Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Nimeisoma hukumu ya ICC/msuluhishi/arbitrator kati ya TANESCO na DOWANS lakini kwa mtu yeyote mwenye uelewa wa sheria, ni hakika facts zote hazikutolewa. Na nina mashaka kwamba kulikuwa na collusion kati ya mshtaki na mshtakiwa..(walikuwa kitu kimoja)..ilmradi hiyo pesa ilipwe na hela za walipa kodi. Maana ile decision ukiisoma unaona kwamba wahusika walifanya njama. Yaani ni yale yale ya Radar na ile hukumu ya juzi pale London (maana BAE walikubali kosa through plea bargaining na kulipa faini..ilmradi mahakama isiandike kwenye hukumu neno "corruption"..yet kwetu huku Tanzania tumeambiwa vingine kabisa!. Nitajitahidi kuzi-summarize niziweke hapa kwa lugha rahisi wananchi mzisome. Maana nadhani watu tumeshafanywa wajinga kabisa as if hatukwenda shule.
From my judgement..huu mkataba (TANESCO na DOWANS) haukuwepo..PRECISELY BECAUSE THE CONTRACT WAS BUILT ON ILLIGALITY..WHICH NULLIFIED ITS ENFORCEABILITY FROM THE TIME IT WAS CONCLUDED. Na uwezo wangu mdogo lakini naelewa kabisa..kama mkataba umeafikiwa kwa hila au udanganyifu hauwezi kuwa mkataba halali.....Clearly, Mwakyembe alituandalia report. (ambayo ilimuondoa Lowassa).....na wengi tuliisoma..tunajua kabisa Richmond haikuwepo..ilikuwa ni kampuni hewa. Kwa hiyo isingeweza kurithisha mkataba kwa DOWANS kwa sababu tayari huo mkataba haukuwepo kisheria! Huhitaji PhD ya International Law kutoka Stanford au Cambridge kulijua hili. Nina imani hata WEREMA analitambua hili..ila anacheza na fikra zetu watanzania.
Mwanzoni wengi tulikaa kimya kwa sababu tulijua ni mambo ya kisheria yatamalizwa kisheria. Lakini ukweli ni kwamba, its politics vs. politics. Yaani hapa..kesi ya TANESCO ilikuwa rahisi sana. Maana wale waliosign mkataba walidanganya from the biggining..kitu ambacho hata polisi ni kosa la jinai. Unfortunately nilichogundua it is highly likely huu mkataba ni " deal" la watu kwenye "system". Lakini kinachouma ni kwamba..wanaoumia ni sisi wananchi wa kawaida..ambao tunahangaika kila kukicha na haya maisha kwa sababu ya watu wachache sana. Mimi nadhani kwa kweli serikali yetu na wanasheria wetu hawajatutendea haki kabisa they should be ashamed of themselves. I have read the judgement na naona TANESCO wanted to loose from the beggining.
Hivi kweli kama taifa ambalo kila siku tunashinda kuomba vyandarua vya malaria....kwa akina Ray Chambers....tumeamua kuukubali huu udhurumaji kirahisi rahisi hivi? Hivi ni kweli tumekubali kulipa Billion 185 (na kuendela mpaka deni litakapolipwa) kwa Kampuni hewa? Mimi naomba viongozi wetu especially Raisi wetu na wabunge waache mzaha...This is serious its not politics anymore..its about the survival of the nation and its people. Na huu umasikini unaotukabili ni dhihaka ya hali ya juu kuambiwa tulipe hizo billions wakati hata sasa umeme hatukupata na wala mpaka leo hatuna! Jamani hivi viongozi wetu kwa nini wanakuwa wagumu kuelewa au wanafanya maksudi? Please Kikwete stop this! It pains. To all men and women in this poor country called TANZANIA.
