kiongozi akiingia anatafuta namna ya kuwapachika wapendwa wake kwenye nafasi za uongozi huku akiwaminya wengine......hii haina tofauti na ule mradi haramu wa uwanja wa ndege usio na manufaa yoyote kwa watz huku watz wakisubiri ahadi hewa za kusoma bure, mikopo kwa wanafunzi na dawa hospitalini
 
Iko kisiasa na kiulaji zaidi. Ccm wkt wote kila kiongozi akiingia anatafuta namna ya kuwapachika wapendwa wake kwenye nafasi za uongozi huku akiwaminya wengine......hii haina tofauti na ule mradi haramu wa uwanja wa ndege usio na manufaa yoyote kwa watz huku watz wakisubiri ahadi hewa za kusoma bure, mikopo kwa wanafunzi na dawa hospitalini
Tatizo ni kupanga vipaumbele,ni sawa na kununua tv wakati huna umeme na hautaupata anytime soon!
 
Teh teh....labda zilitoka kwa mafungu yasiozidi milioni 999.
 
Wakati Rais alipowakaribisha waandishi wa habari,moja ya maswali kutoka kwa waandishi lilikuwa sakata la wabunge wa ccm kuhongwa bil 2.7 na serikali ili kupitisha muswada wa sheria ya habari!Mh Rais alijibu kwa ufupi sana kuwa muswada ukifika atausaini siku hiyo hiyo!Pia akasema kuna vyombo husika vya kushughulika na mambo hayo ya Rushwa!
Rais Magufuli amejitanabaisha kama mtu asiyependa Rushwa,sikutegemea kama na yeye alipata tetesi zile reaction yake ingekuwa ile aliyoionesha mbele ya waandishi wa habari!Nilitegemea aseme kama ilivyo kawaida yake,kwa ukali huku akisisitiza kuwa suala hilo litachunguzwa na hatua za kinidhamu zitachukuliwa kama itathibitika ni kweli!Badala yake hakuonesha reaction yoyote zaidi ya kumjibu kwa jazba muuliza swali!

Mpaka sasa hakuna taarifa iliyotolewa juu ya suala hilo!Ni kama limezimika kimya kimya!
Hapo ndio napata mashaka juu ya dhamira ya kuanzishwa mahakama mafisadi ilikuwa ya dhati au la!
Napata ukakasi,je ni kweli mahakama hii imekosa wateja kutokana na kutokuwepo mafisadi au ni iko kisiasa zaidi?
Wameshatugeuza mapoyoyo
 
Sitta aliyechakachua rasimu ya katiba ya tume na kuchomeka ya ccm halafu unasema alitetea maslahi ya taifa!
Nadhani umelisahau bunge la 9,Sitta alikuwa moto kwa serikali!Baada ya fitna akaamua kuwajoin waliomfitini na yeye akafanya fitina kama wao,hapa ndio alipoharibu BMK!
 


Wakati Rais alipowakaribisha waandishi wa habari,moja ya maswali kutoka kwa waandishi lilikuwa sakata la wabunge wa ccm kuhongwa bil 2.7 na serikali ili kupitisha muswada wa sheria ya habari!Mh Rais alijibu kwa ufupi sana kuwa muswada ukifika atausaini siku hiyo hiyo!Pia akasema kuna vyombo husika vya kushughulika na mambo hayo ya Rushwa!
Rais Magufuli amejitanabaisha kama mtu asiyependa Rushwa,sikutegemea kama na yeye alipata tetesi zile reaction yake ingekuwa ile aliyoionesha mbele ya waandishi wa habari!Nilitegemea aseme kama ilivyo kawaida yake,kwa ukali huku akisisitiza kuwa suala hilo litachunguzwa na hatua za kinidhamu zitachukuliwa kama itathibitika ni kweli!Badala yake hakuonesha reaction yoyote zaidi ya kumjibu kwa jazba muuliza swali!

Mpaka sasa hakuna taarifa iliyotolewa juu ya suala hilo!Ni kama limezimika kimya kimya!
Hapo ndio napata mashaka juu ya dhamira ya kuanzishwa mahakama mafisadi ilikuwa ya dhati au la!
Napata ukakasi,je ni kweli mahakama hii imekosa wateja kutokana na kutokuwepo mafisadi au ni iko kisiasa zaidi?
 
Back
Top Bottom