Sakata la mgomo wa madaktari kuna shinikizo la kisiasa-wasomi

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Wasomi mbalimbali wamesema sakata la mgogoro wa Madaktari na serikali linachochewa wanasiasa kutokana na misimamo ya wanasiasa hao walioitoa kwa nyakati tofauti huku wasomi hao wakinena kama ifuatavyo:

1. Uhai haupimwi na kitu chochote, Utaratibu wa Madaktari kugoma umepigwa marufuku katika nchi nyingi duniani-Dk.BENSON BANA
2. Ni tabia mbaya kuona kada moja inajiona ni bora kuliko nyingine-Dk. Bana
3. ANANILEA NKYA kusema kitendo cha Mawaziri wa Afya kushindwa kujiuzulu ni maajabu ni dhahiri suala hili limejaa siasa-SALIM SAID
4. Haki bila nidhamu, wajibu ni sawa na wazimu-Salim Said
5. Kuna njama za kuidhoofisha Serikali kupitia taaluma ya Udaktari-JOSEPH LUGHA
6. Kumpa Rais siku kwa ajili ya kutaka kufanikisha mambo yao ni kinyume na utamaduni wa Watanzania-BANA

Tutafakari
 
Hapa huna hoja yoyote ya maana! Hizi ni propaganda tu za utawala feki wa ccm kutaka kuwahadaa wananchi kwamba chama fulani cha upinzani ndicho chanzo cha mgomo wa madaktari. Kumbuka madaktari wanagoma kwa sababu tu ya kudai maslahi yao. Sasa hii chuki unayotaka kuipandikiza hapa umeitoa wapi?

 
Bana tulishamzoea Pro CCM, yeye kwake chongo ya CCM ni kengeza!
 
naona umeamua kukusanya maoni ya BANA.sijui ulitetegemea aseme nini zaidi ya hayo aliyosema.
 
Wasomi mbalimbali wamesema sakata la mgogoro wa Madaktari na serikali linachochewa wanasiasa kutokana na misimamo ya wanasiasa hao walioitoa kwa nyakati tofauti huku wasomi hao wakinena kama ifuatavyo:

1. Uhai haupimwi na kitu chochote, Utaratibu wa Madaktari umepigwa marufuku katika nchi nyingi duniani-Dk.BENSON BANA
2. Ni tabia mbaya kuona kada moja inajiona ni bora kuliko nyingine-Dk. Bana
3. ANANILEA NKYA kusema kitendo cha Mawaziri wa Afya kushindwa kujiuzulu ni maajabu ni dhahiri suala hili limejaa siasa-SALIM SAID
4. Haki bila nidhamu, wajibu ni sawa na wazimu-Salim Said
5. Kuna njama za kuidhoofisha Serikali kupitia taaluma ya Udaktari-JOSEPH LUGHA
6. Kumpa Rais siku kwa ajili ya kutaka kufanikisha mambo yao ni kinyume na utamaduni wa Watanzania-BANA

Tutafakari

Wakati wa ndiyo mzee umekwisha. Sasa hivi ni wakati wa uwazi na ukweli. Hatuwezi kumsubiri miaka mitano ipite ndo tumwadhibu. Sasa hivi adhabu ni hapo hapo kama wanavyofanyiwa vibaka. Hatukubali achezee roho zetu. Mchezo wa serikali na madaktari ni mauti kwetu. Lazima aliyeanzisha huo mchezo na anayependa uendelee alazimishwe kuuacha.

Hawa wanaojiita wasomi ni wavivu tu wa kufikiri na huwa wanaviamini visababu uchwara vya CCM. Ni nani asiyejua kuwa hakuna mwanasiasa anayetibiwa hata kufanya check up hapa nchini. Ni nani asiyejua sababu yao kutokutibiwa hapa. Je, Tanzania tuna raia wa 1st class na 3rd class? unafikiri hawatibiwi hapa kwa sababu wanapenda au ni kwa sababu wanajua kuwa hospitali zetu hawazipi fungu la kutosha hivyo hazina vifaa vya kutosha.
 
Hapa huna hoja yoyote ya maana! Hizi ni propaganda tu za utawala feki wa ccm kutaka kuwahadaa wananchi kwamba chama fulani cha upinzani ndicho chanzo cha mgomo wa madaktari. Kumbuka madaktari wanagoma kwa sababu tu ya kudai maslahi yao. Sasa hii chuki unayotaka kuipandikiza hapa umeitoa wapi?


Yupi asiye na hoja? mleta huu uzi au waliosema?
 
Wakati wa ndiyo mzee umekwisha. Sasa hivi ni wakati wa uwazi na ukweli. Hatuwezi kumsubiri miaka mitano ipite ndo tumwadhibu. Sasa hivi adhabu ni hapo hapo kama wanavyofanyiwa vibaka. Hatukubali achezee roho zetu. Mchezo wa serikali na madaktari ni mauti kwetu. Lazima aliyeanzisha huo mchezo na anayependa uendelee alazimishwe kuuacha.

Hawa wanaojiita wasomi ni wavivu tu wa kufikiri na huwa wanaviamini visababu uchwara vya CCM. Ni nani asiyejua kuwa hakuna mwanasiasa anayetibiwa hata kufanya check up hapa nchini. Ni nani asiyejua sababu yao kutokutibiwa hapa. Je, Tanzania tuna raia wa 1st class na 3rd class? unafikiri hawatibiwi hapa kwa sababu wanapenda au ni kwa sababu wanajua kuwa hospitali zetu hawazipi fungu la kutosha hivyo hazina vifaa vya kutosha.

