pole sana mkuumusiba uko mkoani kwangu jamani nipeni poleee
Shemeji amekufundisha kunywa kisusio!Vichaa mmejazana lumumba
Achana na hilo choqo liandamizi post zake zote zimekaa kikameruni kameruni tu. Ni madhara ya kutokuwa na mikunjo.Sasa hapo sijaelewa, je Mheshimiwa Rais amemshukia Mbowe kama mwewe kivipi??
huwez kusikitikika kwa waliofiwa kwa sababu hakuna ndgu yako aliyekufaMtu mwenye akili hawezi kulisikitikia wala kulifurahia jambo la kijinga mnajenga mabarabara ya juu maeneo nyingine wkt wanchi wengine wana lundo la shida poleni wafiwa walokufa mungu awaweke panapowastahili
Nipe kisusio hicho ulichokaliaShemeji amekufundisha kunywa kisusio!
Mkuu nimeweka chanzo cha taarifa ni ITV saa 5 :30 asubhi hiiHii Habari Moderate Ifatilieni Haraka Tujue Ukweli Wake
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Aliyehai naye angenyongwa tu, haiwezekani umeaminiwa wewe na wewe ukajipa ufalme na kumpa mwengine. Jamani tunachezeana sana, ni sawa hizi dala dala za mijini mara nyingi hupewa madeiwaka kuendesha na wao hukaa bar kunywa bia na kulala na wanawake. Hawastahili huruma kwakweliNahodha aliyefariki ni Deiwaka tu(alipewa aendeshe ingawa hausiki na uendeshaji wa Mv nyerere).Nahodha ambaye ndo alitakiwa kusafiri na chombo ndo huyo ameshikiliwa na polisi kwa kosa la kumuachia Deiwaka aendeshe.
Yanii..!!Mkuu wa mkoa ajiuzulu tu eti tuliona wote wamekufa tukasitisha
Pathetic
Meli ilijaa sana mizigo na abiria si mapenzi ya Mungumeli kupinduka ilikuwa mipango ya Mungu, ila vifo vingi vilikuwa kwa mapenzi ya serikali yetu.
Alisema hivyo? Oh my goodnessMkuu wa mkoa ajiuzulu tu eti tuliona wote wamekufa tukasitisha
Pathetic