Sakata la padri na mlevi

saliel

Member
Apr 11, 2011
84
18
kulikuwa na mlevi anakatiza mitaa ya makaburini ambapo pembeni yake kuna kanisa;kumbe kule makaburini kunawaizi wanagawana kuku wakisema huyu "wangu huyu wangu"
kidogo mlevi akasikia sauti ikitoka makaburini ikisema huyu wangu huyu wangu.akaanza kuwaza yakwamba itakuwa ni mungu na shetani wanagawana wa2 yaani mwenye zambi ni wa shetani na mwenye sawabu ni wa mungu.
mawazo yale yakampeleka mbalisana akawa anaogoka akasema ngoja niende kanisani nikamuite padri aje asikilize nione atasemaje.
wakati ameingia ndani kanisani kuku wawili wakawaponyoka wale wezi na kwenda kujificha pembeni ya geti la kanisa.
mazungumzo ya padri na mlevi yalikua kama ifuatavyo:-
mlevi: unasikia wanavyo sema hebu sikia
padri
: mmmmmm........eeee nimesikia
mlevi: mi nahisi ni mungu na shetani wamekuja kuchukua wa2 hukuduniani.
padri: mmm........hapana kwani mwisho wa dunia umefika.
mlevi: nahisi utakua umefika.
kidogo sauti zile zikanyamaza padri na mlevi wakawa wanasubiria kuona ni ki2 gani kitatokea. kumbe sehemu ile walio simama ni pembeni ya geti ambapo wale kuku wawili walikimbilia; gafla wakasikia bado wale wawili pale getini'.
waunguna naomba mniambie kilichofuatia ni nini?
 
unamuomba nani akuambie kilichofuata malizia mwenyewe we si ndo umeleta hii shigongo yako humu................huh
 
kulikuwa na mlevi anakatiza mitaa ya makaburini ambapo pembeni yake kuna kanisa;kumbe kule makaburini kunawaizi wanagawana kuku wakisema huyu "wangu huyu wangu"
kidogo mlevi akasikia sauti ikitoka makaburini ikisema huyu wangu huyu wangu.akaanza kuwaza yakwamba itakuwa ni mungu na shetani wanagawana wa2 yaani mwenye zambi ni wa shetani na mwenye sawabu ni wa mungu.
mawazo yale yakampeleka mbalisana akawa anaogoka akasema ngoja niende kanisani nikamuite padri aje asikilize nione atasemaje.
wakati ameingia ndani kanisani kuku wawili wakawaponyoka wale wezi na kwenda kujificha pembeni ya geti la kanisa.
mazungumzo ya padri na mlevi yalikua kama ifuatavyo:-
mlevi: unasikia wanavyo sema hebu sikia
padri
: mmmmmm........eeee nimesikia
mlevi: mi nahisi ni mungu na shetani wamekuja kuchukua wa2 hukuduniani.
padri: mmm........hapana kwani mwisho wa dunia umefika.
mlevi: nahisi utakua umefika.
kidogo sauti zile zikanyamaza padri na mlevi wakawa wanasubiria kuona ni ki2 gani kitatokea. kumbe sehemu ile walio simama ni pembeni ya geti ambapo wale kuku wawili walikimbilia; gafla wakasikia bado wale wawili pale getini'.
waunguna naomba mniambie kilichofuatia ni nini?


Tukuambie wakati mwenye stor ni weye umalizie sasa
 
Back
Top Bottom