muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,390
- 9,832
Kuna uzi mpya humu jamaa kadakwa kanisani..
Ni sawa kwako wewe na imani yako. Kwa wengine jambazi anafungwa 30yrs wakati hamna adhabu yoyote kwa anaefanya ngono.Tukumbushane tu amri za Mungu kisha tukumbuke yale Mungu aliyotuambia ya kuwa dhambi zote ni sawa.Marehemu alienda kwenye ngono ni sawa na jambazi aliyeuawa kwenye uhalifu.Tunafananisha hayo kupitia imani.
Nimetenda makosa mengi lakini siwezi kupoteza muda kujisafishaAcha kumhumkumu mwenzio, we umetenda dhambi ngapi? Mungu alivyokustahi unajiona mjanja.
Kwaya za AICT zimepoteza ushuhuda, ulevi na uzinzi ni sifa mbadala za wanakwaya wa AICT
CVC kuna mtoto wa bishop anaimbia humo but huyo dada ni Mlevi na mzinzi wa mwendo kasi!!
Sijui nani atafuata baada ya Mariam maana fujo za kuibiana mademu hadi kugegedana kiusaliti ni sifa kwa wanakwaya wa AICT
Kwaya za AICT zimepoteza ushuhuda, ulevi na uzinzi ni sifa mbadala za wanakwaya wa AICT
CVC kuna mtoto wa bishop anaimbia humo but huyo dada ni Mlevi na mzinzi wa mwendo kasi!!
Sijui nani atafuata baada ya Mariam maana fujo za kuibiana mademu hadi kugegedana kiusaliti ni sifa kwa wanakwaya wa AICT
Aliruka stage kumbeApambane na Hali yake huu ndio upuuzi wa kuingia kwenye mahusiano ile hali una ndevu.
Huniangushi hata siku moja kwenye kujenga hojaMkuu unavyoongea ni as if kufanya ngono ni kama ujambazi fulani hivi kumbe ni biological need. Its just sex hizi habari za kuifanya halali kwa kuwa umeoa/kuolewa au kuifanya haramu kwa kuwa hujaoa/kuolewa ni imani tu bottom line its just sex. Kwwahio kufia guest hakumfanyi awe ni shetani kwa familia yake.
Huku ntuzu kumsalimia msichana barabarani kinatosha kukutoa roho. Eti ninti kaenda kwa mchumbake analala huko huko yaani kipondo kinaanzia kwa mamake kwanzaUingie guest na mwanaume wa kitanzania na msifanye ngono hahaha labda awe na kichaa...
Huyo mwana kwaya amevuna alichopanda na lazima ende motoni kama kweli kuna motoni...na Mama yako ni mmoja ya wamama wapumbavu...
Usiniambie!Kwaya za AICT zimepoteza ushuhuda, ulevi na uzinzi ni sifa mbadala za wanakwaya wa AICT
CVC kuna mtoto wa bishop anaimbia humo but huyo dada ni Mlevi na mzinzi wa mwendo kasi!!
Sijui nani atafuata baada ya Mariam maana fujo za kuibiana mademu hadi kugegedana kiusaliti ni sifa kwa wanakwaya wa AICT
Ni malezi ya hovyo tu. Ingekuwa bariadi asingethubutu, mzee arudi home binti hayupo kaenda kwa mchumbake mtapigwa nyumba nzima akiwemo mamakeSometime wanaume bhana ni shiida tupu!
Kama Umekwazana na mwenzio its better leaving her along and life goes on
Select another partner to overcome the gap..
Matukio kama haya huwa yanajionyesha wazi kuwa huyo mwanaume ni mlevi wa Mapenzi(Kajifunzia ukubwan, hakupitia changamoto b4 hajawa na huyo mwenza)
Ukiwa na experience na love mtu akizinguwa piga chini maisha yaendelee uwe huru na maisha yako.
Mimi nishapiga chini Wanaume 7 kwa sababu mbali mbali.
Eg. Poor taking cares, Insufficient performance on bed.
Aya sasa kamuua halafu hana uhuru tena ni Msongo wa Mawazo mwanzo mwisho huku Jehanam ikimsubiri.
Aaarghhh....
Wacha utani ndugu, mwambie awe anapita huku kuna malalamiko mengi sana juu yake. Labda atayatatua.Tena boss wa TCRA ni mfadhili na mlezi wa hiyo kwaya
Tena lenye motoKufia gest ni aibu sana ,kama ingekuwa usukuman unazikwa na gunzi ma.takon
Hahahaha eti mpole mnyenyekevu hana ugomvi na mtu as if ni kweli....yani mtu amefia guest akiwa anafanya ngono kabla ya kuuwawa halafu una mpamba as if alikuwa malaika wakati ushahidi wa wazi unaonesha alikuwa akifanya ngono baada kutoka huko kwayani hahaha...aisee haya mambo ya kwaya haya...
Nina uhakika amwuwawa kwa sababu ya usaliti na wala si kwa sababu ya unyenyekevu...
yani nilipoona mjezi wa wa kijani na njano tu nikajuwa jitu kama hilki haliweze kuchangia swala hili kwa busala...Hahahaha eti mpole mnyenyekevu hana ugomvi na mtu as if ni kweli....yani mtu amefia guest akiwa anafanya ngono kabla ya kuuwawa halafu una mpamba as if alikuwa malaika wakati ushahidi wa wazi unaonesha alikuwa akifanya ngono baada kutoka huko kwayani hahaha...aisee haya mambo ya kwaya haya...
Nina uhakika amwuwawa kwa sababu ya usaliti na wala si kwa sababu ya unyenyekevu...