Sakata la Mdee na wenzake litafanya wananchi wazidii kupOteza imani na hili Bunge

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,986
144,313
Ukweli ni kwamba kutokana na sakata hili hata wale wanaanchi waliokuwa bado na imani kidogo na hili Bunge, sasa nao watapoteza imani hio kidogo waliokuwa nayo na matokeo yake Bunge zima litadharaulika.

Watu lazima watajiuliza wabunge wa kubebwa na serikali(dola) watakuwa na uthubutu gani wa kutetea wananchi Bungeni kama sio kuwa wabunge wa serikali?

Tukumbuke mpaka sasa hili Bunge machoni pa wengi ni Bunge la chama kimoja na sakata hili linakwenda kuthibitisha kwa vitendo kuwa hata hawa kina Mdee ni wabunge wa CCM tu wanaotumia mwamvuli wa upinzani.

Mama anafeli sana katika mtihani wa kujarbu aonekane mwema tofauti na Mtangulizi wake(mpaka sasa amelamba F).

Wanaangamia kwa kukosa maarifa hata ya kuvukia barabara!
 
Haki hupatikana mahakamani. Tusubiri kesi isikilizwe. Hakuna marefu yasiyo na ncha.
 
Hata kama itapatikana Mahakamani lakini si wana chama wa Chadema...

Chadema imesha wafukuza wao ving'ang'anizi...Wasepe nje ya Bunge huku wasubiri mahakama...???

Maana asaivi hata miswada ya bunge hawato kosoa serikali tena...!!??
 
Elimu kwa mwafrica, hasa mwanasiasa haijawahi kuwa dira ya uadilifu, kama leo hii tutaitafakari PHD ya Spika kwa macho manne, Basi tunaweza kusema hyo Phd either aliitafuta kwa jasho au Alipewa kwa jasho . Lakin kwa muktadha huu Phd ile Alipewa tu, sasa alitoa nini ili aipate? hiyo ni Siri yake!!
 
Haki hupatikana mahakamani. Tusubiri kesi isikilizwe. Hakuna marefu yasiyo na ncha.
Tusiwe wajinga, Tanzania hakuna mahakama. Kinachoitwa mahakama, ni aheri hata yale mabaraza ya kata. Kwa ujumla kinachoitwa mahakama ni sawa tu na idara mojawapo ya Serikali ambayo hufanya kazi kwa maelekezo ya Rais.

Ni kaidara fulani kanakotumika kama kichaka cha Serikali kuwapumbaza wajinga.

Kwa suala hili la akina Halima Mdee, Serikali au Rais angesema tu wazi kuwa japo hao akina Mdee hawana chama, Serikali imeamua wawe wabunge kwa kuwapachika kwenye chama cha upinzani ili kuwahadaa wahisani ionekane ni Bunge la vyama vingi. Ujinga wanaoufanya sasa, utasababisha uwongo na unafiki wao viwe wazi kwa kila mmoja.
 
Hakuna imani yoyote inapotea hapo, na mkutano wenu wote ule mmeambulia patupu.
 
Ukweli ni kwamba kutokana na sakata hili hata wale wanaanchi waliokuwa bado na imani kidogo na hili Bunge, sasa nao watapoteza imani hio kidogo waliokuwa nayo na matokeo yake Bunge zima litadharaulika.

Watu lazima watajiuliza wabunge wa kubebwa na serikali(dola) watakuwa na uthubutu gani wa kutetea wananchi Bungeni kama sio kuwa wabunge wa serikali?

Tukumbuke mpaka sasa hili Bunge machoni pa wengi ni Bunge la chama kimoja na sakata hili linakwenda kuthibitisha kwa vitendo kuwa hata hawa kina Mdee ni wabunge wa CCM tu wanaotumia mwamvuli wa upinzani.

Mama anafeli sana katika mtihani wa kujarbu aonekane mwema tofauti na Mtangulizi wake(mpaka sasa amelamba F).

Wanaangamia kwa kukosa maarifa hata ya kuvukia barabara!
Kanuni za Chama

6.5.2 Kwa mujibu wa Ibara 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba, mwanachama yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza:
(a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
(b) (c) (d) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.

Hapo tu kuna waliopewa taarifa kwa simu na bila kufafanuliwa makosa yao ili wapate muda wa kutoa utetezi.
Ukiendelea mbele...

6.5.6 Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila kwanza kupewa mashitaka kwa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kujibu mashitaka kwa maandishi.

