TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,050
- 3,302
Siasa za kifala hizi yaan mijitu mingne inawaza siasa kuliko hata Chakula... Nataman nitukane matusi hapa.. Shame on you mlotoa Hilo bango
Unafikiri ni taratibu zipi hazikufuatwa?
Athari za kuonekana sisi ni mabwege ni kubwa zaidi kuliko kujifanya kuwa procedures hazikufuatwa.. Kwani hilo bango lingeachwa pale ili waweke mambo Sawa ingekuwaje.. Tunakuwa kama watoto wadogo wanaonyan'ganyana mkate.. Tu nashindwa kujibrand tunakalia majungu na siasa uchwara.. Pathetic.. Ndo maana tunanunua ndege ziwafuate watalii huko waliko kuliko kujitangaza na kufahamika kimataifa zaidi.. Tu nashindwa hata na msumbiji kwa utalii wakati hawana hata vivutio vya uhakika kuliko sisi! Lol!Safiii, Mwaandishi kaandika vizuri habarii "Procedures hazikufuatwa"
Wazungu wenyewe wako na Procedures in naming streets
Kwa nini huyu meya wa Ubungo hakufuata kanuni?Haya mambo yatasababisha tuonekane watu wa ajabu sana na mataifa mengine
Anaye endesha nchi kihuni ni dereva wenu walori hafuiti katiba ya nchi wala ilani ya chama chake someni ilani ya chama chake kuhusu watoto wanao Pata mimba shule na yeye anachokisemaNchi haiwezi kuendeshwa kihuni. Uhuni uhuni huu ndo umesababisha nchi ikafika hapa.
Aliyeupa huo mtaa jina la huyo mkenya akamatwe.
Yote ameyataka Meya ... Taratibu lazima zifatwe....Haya mambo yatasababisha tuonekane watu wa ajabu sana na mataifa mengine
Haya mambo yatasababisha tuonekane watu wa ajabu sana na mataifa mengine
Labda amevimbiwa pilauUmesoma mwenyewe au umesomewa na mtu taahira wewe?
Tanzania inadhalilishwa na watu kama Bashite , ambao hawakuwahi kushiriki kuijenga .Haya mambo yatasababisha tuonekane watu wa ajabu sana na mataifa mengine
Tuonekane mara ngapi?Haya mambo yatasababisha tuonekane watu wa ajabu sana na mataifa mengine
Na alietoa hlo bango akamatweNchi haiwezi kuendeshwa kihuni. Uhuni uhuni huu ndo umesababisha nchi ikafika hapa.
Aliyeupa huo mtaa jina la huyo mkenya akamatwe.
Ulizisoma au ulisimuliwa?Zitafute humu jamvini ziliwekwa.
Kama hujiwajibih unasubrHivi hilo jina la mtaa mimi linaniongezeaje ujazo kwenye kapu langu la unga
Kuna ndg yangu anafanya PhD huko kwa weupe. Darasani kwake wanamshangaa. Sio kwa vile ni kipanga. Wanamshangaa eti wao miaka nenda rudi, wanaishi wakiamini hamna mtu mweusi wa Africa mwenye akili sawa sawa!Watanzania ni watu wa ajabu,wachukue sample wapeleke makumbusho.