Wadau hii imekaaje?
Nilikuwa nangalia vipindi vya maombolezo kupitia tivi ya taifa.
Sasa mbona maombolezo haya yamekaa kikristu kristu zaidi?
Wanyarwanda na nyimbo zao wanafunika.
Najua wapo watakaokuja kuniponda kwa ukweli niliouona.
Nipo tayari kukosolewa.
Nilikuwa nangalia vipindi vya maombolezo kupitia tivi ya taifa.
Sasa mbona maombolezo haya yamekaa kikristu kristu zaidi?
Wanyarwanda na nyimbo zao wanafunika.
Najua wapo watakaokuja kuniponda kwa ukweli niliouona.
Nipo tayari kukosolewa.