Aiseee miamala mizito mizito tuu.Mbona kuna watu wana CCM kindaki ndaki hamthubutu kuwagusa? Kama Mh Andrew Chenge na Mh Anna Tibaijuka waliovuta mpunga mrefu mchana kweupe... Au kwakua wana FILE zenu pia za madudu, mnawaogopa mkiwagusa tu wataharisha kinuke, sambamba na wale wakina *NIGUSE NINUKE*.View attachment 1221720
Hao ni baadhi tu, halafu ukiangalia kwa makini wana CCM kwenye hio miamala ndio wamevita hela nene (watu wamekula Billion za kutosha). Ila hakuna alieguswa mpaka sasa.Aiseee miamala mizito mizito tuu.
Prof Tibaijuka amerudisha 16 bil jana!Mbona kuna watu wana CCM kindaki ndaki hamthubutu kuwagusa? Kama Mh Andrew Chenge na Mh Anna Tibaijuka waliovuta mpunga mrefu mchana kweupe... Au kwakua wana FILE zenu pia za madudu, mnawaogopa mkiwagusa tu wataharisha kinuke, sambamba na wale wakina *NIGUSE NINUKE*.View attachment 1221720
Mbona mimi simo kwenye hela ya mboga!Mbona kuna watu wana CCM kindaki ndaki hamthubutu kuwagusa? Kama Mh Andrew Chenge na Mh Anna Tibaijuka waliovuta mpunga mrefu mchana kweupe... Au kwakua wana FILE zenu pia za madudu, mnawaogopa mkiwagusa tu wataharisha kinuke, sambamba na wale wakina *NIGUSE NINUKE*.View attachment 1221720
Rubbish!POLEPOLE TUNAENDELEEA KUKUSANYA PESA ZA WALIPA KODI
MMCHANA HUUBAADA YA MH AMEKUJA MWANACHAMA MPYA KAKIRI KUTUREJESHEA PESA ZETU
MMichael WAMBURA
JE WAJUA KITUO.KINACHOFWATA?? STY TUNED
CONGS MR PRESIDENT