Kwanza kabisa hii Kampuni hatujui mmiliki wake..kila mtu hata RAIS wetu wako kimya kuhusu nani mmiliki halali wa hii kampuni, sasa hiyo hela tunamlipa nani? Au viongozi wetu wamekula njama ya kutudhulumu sisi raia? Wanachokifanya ni kutwambia mjadala umefungwa? Jamani hizo pesa ni kodi zetu tuna kila haki ya kuhoji matumizi yake. Na hii siyo kutafutana ugomvi. Ni haki yetu ya kiraia kabisa. Sisi kama raia wa Tanzania TUNAHUKUMIWA kwa sababu eti tulivunja mkataba wa kufua umeme. Lakini tuliuvunja na nani? huyo mwenye kampuni kwa nini asijitokeze hadharani? Sisi wananchi ambao tunalala gizani tukamuuliza maswali? Maana viongozi wetu wana majenereta hawajui dhahma na kero ya huu umeme wa Tanzania. Cha kusikitisha zaidi huo umeme hatukupata hata wa kuwasha balbu moja ya jikoni! Leo tunaambiwa tulipe hayo mabilioni kwa taifa ambalo halina nyuma wala mbele.
Jamani mimi nadhani Watanzania sasa tuache ushabiki wa kisiasa tujipange kuuliza maswali magumu kwa hawa watawala wetu ambao wanaiendesha nchi yetu kama kampuni binafsi ya Mohamed Enterprises. Its tragic kweli kabisa sisi kama taifa kusimama na kusema kwamba tuna uhuru wakati hatuwezi hata kuamua au kutambua kipi kinatufaa kipi hakitufai.Inauma Kuona kwamba wale tunaowaamini ndo wanatuzunguka na kutufanya sisi ni wajinga. Nimemsikiliza Werema Jaji Mkuu..nimesikitika sana...kuona mwanasheria mkuu kama yeye anaweza toa kauli kama zile as if haijui sheria. Watu tunaweza kuwa na imani tofauti ya kisiasa. Lakini kuna mambo ambayo lazima tufike mahali tuyapiganie kwa maslahi ya hili taifa letu.
As we move forward nategemea Rais wetu atakuja na kutoa kauli thabiti dhidi ya huu udhurumaji wa mchana kweupe...Please Mr. President..stand up and be counted....tunalalamika kila siku mikataba mibovu..but ultimately the buck stops at your table..maana wewe ndo kiranja mkuu na baba mkuu mwenye nyumba.
Kama vipi..mimi nitajitolea BURE kuandika LEGAL OPINION kwenye hii HUKUMU YA ICC kati ya DOWANS na TANESCO kumshauri Rais wetu afanye nini baada ya hapa.... Kama aliyepewa hilo Jukumu haliwezi. I am ready to do it..for the sake of my country and its people. Tunasoma tuwezi kulisaidia taifa letu. Sasa kama hatuwezi hata kutetea maslahi ya taifa at its hour of need, ni usaliti.
I challenge my fellow compatriots. Lets stand up and say no to this day time robbery of our hard earned shilling.
From my judgement..huu mkataba (TANESCO na DOWANS) haukuwepo..PRECISELY BECAUSE THE CONTRACT WAS BUILT ON ILLIGALITY..WHICH NULLIFIED ITS ENFORCEABILITY FROM THE TIME IT WAS CONCLUDED. Na uwezo wangu mdogo lakini naelewa kabisa..kama mkataba umeafikiwa kwa hila au udanganyifu hauwezi kuwa mkataba halali.....Clearly, Mwakyembe alituandalia report. (ambayo ilimuondoa Lowassa).....na wengi tuliisoma..tunajua kabisa Richmond haikuwepo..ilikuwa ni kampuni hewa. Kwa hiyo isingeweza kurithisha mkataba kwa DOWANS kwa sababu tayari huo mkataba haukuwepo kisheria! Huhitaji PhD ya International Law kutoka Stanford au Cambridge kulijua hili. Nina imani hata WEREMA analitambua hili..ila anacheza na fikra zetu watanzania.
Mwanzoni wengi tulikaa kimya kwa sababu tulijua ni mambo ya kisheria yatamalizwa kisheria. Lakini ukweli ni kwamba, its politics vs. politics. Yaani hapa..kesi ya TANESCO ilikuwa rahisi sana. Maana wale waliosign mkataba walidanganya from the biggining..kitu ambacho hata polisi ni kosa la jinai. Unfortunately nilichogundua it is highly likely huu mkataba ni " deal" la watu kwenye "system". Lakini kinachouma ni kwamba..wanaoumia ni sisi wananchi wa kawaida..ambao tunahangaika kila kukicha na haya maisha kwa sababu ya watu wachache sana. Mimi nadhani kwa kweli serikali yetu na wanasheria wetu hawajatutendea haki kabisa they should be ashamed of themselves. I have read the judgement na naona TANESCO wanted to loose from the beggining.
