Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Hii ndio hali halisi huko Mbeya leo hii(mwnyewe utajiongeza):
We kamanda lini utaandamana?Kilichobaki ni watu kuzoe milioni ya bunduki tu.
Tarehe 5We kamanda lini utaandamana?
AMANI YA NCHI NI MUHIMU KULIKO MALAYA WA KISIASA , WANAFIKI NA WACHUMIA TUMBO WA CCM.Lazima ifike sehemu wafe wote na Katiba mpya ipatikane.AMANI YA NCHI NI MUHIMU SANA KULIKO wafuasi wa Chadema, kamwe tusikubali wahuni wachache wakajaribu kuichezea Amani yetu.
yeyote atakaye jiona ana uhalali wa kuchezea amani yetu ana stahili au wanastahili kuchakazwa vilivyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Jeshi letu linapaswa kufuatilia nyenendo za wafuasi wa chadema kwa karibu zaidi usiku na mchana maana baadhi yao wana chembe chembe za UGAIDI.
kuna kila dalili ya kuandikwa historia mpya agosti 5
WeweWaandamane tuu kichapo Kiko pale pale,kwani Tunisia umeona wapinzani wanafanywaje? Wazungu wamewasaidia wapinzani licha ya kutiwa ndani? Pumbavu
wewe kaandamane usilete maneno huku-eboNashangaa jana Sirro anasema maandamano hayatakiwi tena kwa hasira, hii ni haki ya watu kisheria, tangu lini sheria zikakatazwa kufuatwa kwa makusudi tena na kiongozi wa jeshi la polisi?
Sirro anatakiwa akumbushwe ajue kazi ya jeshi la polisi ni kutoa ulinzi kwa wananchi bila kujali itikadi za vyama vyao, anachofanya Sirro sasa hivi ni kutoa ulinzi kwa CCM kwa maslahi ya chama chao.
Anatakiwa aamshwe kutoka usingizi wa pono aliolala, na asiwatishe wanaotaka kutimiza takwa lao kisheria, hii ni nchi ya kidemokrasia ya vyama vingi, sio ya chama kimoja.
ukiandamana tarehe 5 na uoga wenu nipakuwa hapo kuwasapotiTarehe 5
Unaona siifa kuzuia haki isitendeke.Waandamane tuu kichapo Kiko pale pale,kwani Tunisia umeona wapinzani wanafanywaje? Wazungu wamewasaidia wapinzani licha ya kutiwa ndani? Pumbavu