shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,896
Usishangae kesho akiwa waziri kamiliNaibu Waziri wa Nishati na Madini,Dk.Medard Kalemani mbona yeye hajawajibishwa katika sakata hili la mchanga wa dhahabu?
Kama hoja ni muda aliokaa kwenye hiyo wizara,mbona Mama Kilango aliwajibishwa bila kujali muda aliokuwa amekalia kiti kama Mkuu wa Mkoa?
Ni kweli muda aliokaa Naibu Waziri ni mfupi kiasi cha yeye kutoguswa?