zito anaweza kabisa kumega kura za kutosha kutoka kwenye kundi la vijana na hivo kuweza kupunguza kura za cdm.lengo ni kupunguza kura za cdm 2015, Na hawawezi.
Nothing to discuss here, porojo dot com.
Mkuu hapo kwenye msimbazi..... sisi bado hatujafika huko............. hata hivyo kwa staili ya siasa zetu kwa jambo hili itabidi nusu ya bajeti yetu iende Tume ya uchaguzi maana itakuwa ni uchaguzi asubuhi.....uchaguzi jionikwa nchi ambazo zimeendelea ile kutajwa tu au kutiliwa mashaka inatosha wewe mwenyewe kujiondoa au wakuu wako kuku fire kupisha uchunguzi! Zitto amekuwa mhubiri mzuri sana wa accountability, sasa anathumiwa tena tuhuma nzito sana kwa nn asijiengue mwenyewe apishe uchunguzi huru??is he realy clean??
Kura za vijana wa kiislamzito anaweza kabisa kumega kura za kutosha kutoka kwenye kundi la vijana na hivo kuweza kupunguza kura za cdm.