6.5.7 Kiongozi mhusika, zaidi ya utetezi wa maandishi, atapewa nafasi ya kujieleza bayana mbele ya kikao cha mamlaka ya nidhamu.

6.5.8 Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya misingi ya maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumwezesha kuamua kukata rufani au la.

Katika wote hakuna aliyepewa mashitaka kwa maandishi wala nafasi ya kutoa utetezi wala taarifa ya msingi ya mamlaka ya nidhamu. Mpaka hapo mwenendo mzima wa kuwafukuza uanachama ukawa batili.

Ukiwa na swali jingine uliza.
 
Tusiwe wajinga, Tanzania hakuna mahakama. Kinachoitwa mahakama, ni aheri hata yale mabaraza ya kata. Kwa ujumla kinachoitwa mahakama ni sawa tu na idara mojawapo ya Serikali ambayo hufanya kazi kwa maelekezo ya Rais.

Ni kaidara fulani kanakotumika kama kichaka cha Serikali kuwapumbaza wajinga.

Kwa suala hili la akina Halima Mdee, Serikali au Rais angesema tu wazi kuwa japo hao akina Mdee hawana chama, Serikali imeamua wawe wabunge kwa kuwapachika kwenye chama cha upinzani ili kuwahadaa wahisani ionekane ni Bunge la vyama vingi. Ujinga wanaoufanya sasa, utasababisha uwongo na unafiki wao viwe wazi kwa kila mmoja.
Kanuni za Chama

6.5.2 Kwa mujibu wa Ibara 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba, mwanachama yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza:
(a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
(b) (c) (d) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.

Hapo tu kuna waliopewa taarifa kwa simu na bila kufafanuliwa makosa yao ili wapate muda wa kutoa utetezi.
Ukiendelea mbele...

6.5.6 Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila kwanza kupewa mashitaka kwa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kujibu mashitaka kwa maandishi.

6.5.7 Kiongozi mhusika, zaidi ya utetezi wa maandishi, atapewa nafasi ya kujieleza bayana mbele ya kikao cha mamlaka ya nidhamu.

6.5.8 Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya misingi ya maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumwezesha kuamua kukata rufani au la.

Katika wote hakuna aliyepewa mashitaka kwa maandishi wala nafasi ya kutoa utetezi wala taarifa ya msingi ya mamlaka ya nidhamu. Mpaka hapo mwenendo mzima wa kuwafukuza uanachama ukawa batili.

Ukiwa na swali jingine uliza.
 
Bunge la wavunja sheria, wale wajinga wanatunga sheria wao halafu wanazivunja wao kisha wanapongezana kwa kugonga meza kwa nguvu zao zote.
 
Wananchi wamepoteza imani na serikali yao sababu yakushindwa kusimamia upandaji ovyo wa bei ya petrol na vyakula lakini sio swala la bunge na mahakama.
 
Elimu kwa mwafrica, hasa mwanasiasa haijawahi kuwa dira ya uadilifu, kama leo hii tutaitafakari PHD ya Spika kwa macho manne, Basi tunaweza kusema hyo Phd either aliitafuta kwa jasho au Alipewa kwa jasho . Lakin kwa muktadha huu Phd ile Alipewa tu, sasa alitoa nini ili aipate? hiyo ni Siri yake!!
ndo zile degree za chupi
 
Ukweli ni kwamba kutokana na sakata hili hata wale wanaanchi waliokuwa bado na imani kidogo na hili Bunge, sasa nao watapoteza imani hio kidogo waliokuwa nayo na matokeo yake Bunge zima litadharaulika.

Watu lazima watajiuliza wabunge wa kubebwa na serikali(dola) watakuwa na uthubutu gani wa kutetea wananchi Bungeni kama sio kuwa wabunge wa serikali?

Tukumbuke mpaka sasa hili Bunge machoni pa wengi ni Bunge la chama kimoja na sakata hili linakwenda kuthibitisha kwa vitendo kuwa hata hawa kina Mdee ni wabunge wa CCM tu wanaotumia mwamvuli wa upinzani.

Mama anafeli sana katika mtihani wa kujarbu aonekane mwema tofauti na Mtangulizi wake(mpaka sasa amelamba F).

Wanaangamia kwa kukosa maarifa hata ya kuvukia barabara!
Mdee huyu huyu alietukanwa lila tusi na kusingiziwa mambo ya hovyo kabisa leo ana tetea na watu walewale. Mtu mweusi ni laana mbele ya mungu hasa akiwa mwana ccm
 
Back
Top Bottom