Sakata la Mchanga wa Dhahabu: Wanachotakiwa kufanya wapinzani

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,985
144,312
Tofauti na wapinzani ambao ni kama swali hili wamemuachia zaidi Lissu,CCM swala hili sasa limekuwa ni kama agenda yao ya kitaifa kwa kutaka kujaribu kuamisha umma kuwa wao na Magufuli ndio wana uchungu na hili jambo na wapinzani hasa Lissu wanatumika kutetea wazungu wa ACACIA.

Hawa wenzetu sasa hivi kila anaepata fursa ya kuongea na wananchi hii ndio imekuwa ni agenda yao ya majukwaani kwamba Lissu na CHADEMA wanatetea wezi wa Rasilimali za nchi kitu ambacho si kweli.

CHADEMA kama chama cha siasa hivi sasa kinatakiwa kuweka mkakati wa kukabiliana na propaganda hii kwa kuelekeza kila mbunge alitolee ufafanuzi jambo hili kwa wananchi wake tena kwa kueleza historia nzima ya namna sheria hizi zilivyopitishwa Bungeni kwa hati ya dharura na pia kuwaeleza /kuwakumbusha wananchi kuwa ni Lissu aliwahi wekwa ndani kwa kupinga uwekezaji huu wa kifisadi katika migodi.

Chama pia kinapaswa kuita waandishi wa habari na kufafanua jambo hili mara baada ya Ripoti ya Pili kutolewa hiyo Jumatatu maana ni lazima CHADEMA itatajwa tu hata kwa mafumbo lakini mnaweza pia kusubiri mjadala wa Bajeti upite kwanza ili tusiwe na agenda mbili muhimu kwa wakati mmoja pasipo na ulazima wowote.

Pia mnapaswa kutoa press release kwenye magazeti,n.k mkieleza kwa mapana na marefu historia ya juu ya jambo hili na jinsi mlivyolipiganga tangu mwanzo ila hamkusilikilizwa na muelezi pia ni njia gani mmekuwa mkishauri zifuatwe ili kumaliza tatizo hili.

Wapinzani ombeni hata airtime kwenye redio na tv kufafanua jambo hili na kuwakumbusha wananchi tumefikaje hapa na hatari inayoweza kutukumba huko baade busara ikikosekana katika kutatua mgogoro huu.

CHADEMA tusitegemee clip tu za mitandaoni katika kukabiliana na hili jambo bali tunapaswa kuenda mbali zaidi ya hapo.

Jambo hili wapinzani msiishie kulijadili tu ndani ya Bunge na kumuachia Tundu Lissu bali kwa sasa inafaa iwe ni agenda ya chama katika kulitolea ufafanuzi na kujibu propaganda hizi za CCM.

Katibu Mkuu wa CHADEMA naomba jambo hili sasa lipewe uzito unaostahili.

CC: Tumaini Makene
 
Kwa hakika nawe za kukubaliana na wewe juu ya hizo mbinu chafu za hiyo kambi,lakini ninapenda kukutaarifu kuwa wako wa pumbavu wachache sana ambao hawajaelewa jambo hili. Maana mimi kwa sasa niko kijijini kabisa interior lakini watu zaidi ya 95% wanaelewa kila kitu. Sijui wataponea wapi
 
Lowasa na Sumayi ni wana chama wa chadema, sasa watalieleza vipi hili suala mbele ya wananchi na wakaeleweka wakati na wao ndio walikua wahusika wakuu kipindi mikataba hii ilipokua ikipitishwa.
Inatakiwa watulezee jinsi mikataba ilivyopitishwa na walihisika vipi kuipitisha hii mikataba bila kuficha jambo lolote ili tuelewe ilikuaje mpaka wakakubali kupitisha hii ya unyonyaji.
 
Tofauti na wapinzani ambao ni kama swali hili wamemuachia zaidi Lissu,CCM swala hili sasa limekuwa ni kama agenda yao ya kitaifa kwa kutaka kujaribu kuamisha umma kuwa wao na Magufuli ndio wana uchungu na hili jambo na wapinzani hasa Lissu wanatumika kutetea wazungu wa ACACIA.

Hawa wenzetu sasa hivi kila anaepata fursa ya kuongea na wananchi hii ndio imekuwa ni agenda yao ya majukwaani kwamba Lissu na CHADEMA wanatetea wezi wa Rasilimali za nchi kitu ambacho si kweli.

