Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Swadakta!! upofu wa kufumbia ufisadi ni ufisadi. Ndio maana hiyo habari hata kama ilikuwa ni ya miaka 100 iliyopita ni valid kuja sasa haijalishi kama itamvurugia mtu mambo yake au laa. Suala kuwa limeshajadiliwa humu haiwi immunity ya kufanya lisijadiliwe tena as long as wachangiaji wapo ndio uhuru wa kujieleza wenyewe huo.

Nani fisadi kati ya Nape na baba yake its up 2 u 2 figure out, do ur home work mate...

upofu wa mtu kujifanya haoni hujuma inayofanywa kumchafua mtu kwa misingi ya baba yake ni ufisadi kuliko.

homework nimefanya na jibu ninalo. naamini na wewe umefanya yako na ndio maana umeishia kujifanya kipofu.
 
Mtani Masatu,

Je unamlaumu Nape kwa kuwa "mwana haramu"? Aliyekuwa fisadi na kutoka nje ya ndoa ni Baba yake Mzee Moses Mnauye na si sahihi kumtuhumu Nape kwa "ufisadi" unless naye Nape kafanya mambo ya Kifisadi kama kuhujumu au kuzalisha nje ya ndoa!
 
Mtani Masatu,

Je unamlaumu Nape kwa kuwa "mwana haramu"? Aliyekuwa fisadi na kutoka nje ya ndoa ni Baba yake Mzee Moses Mnauye na si sahihi kumtuhumu Nape kwa "ufisadi" unless naye Nape kafanya mambo ya Kifisadi kama kuhujumu au kuzalisha nje ya ndoa!

Mtani Rev Kishoka

Hapana u got it factually wrong. Sijamlaumu Nape wala na wala sijamhukumu mzee Nnauye (RIP) kuwa ni fisadi.

Ninachotetea hapa ni dhana nzima ya uhuru wa maelezo na na maadili ya viongozi wetu. In the process kama watajwa hapo juu wamo let be it!
 
Mtani Rev Kishoka

Hapana u got it factually wrong. Sijamlaumu Nape wala na wala sijamhukumu mzee Nnauye (RIP) kuwa ni fisadi.

Ninachotetea hapa ni dhana nzima ya uhuru wa maelezo na na maadili ya viongozi wetu. In the process kama watajwa hapo juu wamo let be it!


Mukulu Shukrani kwa ufafanuzi.
 
Maadili ni muhimu uzinifu na kutoheshimu ndoa ni sehemu ya ufisadi. Kiongozi anaeisaliti ndoa yake na familia yake ( watu ambao yupo karibu nao sana kila siku ) hatoshindwa kuwasaliti watanzania kwa uwingi wao.

Nawapongeza Global publishers kwa uthubutu wao huu mkubwa. Vita ya ufisadi lazima ianzie huko majumbani mwao (charity begins at home) Hizi hoja za asie na dhambi aanze kurusha jiwe ( Bwana Yesu hakumaanisha kuhalalisha uzinzi) tunazitafsiri sivyo ndivyo. Hata ukiwa kaburini haizuii watu kufukua uozo wa kiongozi tunahitaji taifa la waadilifu na majibu kama "viongozi wote wanafanya" ni hoja legevu na lemavu. Wachina wana msemo "a journey of thousands miles starts with single step" nasi tuanze na huyo na wengine mpaka tutafika.

acha uchovu wako, kaungane na wachovu wenzako akina global publishers, clinton alikuwa mtoto wa nje ya ndoa lakini unajua uanaume wake, kwani wewe wa ndoa damu damu umelifanyia nini taifa hili

sahihisha-a journey of one thousands miles start with single tread, siyo step, kwani step unapanda unaenda mbinguni?
 
acha uchovu wako, kaungane na wachovu wenzako akina global publishers, clinton alikuwa mtoto wa nje ya ndoa lakini unajua uanaume wake, kwani wewe wa ndoa damu damu umelifanyia nini taifa hili

sahihisha-a journey of one thousands miles start with single tread, siyo step, kwani step unapanda unaenda mbinguni?

Mwikimbi,

Mada sio Clinton bali ni maadili acha kuwa na mawazo mgando kila wakifanyacho wazungu ndio sahihi. Hata huyo Clinton wako almunusra wamng'oe kwenye kashfa ta Monica ( if unafuata viwango vya Clinton)

Step/tread more or less same thing consult ur dictionary
 
Hawa jamaa ni wase*** sana kwani kama kosa ni la baba yake mtoto ana kosa gani? Ukifuatilia hata wao utakuta wanaowaita baba zao si wao. Waambie waulize mama zao kwamba baba zao ni wanywa gongo huko vijijini afadhali ya mbali sana Nape.

Wanajidai mijini tu kuwa mambo safi kumbe wameibwa kinasaba. Waangalie sana tutawafuatilia pia iwe noma hapa nchini. Watu wakifanya makosa basi ku-neutrlise wanacreate mambo ya kidasi
 
Huu ni upuuzi mkubwa kabisa.

Hata kama Bwana Nape alizaliwa nje ya ndoa, au mama yake alikuwa CD; hiyo haimfanyi yeye awe na kasoro yoyote. Tunachoangalia ni nini alichoweka kichwani mwake, wala siyo alizaliwa na nani.

Mbona Baraka Obama alizaliwa nje ya ndoa, tena mama yake alikuwa msichana mdogo wa miaka 18 tu wakati huo akachombezwa na mwanafunzi wa kikenya na kupata mimba ya Obama bila kutegemea, lakini ni kipenzi cha wamerakani leo hii?
 
Mbona hamna habari umu! magazeti mengine hovyo sana na yameshaumiza watu wengi sana kwa habari zao famba.

