Sakata la Musiba waliokuwa wanamtuma na kumfadhili watajwe hadharani ili Watanzania tuwajue

Mbona hili ni ize tu, aliyekuwa anamfadhili si kafa, unafikiri angekuwa hai kuna mtu angemgusa yeye au yule mwenzake aliyepigwa mvua 30.
 
Wiki hii mahakama kuu imetoa hukumu ya kesi baina ya bernad membe vs cyprian musiba au "Mwanaharakati huru" kesi ambayo ilifunguliwa na Bernad Membe.


Hukumu ya kesi hiyo imetolewa na musiba ametakiwa kumlipa membe sh bilion 6. Kuna vigogo wamejitokeza kwenye vyombo vya habari ambao nao waliwahi kutukanwa na kudhalilishwa na musiba ktk nyakati tofauti

Vigogo hao ni pamoja na mzee yusuf makamba Zitto Kabwe na Nape Nnauye

Vigogo hao inaonekana wanawajua wote waliokuwa wanamtuma musiba kutekeleza vitendo hivyo na kumfadhili.

Ushauri kwa vigogo
Ili kukomesha tabia na vitendo hivi ni vema hao waliokuwa wanamtuma na kumfadhili watajwe hadharani ili watanzania tuwajue kwani nao ni sehemu ya washirika wa udhalilishaji

Kutowataja ni kuendelea kuwalea kesho akitoke musiba mwingine watamtuma na kumfadhili .

View attachment 1992821
Maccm majizi lazima yajitokeze kuelezea hisia zao namna walivyokuwa wamedhibitiwa kkwa madai ya ushiriki hujuma dhidi ya JPM

Chuki, Nongwa, Uzabinazabina na visasi ni lazima wavioneshe hadharani kwa kuwa hakuna wa kukemea
 
Wiki hii mahakama kuu imetoa hukumu ya kesi baina ya bernad membe vs cyprian musiba au "Mwanaharakati huru" kesi ambayo ilifunguliwa na Bernad Membe.


Hukumu ya kesi hiyo imetolewa na musiba ametakiwa kumlipa membe sh bilion 6. Kuna vigogo wamejitokeza kwenye vyombo vya habari ambao nao waliwahi kutukanwa na kudhalilishwa na musiba ktk nyakati tofauti

Vigogo hao ni pamoja na mzee yusuf makamba Zitto Kabwe na Nape Nnauye

Vigogo hao inaonekana wanawajua wote waliokuwa wanamtuma musiba kutekeleza vitendo hivyo na kumfadhili.

Ushauri kwa vigogo
Ili kukomesha tabia na vitendo hivi ni vema hao waliokuwa wanamtuma na kumfadhili watajwe hadharani ili watanzania tuwajue kwani nao ni sehemu ya washirika wa udhalilishaji

Kutowataja ni kuendelea kuwalea kesho akitoke musiba mwingine watamtuma na kumfadhili .

View attachment 1992821
 
Maccm majizi lazima yajitokeze kuelezea hisia zao namna walivyokuwa wamedhibitiwa kkwa madai ya ushiriki hujuma dhidi ya JPM

Chuki, Nongwa, Uzabinazabina na visasi ni lazima wavioneshe hadharani kwa kuwa hakuna wa kukemea
Hakuna MTU msafi ndani ya CCM wote wachafu paka mwendazake Magufuli alikuwa ana mauchafu yake kwahiyo yanayo jiri sasa hivi ni fundisho kwa waliye baki hai hasa wana SIASA sababu hujui kesho yako itakuwa nini HESHIMU kila mtu usimuhukumu MTU kwa weakness yake na ndio iwe fimbo ya kumchapia mbele ya UMMA.
 
Sidhani kama tatizo ni wanaokutuma, tatizo lipo kwa anayekubali kutumwa kwenye mambo ya hovyo.

Hata sheria ipo wazi juu ya hili.
Hata jambazi la kaskazini lilinyeshewa mvua 30 limedai lilitekeleza maagizo toka juu!
 
Je utaona ajabu iwapo hao mnaosema watajwe na wamsaidie kulipa faini Musiba , watachota hizo fedha kutoka kwenye TOZO zenu!!!
Ndo maana tunataka katiba mpya ili iwabane wasipate mwanya wa kuchota tozo zetu!
 
Wiki hii mahakama kuu imetoa hukumu ya kesi baina ya bernad membe vs cyprian musiba au "Mwanaharakati huru" kesi ambayo ilifunguliwa na Bernad Membe.


Hukumu ya kesi hiyo imetolewa na musiba ametakiwa kumlipa membe sh bilion 6. Kuna vigogo wamejitokeza kwenye vyombo vya habari ambao nao waliwahi kutukanwa na kudhalilishwa na musiba ktk nyakati tofauti

Vigogo hao ni pamoja na mzee yusuf makamba Zitto Kabwe na Nape Nnauye

Vigogo hao inaonekana wanawajua wote waliokuwa wanamtuma musiba kutekeleza vitendo hivyo na kumfadhili.

Ushauri kwa vigogo
Ili kukomesha tabia na vitendo hivi ni vema hao waliokuwa wanamtuma na kumfadhili watajwe hadharani ili watanzania tuwajue kwani nao ni sehemu ya washirika wa udhalilishaji

Kutowataja ni kuendelea kuwalea kesho akitoke musiba mwingine watamtuma na kumfadhili .

View attachment 1992821
Inajulikana waziwazi ni nani alikuwa anamtuma

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wakina Makamba babu, Zitto Kabwe na Nape Mnauye, kuna machavu mengi yanayofanyika na serikali ya ccm! Ongeleeni pia hayo!!! Wote tunafurahia ya Musiba lakini haitoshi!!
 
Back
Top Bottom