Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Hakika SAKATA la Ofisi ya DPP juu ya PLEA BARGAINING limekuwa KAA la MOTO kwa Sasa kwani Mchakato wake Umegubikwa na WIZI MKUBWA wa Hizo FEDHA kwani Hata Mh.RAIS alisema kuwa kuna AKAUNTI imefunguliwa nje ya Nchi huko CHINA.
Kinachoshangaza ni UKIMYA wa SERIKALI juu ya kuanzisha UCHUNGUZI wa Kina kwa OFISI ya DPP na Wahusika wote wa huo MCHAKATO WAPO.
Cha kushangaza zaidi kwanini Zile FEDHA zilikuwa zinapokelewa Fedha Taslimu badala ya Kutumia Utaratibu wa CONTROL NUMBER ambao ndio UTARATIBU wa Kupokea FEDHA za SERIKALI?
Pili kama alivyosema MH.RAIS kwanini kuwe na AKAUNTI nje ya NCHI ni nani Aliifungua na ina JINA la NANI?
Tatu Waliotajwa Kuhusika na PLEA BARGAINING kwanini mpaka leo Hawajawajubishwa?
Kama Nchi hii ina UTAWALA wa Sheria na Uwajibikaji basi Wahusika WAWAJIBIKE wenyewe ili KUPISHA UCHUNGUZI.
Kinachoshangaza ni UKIMYA wa SERIKALI juu ya kuanzisha UCHUNGUZI wa Kina kwa OFISI ya DPP na Wahusika wote wa huo MCHAKATO WAPO.
Cha kushangaza zaidi kwanini Zile FEDHA zilikuwa zinapokelewa Fedha Taslimu badala ya Kutumia Utaratibu wa CONTROL NUMBER ambao ndio UTARATIBU wa Kupokea FEDHA za SERIKALI?
Pili kama alivyosema MH.RAIS kwanini kuwe na AKAUNTI nje ya NCHI ni nani Aliifungua na ina JINA la NANI?
Tatu Waliotajwa Kuhusika na PLEA BARGAINING kwanini mpaka leo Hawajawajubishwa?
Kama Nchi hii ina UTAWALA wa Sheria na Uwajibikaji basi Wahusika WAWAJIBIKE wenyewe ili KUPISHA UCHUNGUZI.