Mbona hata skendo yenyewe hamna au wanatumiwa!? wanachi msinunue magazeti ya namna hii ili kutoa dicipline.
 
Mbona hamna habari umu! magazeti mengine hovyo sana na yameshaumiza watu wengi sana kwa habari zao famba.

Mbona hata skendo yenyewe hamna au wanatumiwa!? wanachi msinunue magazeti ya namna hii ili kutoa dicipline.

Lakini hayo ndio magazeti yanayonunuliwa sana na wananchi....ikiimaanisha ndio habari asilimia kubwa ya watu wanazopenda. Majority ya watu wetu hawapendi habari za kuwafanya wafikiri na kutafakari ila zaidi habari za fulani katembea na fulani etc...
 
sioni mantiki yoyote kwa habari kumhusu Nape kuwa ni mtoto wa nje wa Marehemu Nnauye kuwa gumzo kwa sasa.Mke wa marehemu aliibua taarifa za kumkana Nape miaka saba baada ya kifo cha mumewe.Hii ina uhusiano gani na maslahi anayoyatetea Nape.

Kushupalia habari kuwa Nape ni mtoto wa nje na kuwa Mzee wake hakuwa anaheshimu ndoa ni kwenda nje ya ukweli aliouibua Nape kuhusu mkataba wa jengo la UV-CCM.Watu wachache wanataka kupotosha ukweli ulio wazi kwa kuibua hoja zisizo na mashiko.

Magazeti yaandike mambo yanayojenga na siyo kutumiwa au kutumika kuzima ukweli na kutimiza mradi wa wachache.Pengine mama wa watu nae analipwa na CCM.Nani ajuae? global publishers wasiwe sehemu ya mtego wa CCM
 
Lakini hayo ndio magazeti yanayonunuliwa sana na wananchi....ikiimaanisha ndio habari asilimia kubwa ya watu wanazopenda. Majority ya watu wetu hawapendi habari za kuwafanya wafikiri na kutafakari ila zaidi habari za fulani katembea na fulani etc...


Unajua Deny_all,
Watanzania wengi wanapenda sana porojo na habari za udaku, ngono kujirusha n.k.Kama asilimi kubwa ya wananchi wanapenda matukio na habari hizo lazima magazeti na vijarida vya uchochoroni vitakuwa na demand kubwa.Watu hawasomi magazeti yenye kuwahabarisha matukio makubwa na kuelewa mustakabali wa nchi.Ndio maana katika vita dhidi ya ufisadi na mafisadi wengi wapo usingizini.Wanafikiri ni kazi ya wapinzani na wananchi wachache wenye kuguswa.

'If you want to hide something good from Tanzanians, put it in writing'
 
Hivi jamania kwanini hakuna vijalida vya kuweza kuyakosoa haya?

hawa udaku sasa kwa tamaa zao za pesa watachapisha mambo yalyi na aibu hata kwa wakwe zao
 
Hao Waungwana wa Global Publisher wameishiwa....Haileti maana kwetu kujua Nape kazaliwa na nani?Tunachojali na kuheshimu ni Nape amefanya nini kwa jamii inayomzunguka....Haina maana yoyote kuelezwa hapa Nape kazaliwa na nani,awe Abdallah Natepe (RIP) au Abdullhaman Juma.Ni imani yangu kuwa Nape kafika hapo alipo kwa Juhudi zake binafsi za Utumishi wa Umma,na wala sio kwa sababu Baba yake alikuwa Muasisi wa CCM...Mbona hatuwaoni watoto wa Kamanda wa Vijana wa CCM (Ngombale Mwiru) wakiwa katika nafasi hizo?Nape usihudhunishwe na Maandishi ya hao Wachovu (Global Publisher).Simamia kile unachoamini..Hakuna Mtanzania bora kuliko mwingine,ni wazi HAKI itachukua nafasi yake...Aluta Continua!!!

Kina kinje hao unaowazungumzia kuwataka wajiunge na chama..watapata wapi muda wakusimamia miradi yao na babayao kingunge ya TANZANIA PACKING SYSTEM (TPS) na kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani cha ubunguo?????
 
Hawa ni wavivu wa kufikiri na wivu wa kijinga (B.W.Mkapa).

Suala la kuzaliwa kwa Nape linawahusu nini?Sasa nakubaliana Kuhani kuwa hatuna waandishi kabisa.Unapewa mlungura ili unandike upuuzi wa namna hii.Nani anapanga mtu azaliwe duniani?wala hakuna aliyepanga kwamba atazaliwa na nani au ktk ukoo fulani.Kama ingekuwa hivyo wengi wangekana hata familia walizomo. Yazungumzwe mambo ya msingi wala si haya ya vijiweni.

Nadhani hata ktk vitabu vya Mungu kuna ambao walizaliwa nje ya ndoa lakini Mungu aliwatambua na akawabarikia wakawa Taifa kubwa.Mfano ni ishmael.

Halafu haya ya kuzaliwa nje ya ndoa mbona yanakuja sasa hivi wakati wa siasa za maji taka.Mafisadi tunajua wamenunua baadhi ya wahariri ili wawasaidie kueneza sumu ya chuki,uongo.Tangu 2001 mbona hawakuandika hili?

Mawaziri na viongozi wengi wa ngazi za juu serikalini wana watoto wa nje ya ndoa,tunawajua wengi tu na hata vimada wao wanajulikana.

Nape dont give up,tuwakilishe vema,tunajua mafisadi wanatokwa machozi.
 
We masatu tuambie basi muungwana ana watoto wangapi wa nje? lowasa je, karamagi, na.............
 
Back
Top Bottom