mmh!!wala EL hausiki na ha hili.hivyo vijisent billion 315 vilivyoko huko uswis ni vyangu mimi na mrishirika wangu wa kibiashara....:redface:Mimi namfikiria zaidi ndugu Edward Lowassa, waziri mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
sawa mwenye kistuli.CCM ni chama makini na kinasimamia haki kwa watanzania wote. Pesa hiyo itarudi na wahusika tutawapeleka mahakamani. Mimi ni mwenyekiti.
CCM ni chama makini na kinasimamia haki kwa watanzania wote. Pesa hiyo itarudi na wahusika tutawapeleka mahakamani. Mimi ni mwenyekiti.
sawa mwenye kistuli.
bwelayi wenga.lolWewe kadoda, nitafika Songea hivi karibuni.
umakini upi wewe gamba??mlishawai kumpeleka nani mahakamani na kumshitaki hata miaka miwili jela?? Kamwe hamuwezi kutudanganya tena mak ima nyie
bwelayi wenga.lol
kama wewe ni mwanaruvuma mwenzangu nimegundua jambo,wewe ni mmoja ya mamia ya Wanaruvuma wanaofunya mkoa huo kuwa nyuma kimaendeleo kwa kuendelea kushabikia magamba miaka nenda miaka rudi.kwa hili bambo you have been left very behind with unavoidable changes.kwali wa mwene.:israel:CCM ni chama dume na pia ni chama imara. Hakuna chadema wala baba yake chadema. Pigeni longolongo CCM tunasonga mbele. Wananchi bado wana imani kubwa sana na sisi, tutaendelea kutawala hadi milele. Chadema hakifai kuwa chama cha siasa, bali kinafaa kuwa NGO. (Nothing Going On) zaidi ya kupoteza muda na wakati. CCM oyeeeereeeeeeee.
Hapa lzamia BMW(Ben William Mkapa) atakuwa ndani ya listi.
Mwingine ni kati ya hawa 3 : Basil Pesambili Mramba, Daniel Yonna au Tluwaye Sumaye.
Tusubiri!
Sidhan kama hayo majina yatakuja,mana zilikofichwa kwenyewe ndo wanasifika kwa kusitiri wateja wao duniani,hilo ukijumlisha na kutokamatika kwao hapa nyumbani, ishu itaisha kimya kimya