Hivi kweli kama taifa ambalo kila siku tunashinda kuomba vyandarua vya malaria....kwa akina Ray Chambers....tumeamua kuukubali huu udhurumaji kirahisi rahisi hivi? Hivi ni kweli tumekubali kulipa Billion 185 (na kuendela mpaka deni litakapolipwa) kwa Kampuni hewa? Mimi naomba viongozi wetu especially Raisi wetu na wabunge waache mzaha...This is serious its not politics anymore..its about the survival of the nation and its people. Na huu umasikini unaotukabili ni dhihaka ya hali ya juu kuambiwa tulipe hizo billions wakati hata sasa umeme hatukupata na wala mpaka leo hatuna! Jamani hivi viongozi wetu kwa nini wanakuwa wagumu kuelewa au wanafanya maksudi? Please Kikwete stop this! It pains. To all men and women in this poor country called TANZANIA.
Kwanza kabisa hii Kampuni hatujui mmiliki wake..kila mtu hata RAIS wetu wako kimya kuhusu nani mmiliki halali wa hii kampuni, sasa hiyo hela tunamlipa nani? Au viongozi wetu wamekula njama ya kutudhulumu sisi raia? Wanachokifanya ni kutwambia mjadala umefungwa? Jamani hizo pesa ni kodi zetu tuna kila haki ya kuhoji matumizi yake. Na hii siyo kutafutana ugomvi. Ni haki yetu ya kiraia kabisa. Sisi kama raia wa Tanzania TUNAHUKUMIWA kwa sababu eti tulivunja mkataba wa kufua umeme. Lakini tuliuvunja na nani? huyo mwenye kampuni kwa nini asijitokeze hadharani? Sisi wananchi ambao tunalala gizani tukamuuliza maswali? Maana viongozi wetu wana majenereta hawajui dhahma na kero ya huu umeme wa Tanzania. Cha kusikitisha zaidi huo umeme hatukupata hata wa kuwasha balbu moja ya jikoni! Leo tunaambiwa tulipe hayo mabilioni kwa taifa ambalo halina nyuma wala mbele.
Jamani mimi nadhani Watanzania sasa tuache ushabiki wa kisiasa tujipange kuuliza maswali magumu kwa hawa watawala wetu ambao wanaiendesha nchi yetu kama kampuni binafsi ya Mohamed Enterprises. Its tragic kweli kabisa sisi kama taifa kusimama na kusema kwamba tuna uhuru wakati hatuwezi hata kuamua au kutambua kipi kinatufaa kipi hakitufai.Inauma Kuona kwamba wale tunaowaamini ndo wanatuzunguka na kutufanya sisi ni wajinga. Nimemsikiliza Werema Jaji Mkuu..nimesikitika sana...kuona mwanasheria mkuu kama yeye anaweza toa kauli kama zile as if haijui sheria. Watu tunaweza kuwa na imani tofauti ya kisiasa. Lakini kuna mambo ambayo lazima tufike mahali tuyapiganie kwa maslahi ya hili taifa letu.
As we move forward nategemea Rais wetu atakuja na kutoa kauli thabiti dhidi ya huu udhurumaji wa mchana kweupe...Please Mr. President..stand up and be counted....tunalalamika kila siku mikataba mibovu..but ultimately the buck stops at your table..maana wewe ndo kiranja mkuu na baba mkuu mwenye nyumba.
Kama vipi..mimi nitajitolea BURE kuandika LEGAL OPINION kwenye hii HUKUMU YA ICC kati ya DOWANS na TANESCO kumshauri Rais wetu afanye nini baada ya hapa.... Kama aliyepewa hilo Jukumu haliwezi. I am ready to do it..for the sake of my country and its people. Tunasoma tuwezi kulisaidia taifa letu. Sasa kama hatuwezi hata kutetea maslahi ya taifa at its hour of need, ni usaliti.
I challenge my fellow compatriots. Lets stand up and say no to this day time robbery of our hard earned shilling.