Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Wasomi mbalimbali wamesema sakata la mgogoro wa Madaktari na serikali linachochewa wanasiasa kutokana na misimamo ya wanasiasa hao walioitoa kwa nyakati tofauti huku wasomi hao wakinena kama ifuatavyo:
1. Uhai haupimwi na kitu chochote, Utaratibu wa Madaktari kugoma umepigwa marufuku katika nchi nyingi duniani-Dk.BENSON BANA
2. Ni tabia mbaya kuona kada moja inajiona ni bora kuliko nyingine-Dk. Bana
3. ANANILEA NKYA kusema kitendo cha Mawaziri wa Afya kushindwa kujiuzulu ni maajabu ni dhahiri suala hili limejaa siasa-SALIM SAID
4. Haki bila nidhamu, wajibu ni sawa na wazimu-Salim Said
5. Kuna njama za kuidhoofisha Serikali kupitia taaluma ya Udaktari-JOSEPH LUGHA
6. Kumpa Rais siku kwa ajili ya kutaka kufanikisha mambo yao ni kinyume na utamaduni wa Watanzania-BANA
Tutafakari
1. Uhai haupimwi na kitu chochote, Utaratibu wa Madaktari kugoma umepigwa marufuku katika nchi nyingi duniani-Dk.BENSON BANA
2. Ni tabia mbaya kuona kada moja inajiona ni bora kuliko nyingine-Dk. Bana
3. ANANILEA NKYA kusema kitendo cha Mawaziri wa Afya kushindwa kujiuzulu ni maajabu ni dhahiri suala hili limejaa siasa-SALIM SAID
4. Haki bila nidhamu, wajibu ni sawa na wazimu-Salim Said
5. Kuna njama za kuidhoofisha Serikali kupitia taaluma ya Udaktari-JOSEPH LUGHA
6. Kumpa Rais siku kwa ajili ya kutaka kufanikisha mambo yao ni kinyume na utamaduni wa Watanzania-BANA
Tutafakari