CHADEMA kama chama cha siasa hivi sasa kinatakiwa kuweka mkakati wa kukabiliana na propaganda hii kwa kuelekeza kila mbunge alitolee ufafanuzi jambo hili kwa wananchi wake tena kwa kueleza historia nzima ya namna sheria hizi zilivyopitishwa Bungeni kwa hati ya dharura na pia kuwaeleza /kuwakumbusha wananchi kuwa ni Lissu aliwahi wekwa ndani kwa kupinga uwekezaji huu wa kifisadi katika migodi.

Chama pia kinapaswa kuita waandishi wa habari na kufafanua jambo hili mara baada ya Ripoti ya Pili kutolewa hiyo Jumatatu maana ni lazima CHADEMA itatajwa tu hata kwa mafumbo lakini mnaweza pia kusubiri mjadala wa Bajeti upite kwanza ili tusiwe na agenda mbili muhimu kwa wakati mmoja pasipo na ulazima wowote.

Pia mnapaswa kutoa press release kwenye magazeti,n.k mkieleza kwa mapana na marefu historia ya juu ya jambo hili na jinsi mlivyolipiganga tangu mwanzo ila hamkusilikilizwa na muelezi pia ni njia gani mmekuwa mkishauri zifuatwe ili kumaliza tatizo hili.

Wapinzani ombeni hata airtime kwenye redio na tv kufafanua jambo hili na kuwakumbusha wananchi tumefikaje hapa na hatari inayoweza kutukumba huko baade busara ikikosekana katika kutatua mgogoro huu.

CHADEMA tusitegemee clip tu za mitandaoni katika kukabiliana na hili jambo bali tunapaswa kuenda mbali zaidi ya hapo.

Jambo hili wapinzani msiishie kulijadili tu ndani ya Bunge na kumuachia Tundu Lissu bali kwa sasa inafaa iwe ni agenda ya chama katika kulitolea ufafanuzi na kujibu propaganda hizi za CCM.

Katibu Mkuu wa CHADEMA naomba jambo hili sasa lipewe uzito unaostahili.

CC: Tumaini Makene
Lissu ameshakunja mpunga wa Acacia. Mbowe anamshughulika Wema, Mashinji anakula ac tu ofisini. Makamanda namna hoja mnahangaika tu.
 
Kwa hakika nawe za kukubaliana na wewe juu ya hizo mbinu chafu za hiyo kambi,lakini ninapenda kukutaarifu kuwa wako wa pumbavu wachache sana ambao hawajaelewa jambo hili. Maana mimi kwa sasa niko kijijini kabisa interior lakini watu zaidi ya 95% wanaelewa kila kitu. Sijui wataponea wapi
Hawa jamaa hivi sasa wanatumia media na nguvu nyingi kutaka kutugeuzia kibao ili hali wao ndio wametufikisha hapa.
 
Mkuu Salary Slip kingine ni kutaka mikataba yote ya rasilimali za nchi iwekwe hadharani kuanzia awamu ya tatu hadi hii leo na hii ya ununuzi wa ndege pia kutoka Bombardier na Boeing iwekwe hadharani. Kuna kitu kinafichwa katika hi mikataba ni lazima washinikizwe hawa ili tukijue hicho wanachokificha.
 
Tofauti na wapinzani ambao ni kama swali hili wamemuachia zaidi Lissu,CCM swala hili sasa limekuwa ni kama agenda yao ya kitaifa kwa kutaka kujaribu kuamisha umma kuwa wao na Magufuli ndio wana uchungu na hili jambo na wapinzani hasa Lissu wanatumika kutetea wazungu wa ACACIA.

Hawa wenzetu sasa hivi kila anaepata fursa ya kuongea na wananchi hii ndio imekuwa ni agenda yao ya majukwaani kwamba Lissu na CHADEMA wanatetea wezi wa Rasilimali za nchi kitu ambacho si kweli.

CHADEMA kama chama cha siasa hivi sasa kinatakiwa kuweka mkakati wa kukabiliana na propaganda hii kwa kuelekeza kila mbunge alitolee ufafanuzi jambo hili kwa wananchi wake tena kwa kueleza historia nzima ya namna sheria hizi zilivyopitishwa Bungeni kwa hati ya dharura na pia kuwaeleza /kuwakumbusha wananchi kuwa ni Lissu aliwahi wekwa ndani kwa kupinga uwekezaji huu wa kifisadi katika migodi.

Chama pia kinapaswa kuita waandishi wa habari na kufafanua jambo hili mara baada ya Ripoti ya Pili kutolewa hiyo Jumatatu maana ni lazima CHADEMA itatajwa tu hata kwa mafumbo lakini mnaweza pia kusubiri mjadala wa Bajeti upite kwanza ili tusiwe na agenda mbili muhimu kwa wakati mmoja pasipo na ulazima wowote.

