Labda nikutane na mfiwa nitampa ,Lakini kwenye bakuli La Magufuli sitoi hat a sentiSi pingi kwa ubaya Ila kwa kuepusha mabaya..
Enyi watanzania.. kweli mimi naunga mkono wachache ambao wanapinga uchangiaji wa rambirambi kwaajili ya ajari mbaya iliyotufika watanzania wote kwa ujumla wetu .
Sababu mpaka sasa hakuna taarifa zilizo weza kuthibitisha ni watu wangapi walio kuemo katika meli(kivuko) #hivyo familia zinazo passwa kuhaniwa ni unknown
Pili imekua kamchezo wananchi kutoa rambirambi Na rambirambi kupelekwa kusiko julikana
#yalinihuzunisha yaliyotokea kwenye maombolezo ya wadogo zetu *wa kwa mgambo the don. Wa A. Town*
Tatu.. still hakuna muongozo wowote ulioafikiwa wa kuweza kuzitambua familia zilizo patwa Na misiba
It's too early for that watanzania msije pigwa mkaambiwa pesa hazijulikami zilikoenda
Nawasilisha ..