Do you really think that it can work?
 
Wasomi mbalimbali wamesema sakata la mgogoro wa Madaktari na serikali linachochewa wanasiasa kutokana na misimamo ya wanasiasa hao walioitoa kwa nyakati tofauti huku wasomi hao wakinena kama ifuatavyo:

1. Uhai haupimwi na kitu chochote, Utaratibu wa Madaktari umepigwa marufuku katika nchi nyingi duniani-Dk.BENSON BANA
2. Ni tabia mbaya kuona kada moja inajiona ni bora kuliko nyingine-Dk. Bana
6. Kumpa Rais siku kwa ajili ya kutaka kufanikisha mambo yao ni kinyume na utamaduni wa Watanzania-BANA

Tutafakari

Hivi mkuu unaweza kweli kutumia muda wako kum-quote Dk. Bana!!!!!
 
Hivi mkuu unaweza kweli kutumia muda wako kum-quote Dk. Bana!!!!!

Huyu ni mmoja kati ya watu waliouza utu na usomi wao kwa sababu ya kuneemesha matumbo yao; hawana weledi wala uzalendo wa kuwafikiria na kuwatetea mama ,baba, dada na kaka zao ambao wanateseka kwasababu ya ubinafsi na ufisadi wa viongozi wa ccm!
 
Of all the people, BANA is hopeless. Anatumia elimu yake ya vyeti kuwahadaa watanzania. Maana msomi kweli kweli ni yule anayetumia usomi wake kusema ukweli na kushauri, siyo huyu proCCM BANA
 
Wasomi mbalimbali wamesema sakata la mgogoro wa Madaktari na serikali linachochewa wanasiasa kutokana na misimamo ya wanasiasa hao walioitoa kwa nyakati tofauti huku wasomi hao wakinena kama ifuatavyo:

1. Uhai haupimwi na kitu chochote, Utaratibu wa Madaktari kugoma umepigwa marufuku katika nchi nyingi duniani-Dk.BENSON BANA
2. Ni tabia mbaya kuona kada moja inajiona ni bora kuliko nyingine-Dk. Bana
3. ANANILEA NKYA kusema kitendo cha Mawaziri wa Afya kushindwa kujiuzulu ni maajabu ni dhahiri suala hili limejaa siasa-SALIM SAID
4. Haki bila nidhamu, wajibu ni sawa na wazimu-Salim Said
5. Kuna njama za kuidhoofisha Serikali kupitia taaluma ya Udaktari-JOSEPH LUGHA
6. Kumpa Rais siku kwa ajili ya kutaka kufanikisha mambo yao ni kinyume na utamaduni wa Watanzania-BANA

Tutafakari

unatosha kuwa na akili ya ziada kuwa hapa JF ,,,,,,THREAD IMEJAA UKWELI MTUPU
 
Wasomi mbalimbali wamesema sakata la mgogoro wa Madaktari na serikali linachochewa wanasiasa kutokana na misimamo ya wanasiasa hao walioitoa kwa nyakati tofauti huku wasomi hao wakinena kama ifuatavyo:

1. Uhai haupimwi na kitu chochote, Utaratibu wa Madaktari kugoma umepigwa marufuku katika nchi nyingi duniani-Dk.BENSON BANA
2. Ni tabia mbaya kuona kada moja inajiona ni bora kuliko nyingine-Dk. Bana
3. ANANILEA NKYA kusema kitendo cha Mawaziri wa Afya kushindwa kujiuzulu ni maajabu ni dhahiri suala hili limejaa siasa-SALIM SAID
4. Haki bila nidhamu, wajibu ni sawa na wazimu-Salim Said
5. Kuna njama za kuidhoofisha Serikali kupitia taaluma ya Udaktari-JOSEPH LUGHA
6. Kumpa Rais siku kwa ajili ya kutaka kufanikisha mambo yao ni kinyume na utamaduni wa Watanzania-BANA

Tutafakari

Nafikiri kuna ukweli kuwa wanasiasa wanatumika kuchochea mgomo wa madaktari. Mhe Pinda amedhihirisha wazi kuwa siasa kwake ni muhimu kuliko maridhiano. Mbona alishakubali kukaa na madaktari na muafaka ukawepo wakarudi kazini?

Hakuna aliyemwuliza zile kauli zake za mwanzo ilikuwaje?

  • Alikataa kusubiri siku moja akutane na ma dr j3 akidai anashughuli muhimu zaidi za bunge! kumbe kikao cha bunge kilikuwa muhimu kuliko uhai wa watu.Na mbona aliacha tena bunge na kuja kukutana na ma dr.
  • Alituhaidi watakaogoma wamejifuta kazi. Hakutujulisha baadaye ni wangapi walijifuta kazi.
  • Alisema Ameandaa ma dr toka jeshini wala hakuna litakalo haribika? Hivi kweli ma dr wa Jw walikuja kuwa mbadala pale Muhimbili na kwingineko.
  • Ni kweli wanasiasa wanaingiza siasa katika kila jambo, na hata katika mgomo wa madaktari.
 
Unajua hapa ndio tunapoudhalilisha usomi wa Tanzania...msomi hapaswi kujustify hisia zake kuwa ndio sababu ya tatizo fulani...msomi hujipa muda kufanya tafiti kisha kugundua sababu za tatizo na jinsi ya kulitatua!
 
Back
Top Bottom