Ohoooo.... yamekua haya tena?
Kosa lake ni lipi ?
Huo mkamato itakua ni order
Akikamatwa TL bei za vitu zitashuka, mazao yatapanda bei na madeni yatalipwa ili bombadier ziletwe!!Serikali ya ccm haitaki kukosolewa wakati inakosea na uzuri hizo mbwembwe tu hawawezi kufanya lolote Lissu is absolutely Genius.
Analazimisha kukaribishwa ikulu kunywa juisi.Huyu jamaa wangemwingiza tu kwenye system,nadhani angewashauri vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upumbavu ni furaha kwake aliyepungukiwa na akili. Bali mwenye Ufahamu huunyosha mwenendo wake. unatukuza kazi za shetani anazofanya kupitia mikono ya putin na kp. ila tambua kuwa UOVU HAUWEZI KUMUOKOA ALIYEUZOEAUsmart wake ni upi?unafikir upuuz anaoleta lisu putin au kp angemchekea na kuaangaika naye mahakaman?
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
Kuna mtu aliandika humu kwamba Magufuli ni fursa , wenye akili wanaitumia .Wanalifanya jambo lenyewe kuwa kubwa zaidi na kuongelewa na vyombo vya kimataifa, kwa cdm hii ni fursa na itawajenga zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwi! Kwi! Kwi!press conference za CHADEMA zipigwe marufuku
Hii nchi nimeshaichoka jamani ajitokeze hata msomali tubadilishane.
Wakimuachia akina nani, kwani mkondo wa kisheria hautafuatwa safari hii.alishapewa warning ya mwisho huyu lopolopo mchonganishi wakimuachia tena sitawaelewa
TUWEKEE USHAHIDI NI NAMNA GANI LISU AMESHIRIKIANA NA HAO WAZUNGU YEYE HUWA ANAKUJA NA EVIDENCE SIYO POROJO KAMA HIZI.Wasouth walikuwa wanaevidence zilizowazi na hawakushirikiana na their colonial masters dhidi ya hiyo case unayoisema wewe. Kwa Lissu na Kabwe Ni tofauti wameshirikiana na wasioipenda nchi hii kuzuia Mali ya watanzania isije nchini kwa masuala yao ya kisiasa . Huoni hawa watu inabidi waondolewe katika uso wa nchi hii. Leo wameshirikiana na wazungu kwa hili next time watashirikiana nao kwa lipi . Inachukiza sana .
Nauliza hayo "makosa mengi " unayosema.
Wamemkamata kwa kosa gani??
Ngoja na yeye apuliziwe, japo kidogo tu.Lissu amepulizia sumu kwenye pango la panya...