Sakata la nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma,Mawaziri watatu wajitetea

Hii serikali ya ccm iachie ngazi imechoka. Mushahara wameshindwa kuongeza. Korosho wameshindwa kulipa na zingine zimerudishwa kwa wakulima.
 
Inasikitisha sana...

Hiyo miradi ni ya muda mrefu mpaka ije kukamilika, kwa hiyo wataanza kuongeza mishahara baada ya miaka10...


Cc: mahondaw
 
Maslahi na haki za wafanyakazi sio ya kufanyiwa mzaha na wanasiasa. Wao wanajaza matumbo na familia zao wakati wanachi maskini waliowwchagua wanataabika. Time will soon tell.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inasikitisha sana...

Hiyo miradi ni ya muda mrefu mpaka ije kukamilika, kwa hiyo wataanza kuongeza mishahara baada ya miaka10...


Cc: mahondaw
Shida hajawahi kufanya biashara,miradi yenyewe huenda akasepa madarakani na akaiacha haijakamilika,au ikawa inajiendesha kwa hasara,sasa sijui atarudi kusema watumishi watulie mpaka biashara iwe nzuri kwanza?
Afu yeye anabana pesa,wajanja wanapita nazo,CAG Mungu Akupe umri mrefu Inshaallah...
 
Mkubwa huyu nilijua ni bomu wakati akiwa Waziri na wala sikutegemea kwenye ule mnyukano apite, lakini kuwa bomu kiasi hiki na udikteta na ukwapuzi wa trillions juu haya sikuyategemea kabisa Mkuu.

BAK serikali ya jamaa yako haina kitu na inasemekana wamechapisha note mpya kwa matumizi yao we yewe.

Huyu rais wako unamuonaje bak?
Anaweza kabisa kuchapisha pesa.
Hamna kitu kichwani pale. Bure kabisa
 
Jiwe sio mtetezi wa wanyonge kama anavyotaka aonekane. Ni shetani aliyejivika umalaika.
Nani kakwambia mtumishi yuko kundi la wanyonge wewe ndugu? Hivi unajua katika watumishi wapo wanapokea Millioni 15? Ukisema unaonheza hata asilimia 10 tu unafahamu utakuwa umeongeza shilingi ngapi kwenye bajeti ya mishahara kwa mwaka? Tumieni akili wakati mwingine na si ushabiki. Hata wakiongeza asilimia tano watakuwa wameongeza mabilioni ya pesa kwenye bajeti ya mishahara. Dawa za mahospitalini mtazinunua na nini? Wakandarasi mtawalipa na nini. Dhana ya kujitegemea ni lazima wafanyakazi wavumilie maana ni saving inatakiwa tena kubwa.
 
Nani kakwambia mtumishi yuko kundi la wanyonge wewe ndugu? Hivi unajua katika watumishi wapo wanapokea Millioni 15? Ukisema unaonheza hata asilimia 10 tu unafahamu utakuwa umeongeza shilingi ngapi kwenye bajeti ya mishahara kwa mwaka? Tumieni akili wakati mwingine na si ushabiki. Hata wakiongeza asilimia tano watakuwa wameongeza mabilioni ya pesa kwenye bajeti ya mishahara. Dawa za mahospitalini mtazinunua na nini? Wakandarasi mtawalipa na nini. Dhana ya kujitegemea ni lazima wafanyakazi wavumilie maana ni saving inatakiwa tena kubwa.

Yaani ni ujinga uliopitiliza kumwambia mtumishi avumilie huku maslahi yake yakidhoofika..!
Ni Tanzania tu ndo ujinga kama huu unaweza kuvumilika..!
 
Back
Top Bottom