chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,540
- 2,069
Habarini,
Jumapili kuliibuka sakata la pandora papers report ambayo iliibua akaunti za fedha za nje za viongozi na watu matajiri duniani akiwepo Tony blair,rais uhuru kenyatta n.k
Kua na akaunti nje ya nchi sio kosa ,ila kosa ni kua kodi inashindwa kulipwa kwa nchi zile walizopo wamiliki kutokana na akaunti hizo.pia uwazi wa hizo fedha na jinsi zilivyopatikana unakua ni mdogo kwa umma japo ni fedha za watu binafsi.
Tanzania kuna viongozi wamenza kutumia fedha za umma vibaya,mfano ni waziri mkuu kukodi ndege binafsi wakati za serikali zipo.haya mambo yakiendelea yatapelekea kupungua uaminifu kwa wananchi dhidi yao,na pengine na wao wanaweza pia kuanza rushwa na kufungua akaunti za fedha nje ya nchi bila uwazi wa mali zao kufahamika na watu.
Ni tahadhari tu na naamini tanzania tutakwenda vizuri mbeleni.
Jumapili kuliibuka sakata la pandora papers report ambayo iliibua akaunti za fedha za nje za viongozi na watu matajiri duniani akiwepo Tony blair,rais uhuru kenyatta n.k
Kua na akaunti nje ya nchi sio kosa ,ila kosa ni kua kodi inashindwa kulipwa kwa nchi zile walizopo wamiliki kutokana na akaunti hizo.pia uwazi wa hizo fedha na jinsi zilivyopatikana unakua ni mdogo kwa umma japo ni fedha za watu binafsi.
Tanzania kuna viongozi wamenza kutumia fedha za umma vibaya,mfano ni waziri mkuu kukodi ndege binafsi wakati za serikali zipo.haya mambo yakiendelea yatapelekea kupungua uaminifu kwa wananchi dhidi yao,na pengine na wao wanaweza pia kuanza rushwa na kufungua akaunti za fedha nje ya nchi bila uwazi wa mali zao kufahamika na watu.
Ni tahadhari tu na naamini tanzania tutakwenda vizuri mbeleni.