mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Nisome tena Mkuu,ndio maana nimekuquote kwenye post yako nikasema kama utajibiwa swali ulilouliza nistue.Hiyo Mahakama ya Mafisadi tangu imefunguliwa mpaka leo hatujaona utandaji wake.Basi waanze na Lowasa wanaemtuhumu kila kukicha
SORRY, HAPO NIMEKUELEWA MKUU,
TUPO PAMOJA.