Pia mnapaswa kutoa press release kwenye magazeti,n.k mkieleza kwa mapana na marefu historia ya juu ya jambo hili na jinsi mlivyolipiganga tangu mwanzo ila hamkusilikilizwa na muelezi pia ni njia gani mmekuwa mkishauri zifuatwe ili kumaliza tatizo hili.

Wapinzani ombeni hata airtime kwenye redio na tv kufafanua jambo hili na kuwakumbusha wananchi tumefikaje hapa na hatari inayoweza kutukumba huko baade busara ikikosekana katika kutatua mgogoro huu.

CHADEMA tusitegemee clip tu za mitandaoni katika kukabiliana na hili jambo bali tunapaswa kuenda mbali zaidi ya hapo.

Jambo hili wapinzani msiishie kulijadili tu ndani ya Bunge na kumuachia Tundu Lissu bali kwa sasa inafaa iwe ni agenda ya chama katika kulitolea ufafanuzi na kujibu propaganda hizi za CCM.

Katibu Mkuu wa CHADEMA naomba jambo hili sasa lipewe uzito unaostahili.

CC: Tumaini Makene
Sasa hiki ndicho nilichokitegemea kutoka upinzani.

Strategize na mje na narrative mbadala na sio kupinga tu.
 
Mkuu Salary Slip kingine ni kutaka mikataba yote ya rasilimali za nchi iwekwe hadharani kuanzia awamu ya tatu hadi hii leo na hii ya ununuzi wa ndege pia kutoka Bombardier na Boeing iwekwe hadharani. Kuna kitu kinafichwa katika hi mikataba ni lazima washinikizwe hawa ili tukijue hicho wanachokificha.
Haya ndio mambo ambayo wapinzani wanapaswa kuwaeleza wananchi kuwa kama kweli CCM wana nia njema basi tunawataka walete mikataba hii Bungeni alafu wananchi wabaki wanapima utekelezaji wa serikali juu ya mawazo haya ya wapinzani.
 
Lowasa na Sumayi ni wana chama wa chadema, sasa watalieleza vipi hili suala mbele ya wananchi na wakaeleweka wakati na wao ndio walikua wahusika wakuu kipindi mikataba hii ilipokua ikipitishwa.
Inatakiwa watulezee jinsi mikataba ilivyopitishwa na walihisika vipi kuipitisha hii mikataba bila kuficha jambo lolote ili tuelewe ilikuaje mpaka wakakubali kupitisha hii ya unyonyaji.
Mikataba inapitishwa na bunge or inapitishwa na lowassa na sumaye????
 
Hili la kuweka mikataba yote hadharani muhimu sana maana litawaweka MACCM mahali pabaya sana. Rasilimali za nchi ni za Watanzania wote kwanini mikataba yake iwe siri kubwa kwa Watanzania? Kuna kipi ndani ya mikataba hiyo kinachowaogopesha mpaka hawataki tuzijue details husika?

kp06112014-jpg.522112



Haya ndio mambo ambayo wapinzani wanapaswa kuwaeleza wananchi kuwa kama kweli CCM wana nia njema basi tunawataka walete mikataba hii Bungeni alafu wananchi wabaki wanapima utekelezaji wa serikali juu ya mawazo haya ya wapinzani.
 

Attachments

  • kp06112014.jpg
    kp06112014.jpg
    30.6 KB · Views: 193
Kuna watu bado wanapoteza mda wao kuwashauli hawa wapinzan uchwara watetea mafisad wasio hata na chembe ya aibu
Nani kamtetea yule aliyesema mabilioni ni hela ya Mboga au yule aliyesema bilioni moja ni vijisenti? Ni mpinzani gani anamtetea anayetaka kuongeza Mkataba wa IPTL au aliyenunua Kivuko kisichofanya kazi?
 
Hili la kuweka mikataba yote hadharani muhimu sana maana litawaweka MACCM mahali pabaya sana. Rasilimali za nchi ni za Watanzania wote kwanini mikataba yake iwe siri kubwa kwa Watanzania? Kuna kipi ndani ya mikataba hiyo kinachowaogopesha mpaka hawataki tuzijue details husika?

kp06112014-jpg.522112
Kwa hili hawatathubutu na hiko ndio kitakuwa kipimo tosha kwao kwa wananchi na sio makelele ya majukwaani.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom